my life is meaningless

Usikubali kuyapoteza maisha yako kwa sababu ya ----- mmoja. Kuanza upya si vibaya. Achana na mwendawazimu huyo. Halafu kwani kinachowaweka pamoja ni nini? Kama si upendo unaendelea nae wanini. Kumbuka ukitoweka leo yeye ataendelea kutesa na wengine
 
Thank u all for all the encouragement, I never thought I would see ths morning and yes I did. I think God has a purpose for me. Thanks

umeiona leo na bado una siku nyingi tu za kuishi ambazo Mungu amekuandikia.kama umeshindwa kusimama kwa ajili yako simama kwa ajili ya mwanao!move on
 
Sasa dada, hela unayo, ndoa chungu, mateso yako

Ni nini unafuata? Ukisubiri mtu mwingine akuhurumie dunia hii utakufa na kumwacha mwanao chokoraa. Kumbuka ataoa mke mwingine.

Achana na mambo ya kujionea huruma, gangamala uondokane na ndoa hiyo.
 
gugu ! Your life is not meaningless, it is very meaningful! You have all the reasons to move on with your life, gather courage and just leave him besides you are blessed with a son! God bless you!
 
Last edited by a moderator:
Sasa dada, hela unayo, ndoa chungu, mateso yako

Ni nini unafuata? Ukisubiri mtu mwingine akuhurumie dunia hii utakufa na kumwacha mwanao chokoraa. Kumbuka ataoa mke mwingine.

Achana na mambo ya kujionea huruma, gangamala uondokane na ndoa hiyo.

ningekuwa ni mie hayo mapenzi niliyonayo kwa huyo mwanaume ningeyahamishia kwa mwanangu aniongezee siku za kuishi, yaani kabisa mtu anafikiria mbali hivyo kisa mwanaume jitu zima? mmhh kuna watu mmejaliwa kupenda haswaaa.
 
Time to move on,Life is not meant to be that way. It is about love and mutual acceptance.
You don't need this ---- in your life,You deserve happiness..!!!!!!!!!!!

You deserve to be loved and accepted for who you are. Give the creep the boot and move on with your life to a place where you can have the happiness you deserve,na you have a well paid job..........

Believe me, once they start giving you garbage it NEVER stops. They may hold back for awhile and then it just goes back to their old ways and usually even worse, because they know you will keep taking it!!!!!!!!!!!!

its time to choose your own path!!!!!!!!!!!
 
Thank u all for all the encouragement, I never thought I would see ths morning and yes I did. I think God has a purpose for me. Thanks

Gugu you are a strong woman, strong enough to accomplish God's purpose in you! Look we all surround an support you to get there! Never give up, never surrender!
 
KAMA NI KWELI; unajua kipi bora na sidhani kama ni coward kiasi cha kung'ang'ania kwa mwanaume na kuamua kuundoa uhai wako na kufikiria kuwa mumeo ni muhimu kuliko wazazi wako ambao hawakotoa mimba yako bali walikutunza na kukulea hadi mumeo akakupenda ukiwa mtu mzima, au kuwa mumeo ni muhimu kuliko mtoto wako ambaye ni damu yako na wewe pia umemleta duniani, na kama wazazi wako walivyokutunza basi nawe unawajibika kumtunza hadi awe mtu mzima.

Sipende kuamini kwamba eti Mungu alikuumba ili uwe mke wa huyo excuse of a husband kiasi kwamba mmaisha bila huyo mume unayaoona 'meaningless'; tena tubu sasa hivi maana umemkufuru Mungu tayari.

Kama mtazamo wangu hauko sahihi na kwamba you are not only a coward but also ungrateful daughter of ur parents and unworthy mother of your child; niambie nikuletee kamba ya kujinyongea au curare ili ujiwekee kwenye chakule maana kama ni hivyo, basi mwanao anastahili a better mother than you na society will be better of without your kind.
 
Nakutakia mema kwanza, pili chachamaa uchukuwe Talaka (kiuhalali) yako na uishi kivyako ( yes you can).
Wee sii wakwanza wala sii wamwisho, wapo wengi namna yako.
 
Sasa dada, hela unayo, ndoa chungu, mateso yako

Ni nini unafuata? Ukisubiri mtu mwingine akuhurumie dunia hii utakufa na kumwacha mwanao chokoraa. Kumbuka ataoa mke mwingine.

Achana na mambo ya kujionea huruma, gangamala uondokane na ndoa hiyo.

Mwenzako labda ana ndoa ya kanisani na kwao ameshaambiwa hamna kurudi!!!
 
KAMA NI KWELI; unajua kipi bora na sidhani kama ni coward kiasi cha kung'ang'ania kwa mwanaume na kuamua kuundoa uhai wako na kufikiria kuwa mumeo ni muhimu kuliko wazazi wako ambao hawakotoa mimba yako bali walikutunza na kukulea hadi mumeo akakupenda ukiwa mtu mzima, au kuwa mumeo ni muhimu kuliko mtoto wako ambaye ni damu yako na wewe pia umemleta duniani, na kama wazazi wako walivyokutunza basi nawe unawajibika kumtunza hadi awe mtu mzima.

Sipende kuamini kwamba eti Mungu alikuumba ili uwe mke wa huyo excuse of a husband kiasi kwamba mmaisha bila huyo mume unayaoona 'meaningless'; tena tubu sasa hivi maana umemkufuru Mungu tayari.

Kama mtazamo wangu hauko sahihi na kwamba you are not only a coward but also ungrateful daughter of ur parents and unworthy mother of your child; niambie nikuletee kamba ya kujinyongea au curare ili ujiwekee kwenye chakule maana kama ni hivyo, basi mwanao anastahili a better mother than you na society will be better of without your kind.

Yeye mwenyewe anajiita gugu! Alianza kujikana sku nyigi. .
 
I fill xorry! But life iz like a​ rough road and bounces are common. Only God will save you so keep on playing.
 
Yaani such 'men' leave a bitter taste in my mouth!

For the love of life and your son, please take the road less travelled - only you can choose it. LEAVE HIM TODAY, NOW IMMEDIATELY. You have to decide to live for your son's sake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom