hebu tafuta kwanza maandiko yangu, bila shaka hutapata shida kujua nimeangukia upande gani maana nipo open mno......
kila la heri kwenye kugombea ubunge......
ukishatangaza nia uje kuomba support.....
hilo litakuwa la maana zaidi, maana dadako huyo ananifahamu saaaaanaaaaa, mpaka naogopa, lol!Ahhh, mie mvivu sana wa kusoma Hostoria. Nitaanzia hapa tulipo na kuendelea..... Vinginevyo nitamuuliza Dada yangu Kaunga anipe habari kwa undani wake wakati tukipata Uji wa Asali atakapopita hapa Sikonge siku moja.
hilo litakuwa la maana zaidi, maana dadako huyo ananifahamu saaaaanaaaaa, mpaka naogopa, lol!
wait a minute....JF huwa inafurahisha kweli inapokuja michango ya mahusiano kuna watu humu wananchangia utadhani wanauzoefu wa mahusiano over years and years kumbe wako kwenye Ugirl friend na U Boy Friend wengine wezi wa wame za wetu humu balaa.
wala siyo lako ila Generally huwa watu wanakuwa wakufunzi balaa kwenye hii mada halafu ukibahatika kukutana naye halafu ukauliza amepitia mangapi au anauelewa gani kwenye hii anga mungu angu utasema kwa nini unamshauri afanye kitu ambacho hata mshauri hajawahi fanya?wait a minute....
hili dongo ni langu?
yaani kitendo cha KUFIKIRIA KUUTOA UHAI WAKE kisa mwanaume kimenisikitisha sana kwakweli, tena ni mmama huyo anafikiria hivyo, so selfish of her.
ukishakuwa mzazi, maisha yako tena a large part should be around the being uliomleta duniani. Kila kitu unachofanya unatakiwa umfikirie mtoto; sasa imagine mtu anataka kumuacha mtoto yatima tena anamuachia huyo mbaba ambaye yeye amekuwa abused kwa mtoto itakuwaje?
Wanajf wenzangu, I have going thru hell in my marriage that I don't see the future anymore. I love my husband verymuch but I have lived a lif of constant emotional abuse that I feel like I am nothing. What has made me survive to this point is my son and the only one I have. I realized due to some complication I had, I can not gice birth again.
My husband is ever nagging, accusing and he even once bit me and tore my clothes infont of his father and family. He has a habit of comin back in the mornings and I'm not allowed to ask. I have a job well paid bt it is the only imcome we use for school fees, bills and other payments. I managed thru kuhangaika nikapata mabasi which he gladly put his names and excluded me, at first I didn't worry. Now he is mistreating me and since 5 days ago asked why he came back six in the morning he moved out of the house. Wana Jf I am tempted to take ma life I have tried with some medicine with alcohol and hasn't helped. I have no one to talk to what do I do....
JF huwa inafurahisha kweli inapokuja michango ya mahusiano kuna watu humu wananchangia utadhani wanauzoefu wa mahusiano over years and years kumbe wako kwenye Ugirl friend na U Boy Friend wengine wezi wa wame za wetu humu balaa. Mimi yangu haya hapa ndugu yangu Guru.
TAFAKARI, Jitahidi kuishi hivi:
(1) Usimchukie yeyote, Hata kama atakukosea vipi
(2) Ishi Maisha ya kawaida, Hata kama upo juu
(3) Tarajia ushindi, Hata kama Mapito ni magumu
(4) Toa maamuzi yako, Hata kama utashawishiwa
(5) Onesha tabasam, Hata kama Moyo unavuja Damu
(6) Usiache kuwaombea maadui zako na kumweka Mungu mbele katika kila jambo!
Ni kweli Kaunga kwa kinyamwezi hivyo ndivyo ilivyo mwaya. Mambo lkn habari za siku.Hahahaha, tena ngoja nimake hii clear maana si wewe tu hata mlongo wako snowhite anachanganyikiwa na uhusiano wangu na the big boss in the big bass ( The Boss ); huyu ni kaka, lakini he is just too good and 'you know what l mean' to be just kaka; maana tulikuwa tunajikuta tunaoneana wivu. so baada ya kujitafakari na kwa msaada wa kaka mwingine KIKUNGU tukakubaliana tuende mbele zaidi. So kwa kinyamwezi we are very right, maana wanasema kaka yako ni mume wa maisha.
So no matter where l go or where he goes we can always find each other; so ni sawa na open marriage na ndio maana Kikungu alisisitiza niwe mkewe wa wakati wa raha tu, shida zikianza naweza ondoka na kwenda kungine; na yeye akiniona sio sexy any more anaweza tafuta kidada kingine lakini we can always come back to each other.
So this is the arrangement!
ha haaa, lol!wala siyo lako ila Generally huwa watu wanakuwa wakufunzi balaa kwenye hii mada halafu ukibahatika kukutana naye halafu ukauliza amepitia mangapi au anauelewa gani kwenye hii anga mungu angu utasema kwa nini unamshauri afanye kitu ambacho hata mshauri hajawahi fanya?
ha haaa, tangu lini umejenga interest na mitala mlongo wangu?