My Husband to Be

My Husband to Be

6.A BUSINESS MAN SOMEONE WHO TRAVELL DIFFERENT TYPES OF COUNTRIES .
7.SOMEONE WHO SHOWS ME LOVE TRUE LOVE.
8.SOMEONE WHO WILL TREAT ME RIGHT .
9. I LOVE IF HE KNOWS ENGLISH EVEN BROKEN.
Hapa wanawake wengi ndiyo wanafeli. Upo sahihi 100% kwako kumchagua mtu mwenye sifa unazotaka lakini siyo sahihi kwa 100% kiujumla. Ungekuwa wewe umekamilika 100% ungekuwa umeshaolewa siku nyingi. Mbona wenzako wanaolewa na kwanini wewe mpaka sasa haujampata huyo mume?
Kuna tofauti kubwa sana unapotafuta mpenzi na mume bi dada. Sikufichi mwenye sifa 6,8 na 9 unaweza kumpata lakini 7 ni siri ya mtu. Huko kuchagua chagua najua mwisho wa siku utasema sitaki kuolewa au unataka mtoto.
Sisi wanaume huwa hatuchagui sana ndiyo maana ukifikia umri wa kuoa unavuta jiko. Mimi nina degree 1 lakini Wifi yako ni darasa la 7 na tunaishi vizuri na kwa upendo.
 
Kigezo namba 6 hapo utapata waume za watu tu.
 
1.HANDSOME
2. COLOUR =WHITE OR CHOCOLATE
3.TALL
4.AGE=34 TO 44
5.MATURED
6.A BUSINESS MAN SOMEONE WHO TRAVELL DIFFERENT TYPES OF COUNTRIES .
7.SOMEONE WHO SHOWS ME LOVE TRUE LOVE.
8.SOMEONE WHO WILL TREAT ME RIGHT .
9. I LOVE IF HE KNOWS ENGLISH EVEN BROKEN.

You better be good yurself
 
1.HANDSOME
2. COLOUR =WHITE OR CHOCOLATE
3.TALL
4.AGE=34 TO 44
5.MATURED
6.A BUSINESS MAN SOMEONE WHO TRAVELL DIFFERENT TYPES OF COUNTRIES .
7.SOMEONE WHO SHOWS ME LOVE TRUE LOVE.
8.SOMEONE WHO WILL TREAT ME RIGHT .
9. I LOVE IF HE KNOWS ENGLISH EVEN BROKEN.
Mwanaume unataka husband?
 
Why pick on me?
Hahahaha Chief you r so special thats why,you should not always concentrate on your fucken political threads,sometimes you just mix yourself in threads like these you can luckly pick beutiful ladies like the one posted this thread though im not sure if you meet the qualifications na makaunda suti yako ya Lumumba.
 
Back
Top Bottom