My gal wangu anataka kinyume na maumbile

My gal wangu anataka kinyume na maumbile

Status
Not open for further replies.
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

hivi hizi mada mbona zinaongezeka kila mtu anaombwa tigo wengine wanaombwa wale tigo....

marinda si yake? we tatua tu..
 
mkuu huyo mpenz wako hana nia njema na wewe,achana na hiyo kitu kwan haifai kabisa ukizingatia ni kinyume na maadili japo watu wanafanya kwa mkumbo.Yamkini alishajaribu akaona ikoje ila we shikiria msimamo wako kama kweli huitaji hiyo kitu achana naye na asikupotezee muda kama ni mwelewa atajifunza ni hayo tuu mkuu,thamini utu wako
 
Huyu anayeuliza tayari anajua mabaya na mazuri. Kwa hio anataka mbinu za ku ila hiyo 0713.
 
Mfiraji na Mfirwaji kamwe hawatauona


-----------------------------------------------------------
-----------------------------------------------------------
UFALME WA MUNGU.
.................................
 
Unaomba ushauri na huku ushajua ni mbaya. Kama unachukia matendo hayo thats enough hauitaji ushauri hapa mweleze plain kabisa kuwa hautaki and move unless kuna mengine unayatafuta
 
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

mkuu mimi nakushauri uachane nae kabisa, hiyo ni laana kubwa sana, inaonekana huyo bidada anshariwa 0713.. Sana hivo amenogewa, na wewe ukijaribu tu mara moja atataka tena na tena then nawe utaona kitu cha kawaida,Mwisho wa siku hata mashoga utajikuta huoni tabu kuwapumulia.
 
Hebu achana naye kwa7bu sio rizik hata uspomgegeda atagegedwa na wengne hata ukija kumwoa sk akipata mimba balaa lipo kwenye kujifungua utakuja kutukanwa kwa kesi isiyokuhusu
 
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

Ban inakunyemelea
 
Unaomba ushauri na huku ushajua ni mbaya. Kama unachukia matendo hayo thats enough hauitaji ushauri hapa mweleze plain kabisa kuwa hautaki and move unless kuna mengine unayatafuta

kweli mkuu kama haitaj ni kumpa black and white kwisha habari
 
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

Duh kama wewe hupendi huduma ya KABAANG mwache kwanza si vyema ni ibilisi huyo
 
Usitufanye mambulura wewe kama vp jikatae.

====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================
 
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

kwa mtazamo wangu wa haraka haraka, inaonekana huyu dada ni 'senior expert member' wa hii kitu!!

jaribu kuwa nae karibu kila mara na kumweleza madhara ya hii issue!

jaribu kumpa mifano kuntu na iliyo hai, madhara yake baadae na jinsi jamii inavyochukulia swala hili!

.....................mimi, emperor........., sikubaliani na tigo hata siku moja!!
 
Last edited by a moderator:
Dunia imeisha watu wanazini afu wanatangaza hadharani duh ...acha zinaa ndugu yang...
 
nina mpenzi wangu, ambaye nimempata hivi karibuni, kama mwezi 1 umepita, j5 iliyo pita ndo ilikuwa mara ya 1 kufanya nae mapenzi. lakini cha ajabu ananilazimisha tufanye kinyume na maumbile lakini mm nikakataa, akanitishia kuto fanya mapenzi siku hiyo, lakini nika mbembeleza hadi akakubali tukafanya kawaida kwa masharti ya mara ya pili tutakapo onana, tutfanya nae kinyume. lakini mm sija dhamiria kufanya hivyo kwa sababu sipendi na ni maadili mabaya kwa wa tz, hivyo nawaomba wana #JAmii forum, mnisadie jinsi ya kum convice huyu mdada ili abadirishe mtazamo wa kufanya hivyo.....

We ni walewale unaanza tu kula dem anaekueleza wazi analiwa kabang daa we noma yaani huyo dem ni dada ake shetan so we utakuwa shemeji wa shetani
 
Mjinga mkubwa wewe, Markhabaa unaikataa? Mshenzi mwendawazimu wewe, unataka milioni ngapi tubadilishane mademu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom