Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 184
Hizo ndiyo zile typical kasumba za kibongo kuwa sanaa ni bomba zaidi..ooh please kwa sababu ni celebrity basi ni bomba nyooo!....amefanya surgery kila kona.....mimi ni pure chocolate born babe!
Icadon hata kama imechukuliwa kwenye camera ya mwaka 47 but still inafanya kazi na umeweza view it.............
Looh maneno ya wakosaji sema mademu wenu na pingili za muwa so mnashindwa admit kuwa cuppy is having a ball.....looh...
Whoooaa Slow down sweety!!! kwani nilishawahi kukutaka? au basi tu kwa kuwa mtu hakuimbii nyimbo za mapambio tayari ni mkosaji? Kazi kweli kweli.
"One man's treasure in another man's trash" Keep that in mind.