My girlfriend ananiibia hela yangu

mkuu kweli umebobea yaaani umepanga geto tu kwaaajili ya kupigia kazi.......................we noma.
 
Mh pole sana itakuwa humpi pesa za matumizi huku anajua fika kwamba unaweza kumpatia. kwa nini umepanga chumba kwa ajili ya kufanyia ngono?
Hapana binafsi siwezi kumnyima pesa mwanamke huwa namtoa vbaya mno ila namshangaa kwa kweli
 
kwani si umwambie tu ukweli kuwa anakuibiaga pesa zako! MWambie kama anakuwa na tatizo aweanakuambia.Au wewe bwana mkubwa unambania kumtoa na hata pesa ya sabuni?
Hapana kiongozi huwa nampa hela ya matumizi bila matatizo yoyote sasa cjui tatizo lake liko wapi?
 
imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti!! ngono itakutokea puani, na hela anazochukua si jasho lake?
Hatoki jasho peke yake wote tunavujuka na pia tukimaliza mchezo na mtoa mwisho wa mwezi nikipokea msahara tunauhesabu wote sasa nashindwa kujua tatizo nini kwann aniibie?
 
kaka inaonekana humpi hela ya matumizi thats why, unajua sio mpaka akuombe,na wewe huwajibiki.
anyway kuiba sio tabia njema,siku ile ulivyosifumania kwenye kiatu ungemkalisha chini na kumweleza mapungufu yake na ajirekebishe.
Huwa nampa fedha za matumizi na matanuzi kaka
 
Kwa mfano wewe ni boyfriend wangu, hunipi hela ya kununulia chupi, sabuni, mafuta, kupendezesha nywele,
na mimi niwe kama msichana, unafikiri nitafanya nini?

Lakini kama unanipa, unajali mahitaji yangu sikuibii,
sio unaona napendeza wala huulizi, nina simu mpya huulizi, kiatu kipya huulizi, nanukia pafume nzuri hujui nimepata wapi.
Unachojua wewe kuchakachua tu, daaaaaah sitaniii nikipata nafasi ya kukuibia nakuibia kwa kweli.
Huyu demu yote uyasemayo mimi namuhudumia na nakumbia mshahara wangu yy ndiye anayeuhesabu na kunipa mimi hela za matumizi yaani hela yote nilivyokuwa mbwiga namkabidhi yeye na bado ananitenda jamani tatizo lake ni nini?
Kwa hiyo kama unamfanyia hayo yote halafu anakuibia hafanyi vizuri. Mwambie abadilike.
Na wewe kama humpi hela, uwe unampa, hujui ukiona vyaelea vimeundwa kaka wewe!!!

Lakini yote katika yote, mshahara wa dhambi ni mauti.
Mie namtoa kinoma huyu demu hata ungekuwa wewe kama unavyosema sidhani kama ungeniibia
 
Umempatia sawa sawa nakuunga mkono mwache akafie mbele huko,si suala la kumpa au kutompa hela huyo ana tabia chafu achana nae.
 
mnh inaelekea wewe ni mzembe,unaacha noti nje nje!,kuibiwa mtu yeyote anaweza kukuibia kama hautakuwa careful sio huyo msichana pekeee...jifunze kutotembea na hela nyingi usizokuwa na kazi nazo....
as for huyo msichana mnh unless awe wa kupass naye time ila kama ndio unatarajia awe mama wa watoto wako then una mzigo mkubwa usiobebeka.....ni juu yako kufanya maamuzi!:rain:
 
Mungu hukupa wa kufanana naye,kama wewe mlevi atakupa mlevi mwenzio, sasa ukiwa mdokozi (may be rushwa kazini) mungu hukupa wa kufanana naye yaani ............
Mungu hakosei
 
hakuna lolote hapo,umemchoka tu na unamtafutia sababu ya kumtema!
 
Mungu hukupa wa kufanana naye,kama wewe mlevi atakupa mlevi mwenzio, sasa ukiwa mdokozi (may be rushwa kazini) mungu hukupa wa kufanana naye yaani ............
Mungu hakosei

Hahahahaha,mwa mwa mwa mwa
Labda kajifunza toka kwa jamaa hahaha
 
mnh inaelekea wewe ni mzembe,unaacha noti nje nje!,kuibiwa mtu yeyote anaweza kukuibia kama hautakuwa careful sio huyo msichana pekeee...jifunze kutotembea na hela nyingi usizokuwa na kazi nazo....
as for huyo msichana mnh unless awe wa kupass naye time ila kama ndio unatarajia awe mama wa watoto wako then una mzigo mkubwa usiobebeka.....ni juu yako kufanya maamuzi!:rain:
Huu ni mzigo wa bangi halafu mbele kuna polisi
 
Mungu hukupa wa kufanana naye,kama wewe mlevi atakupa mlevi mwenzio, sasa ukiwa mdokozi (may be rushwa kazini) mungu hukupa wa kufanana naye yaani ............
Mungu hakosei
Dah! umeninyong'onyesha kinoma
 
Back
Top Bottom