FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Huyo girlfriend wako inaelekea ana tabia ya udokozi na imeshakomaa. Kama bado unamzimia mwambie ukweli anaweza kujirekebisha ila sidhani kama ataacha.
Ila BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...