Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mambo zenu waheshimiwa?ni hivi mie nina my girlfriend wangu ambaye nimepanga chumba kwa ajili ya kwenda kufurahishana inapobidi,lkn mara nyingi napokutana naye baadae nikihesabu hela zangu nakuta zimepungua ktk hali ya mm kutoelewa kwamba kwann zimepungua kiasi hiko nikawa nafikiri labda nimesahau mahesabu lkn kuna cku nilizihesabu fedha zangu kabla yeye hajafika lkn cha ajabu tulipomalizana nikakuta hela zimepungua kwahiyo nikawa na uhakika kuwa yy ndiye anayeniibia bac jana nikamwita ili aje nami nimtege,bac 2kaichakachua ngono kama kawa, 2livyamaliza kuivunja amri ya 6 mie nikaenda kukoga niliporudi nikamuambie na yeye akaoge,alivyotoka mie nikahakikisha hela yangu na kuiona imepungua ndipo nikaanza kusachi ktk nguo zake ckukuta ki2 lkn nilipofika kwenye viatu vyake nikazikuta hela zangu mie nikazichukua zile hela zangu na kuchukua karatasi na kuiandika maneno haya:HII HELA INUNULIE CHUPI UVAE ,nikaichukua ile karatac nikaiweka ktk kile kiatu chake na ku2lia kana kwamba hakuna kilichotoke,alivyorudi kukoga mie nikawa namchora anavyohakikisha kama noti bado ipo kwenye kiatu chake,akavaa na kuondoka zetu cha ajabu mpaka sasa cmu yake kaizima,je nimfanyaje huyu demu na tabia mbaya yake hii mie bado namzimia?