Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
- Thread starter
- #81
Höngera dada na endelea kuwa na fixed moyo huomimi nasema hadharani hapa. sijawahi na wala sitegemei kusachi wallet ya mtu.
Höngera dada na endelea kuwa na fixed moyo huomimi nasema hadharani hapa. sijawahi na wala sitegemei kusachi wallet ya mtu.
Ni pm nitakupa namba yake ila usimfundishe kuniibia uume wanguEti gelofriend wake anaitwa Demu.
Sasa analalamika nini??
Mi nikimuona nitamwambia na vingine anavyotakiwa aibe.
Mambo zenu waheshimiwa?ni hivi mie nina my girlfriend wangu ambaye nimepanga chumba kwa ajili ya kwenda kufurahishana inapobidi,lkn mara nyingi napokutana naye baadae nikihesabu hela zangu nakuta zimepungua ktk hali ya mm kutoelewa kwamba kwann zimepungua kiasi hiko nikawa nafikiri labda nimesahau mahesabu lkn kuna cku nilizihesabu fedha zangu kabla yeye hajafika lkn cha ajabu tulipomalizana nikakuta hela zimepungua kwahiyo nikawa na uhakika kuwa yy ndiye anayeniibia bac jana nikamwita ili aje nami nimtege,bac 2kaichakachua ngono kama kawa, 2livyamaliza kuivunja amri ya 6 mie nikaenda kukoga niliporudi nikamuambie na yeye akaoge,alivyotoka mie nikahakikisha hela yangu na kuiona imepungua ndipo nikaanza kusachi ktk nguo zake ckukuta ki2 lkn nilipofika kwenye viatu vyake nikazikuta hela zangu mie nikazichukua zile hela zangu na kuchukua karatasi na kuiandika maneno haya:HII HELA INUNULIE CHUPI UVAE ,nikaichukua ile karatac nikaiweka ktk kile kiatu chake na ku2lia kana kwamba hakuna kilichotoke,alivyorudi kukoga mie nikawa namchora anavyohakikisha kama noti bado ipo kwenye kiatu chake,akavaa na kuondoka zetu cha ajabu mpaka sasa cmu yake kaizima,je nimfanyaje huyu demu na tabia mbaya yake hii mie bado namzimia?
Na mie kubwa ndio naipenda ndogo nomaMie alipoita jina Demu ndo alinikata stimu yote ya kuchangia nikampa kubwa tu
PIN hakuiba ila nimempa mwenyeweUmeona eeh,
Kaibiwa na demu wake, anatudanganya girlfriend wake.
Halafu analo pango la kudemulia, khaaaaaaaah, aibe na PIN na kadi ya benki kabisa!!!
Ukiona mtu anaitwa demu ujue huyo ni mwanamke,mwanaume haitwi demuFP naoan wewe unalipenda kidogo yaani mimi ukiniita Demu hakiyamungu sikuitikii wala kukusemesha milele Demu ndo nini bana
Ila BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...
Kwa mfano wewe ni boyfriend wangu, hunipi hela ya kununulia chupi, sabuni, mafuta, kupendezesha nywele,
na mimi niwe kama msichana, unafikiri nitafanya nini?
Lakini kama unanipa, unajali mahitaji yangu sikuibii,
sio unaona napendeza wala huulizi, nina simu mpya huulizi, kiatu kipya huulizi, nanukia pafume nzuri hujui nimepata wapi.
Unachojua wewe kuchakachua tu, daaaaaah sitaniii nikipata nafasi ya kukuibia nakuibia kwa kweli.
Kwa hiyo kama unamfanyia hayo yote halafu anakuibia hafanyi vizuri. Mwambie abadilike.
Na wewe kama humpi hela, uwe unampa, hujui ukiona vyaelea vimeundwa kaka wewe!!!
Lakini yote katika yote, mshahara wa dhambi ni mauti.
Hapana sio mbahili ktk suala mapenzi pia hela ya matumizi huwa nampaIla BJ inawezekana hampi hela ya kutosha ya matumizi,Hivi kama wakimaliza hiyo game yao sijui ya Man na Chelesea akampa vijisenti na kumwambia sweetheart wako ajikimu kwa Rotion na matumizi madogodogo atamuibia kweli,
yawezekana wewe ni bahili...
Hapana ndugu cfurahii kuibiwa ispokuwa namtafutia njia mbadala ili niendelee kumchakachuaSo vipi ,bado unafurahia kuibiwa au?
Otherwise ungesha mkimbia mapemaaaaa
Aminia kiongozi nitamuanzishia style ya maandamano atakoma mwenyewekaka bei ya pedi imepanda ok alafu vicheche vingine ni viizi kwa hulka haviezi kuacha we chakachua huku ukiendelea kuitafuta mbadalaaa!!
LD & DCD njooni PM niwape tarakimu za celular yakeI wish, angekuwa anapita hapa, aone hii!!! Hivi hawezi katupatia namba za huyu Demu wake tumtafute!!!