mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
mkuu kweli umebobea yaaani umepanga geto tu kwaaajili ya kupigia kazi.......................we noma.
Hapana binafsi siwezi kumnyima pesa mwanamke huwa namtoa vbaya mno ila namshangaa kwa kweliMh pole sana itakuwa humpi pesa za matumizi huku anajua fika kwamba unaweza kumpatia. kwa nini umepanga chumba kwa ajili ya kufanyia ngono?
ok i will do that my dear onekaa nae umweleze ukweli aache wizi au kama ana shida ya hela akuombe kiustaarabu,i hope she will change.....gudluck
Hapana kiongozi huwa nampa hela ya matumizi bila matatizo yoyote sasa cjui tatizo lake liko wapi?kwani si umwambie tu ukweli kuwa anakuibiaga pesa zako! MWambie kama anakuwa na tatizo aweanakuambia.Au wewe bwana mkubwa unambania kumtoa na hata pesa ya sabuni?
mambo ya kawaida tu hayaDuuh wee mkali yani una room special for ngono,ipo kinondon au sinza?tena self contained ama kweli ume invest
Hatoki jasho peke yake wote tunavujuka na pia tukimaliza mchezo na mtoa mwisho wa mwezi nikipokea msahara tunauhesabu wote sasa nashindwa kujua tatizo nini kwann aniibie?imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti!! ngono itakutokea puani, na hela anazochukua si jasho lake?
Huwa nampa fedha za matumizi na matanuzi kakakaka inaonekana humpi hela ya matumizi thats why, unajua sio mpaka akuombe,na wewe huwajibiki.
anyway kuiba sio tabia njema,siku ile ulivyosifumania kwenye kiatu ungemkalisha chini na kumweleza mapungufu yake na ajirekebishe.
We ni PM nikuambie bei,ghetto ni babkubwahupangishi ataka nije nigongee hapo mzigo wangu
Mie namtoa kinoma huyu demu hata ungekuwa wewe kama unavyosema sidhani kama ungeniibiaKwa mfano wewe ni boyfriend wangu, hunipi hela ya kununulia chupi, sabuni, mafuta, kupendezesha nywele,
na mimi niwe kama msichana, unafikiri nitafanya nini?
Lakini kama unanipa, unajali mahitaji yangu sikuibii,
sio unaona napendeza wala huulizi, nina simu mpya huulizi, kiatu kipya huulizi, nanukia pafume nzuri hujui nimepata wapi.
Unachojua wewe kuchakachua tu, daaaaaah sitaniii nikipata nafasi ya kukuibia nakuibia kwa kweli.
Huyu demu yote uyasemayo mimi namuhudumia na nakumbia mshahara wangu yy ndiye anayeuhesabu na kunipa mimi hela za matumizi yaani hela yote nilivyokuwa mbwiga namkabidhi yeye na bado ananitenda jamani tatizo lake ni nini?
Kwa hiyo kama unamfanyia hayo yote halafu anakuibia hafanyi vizuri. Mwambie abadilike.
Na wewe kama humpi hela, uwe unampa, hujui ukiona vyaelea vimeundwa kaka wewe!!!
Lakini yote katika yote, mshahara wa dhambi ni mauti.
Unamaanisha nina ngoma? mbona umeliogopa hilo jijiLocation : jo'burg
Si unajua mambo ya kidhungu kwah cheers!mkuu kweli umebobea yaaani umepanga geto tu kwaaajili ya kupigia kazi.......................we noma.
Hamna noma mkuu nitafanya hivyoUmempatia sawa sawa nakuunga mkono mwache akafie mbele huko,si suala la kumpa au kutompa hela huyo ana tabia chafu achana nae.
Mungu hukupa wa kufanana naye,kama wewe mlevi atakupa mlevi mwenzio, sasa ukiwa mdokozi (may be rushwa kazini) mungu hukupa wa kufanana naye yaani ............
Mungu hakosei
Huu ni mzigo wa bangi halafu mbele kuna polisimnh inaelekea wewe ni mzembe,unaacha noti nje nje!,kuibiwa mtu yeyote anaweza kukuibia kama hautakuwa careful sio huyo msichana pekeee...jifunze kutotembea na hela nyingi usizokuwa na kazi nazo....
as for huyo msichana mnh unless awe wa kupass naye time ila kama ndio unatarajia awe mama wa watoto wako then una mzigo mkubwa usiobebeka.....ni juu yako kufanya maamuzi!:rain:
Dah! umeninyong'onyesha kinomaMungu hukupa wa kufanana naye,kama wewe mlevi atakupa mlevi mwenzio, sasa ukiwa mdokozi (may be rushwa kazini) mungu hukupa wa kufanana naye yaani ............
Mungu hakosei
hahahahaha hapana mkuu mimi huwa sijivungi kumpa mtu kubwa nikiona nazidiwa huwa ni mtaa tuu cfikirii mara 2hakuna lolote hapo,umemchoka tu na unamtafutia sababu ya kumtema!