My friend Zitto Kabwe

Tatizo la baadhi yetu Watanzania ni wavivu wa kufanya uchunguzi katika mistali ya mabandiko ya watu hapa na kudhani tunafahamu kumbe hatufahamu.

Mara nyingi kipya huwa ni kinyemi na usione vinaelewa hapa Jf lazima vitakuwa vimeundwa.

Jf ni maktaba ambayo ukitaka kufanya uchunguzi na uchambuzi utapata kila kile unachokitaka.

Kwa kuwasaidia pateni hii habari kutoka maktaba ya Jf ili mumfahamu huyu binadamu anayeenda kwa jina la ZeMarcopolo.

MOD's Sijavunja taratibu wala sheria za Jf kwa sababu hizi data nimezipata hapa hapa Jf.

https://www.jamiiforums.com/tanzani...ugombea-ubunge-morogoro-kusini-mashariki.html

Michuziblog waliandika hivi,


Huyu binadamu munayempa shinikizo la kiingereza wasifu wake ni huu,
Hayo ni matatizo yako.We si unajua kuponda,ungenge huo,ponda sasa.
Hahaha andika mipasho yako kwa kiingereza sasa "Chadema ni chama kinachoongozwa kwa misingi ya Kilaghai".
Utaishia kung'aa macho tu
Product za shule za kata!! Poor U!
Like....

Bila kumsahau chama wa gongo la mboto!
ZeMarcopolo kumbe kilaza wa kiingerezaee?! Sasa huu muda unaopoteza hapo lumumba si bora ungesoma English course? Ni ushauri tu
Hahaha kama akili ni nywele funga ili uwe nazo nyingi
Uweze kuwa na akili nyingi!
Wachina vp na lugha wanapotia miguu mataifa mengine?
Jifunze kufikiri kidogo sana !!
حزب تشاديما ني شاما kinachoongozwa كوا misingi يا Kilaghai "
Division 5 utawajua tu
Hapo kwenye red..... Hongera sana uko vizuri kingereza unakijua.... Teh teh teh....... Orijino komedi.....mbavu zangu mie...
Still wobbling in the same manner.... Very sorry get healed on this....
Huyo ZeMarcopolo ndo wale wa zile % za kwenye ule utafiti, yaani wenyewe ni kuburuzwa tu shule hakuna hapo

Sorry ZeMarcopolo kama nitakuwa nimekukwaza ni vizuri watu wakaufahamu upande wa pili ili wajikite kwenye hoja iliyo mezani.
 

May be you are better placed now,and thus everything favours the allies of you!!!!

The victims acceptance is not an automatic signal for everybody to quit discussions!!!
 
Safi sana wale waongeaji hovyo huwezi ona comments zao kwenye huu uzi!ndo wale walotajwa kwenye waraka kwamba wana shule za magumashi.
 

Hapana mkuu ebu rudia kusoma tena kwa umakini utamuelewa jamaa. Acha ushabiki. Halafu ni ushauri tuu katoa waweza chukua au kupotezea.
 

Gentlemen's way!!!!! Agreing not to agree

We could go with neutral mind without necessarilly considering the prior existing tension among them if the CC was not part and parcel of the work from both the brain and hands of the chairman,the mechanism and process of obtaining those incumbently sitting as CC are with no doubt associated with chairmanship,hiw do we assure ourselves that they were neutral and unbiased??!!!!@Bigaraone used the term mallice to arise suspicion on work of someone's brain that you are not part of the preparation or rather not involved however sweet the outcome may be!!!!!!I do not opt to turn a blind eye on this!!!

I dont claim that they were malicious but again moving beyond the shadows of suspicion renders someone more wise!!!!!

I appreciate for the provocation mr Character X
 


Aiseee, kumbe ndo jamaaa, sasa naanza kuelewa baadhi ya misemo ya kisiasa.
 

you have a point- on the other hand, thank you comrade.
 
Dingswayo
12th April 2013 18:20
#9
JF Senior Expert MemberArray





[h=2]
Re: Zermacopolo atangaza nia ya kugombea ubunge Morogoro Kusini Mashariki[/h]
Siamini kwamba huyu mtu ni Dr. ukilinganisha na post zake anazoziweka hapa katika juhudi zake za kugandamiza demokrasia. Huyu mtu amekuwa akipinga hoja nyingi hata kama zinaelekea kueleza mantiki (logic). Hata hivyo naweza kuelewa nia yake ya kufanya hivyo kutokana na dhamira yake hiyo ya kugombea ubunge kupitia ngazi ya ccm. Nimeelewa kuwa kumbe msimamo wake huo hauletwi na uzalendo wake , kitu ambacho ni dhahiri, bali kwa kujinufaisha yeye binafsi.

Nilishawahi kuelezea habari moja kuhusu rafiki yangu marehemu Prof. Seth Chachage. Alipopata PhD yake nilimpongeza na kumwambia, "Hongera bwana, sasa tutakuita Dr."!

Alinijibu kwa uchangamfu, kama kawaida yake ilivyokuwa, "Wewe vipi bwana, usijali maana tumewaona wengi kama Dr. Nyamwicho, Prof. Vulata na wengine wengi"! Mimi nilimwambia aache utani na apokee hongera.

Hata hivyo, maneno ya Prof. Chachage, pamoja na kwamba aliyasema kwa mzaha, yalibeba maana kubwa kuliko mzaha. Maana yake ni kuwa unaweza ukajiita msomi, lakini usomi wako uwe na manufaa katika jamii. Wengine mnaweza kutafsiri maneno ya Prof. Chachage jinsi mtakavyoona.​





 

Kumbuka hata Maji marefu nae anajiita Professor.....
 
Una haki ya kutoa mtazamo kulingana na akili zako zinavyokutuma!!!!

Hii statement "I don't know much pertaining to what the actual situation in the political plat forms in our beloved country are like, because I, despite aspiring to become one some day, am not a politician at the moment. This therefore should provide room for leniency in case of a few misconceptions of reality as opposed to how things may appear to be, to many of us observers"

Kisha
"........................ i said i don't know much about what really happens behind the scenes in the political world and in CHADEMA right now.............."

then ukajump

"................I position myself in Mr. Mbowe's shoes.............."


How come you find yourself on the side of Chairman if you are unsure of what is really happening on the groud??????????............You are not making an informed decision..................i guess!!!!!
 

Safi sana, naona kwa nondo hii, watu wataacha dharau zao sas!
 
Kuongea kiingereza kwa baadhi ya watu wanaona ufahari na wanadhani ndio kipimo cha elimu ndio maana kuna mzee alisema Uingereza watu wana akili sana kwa sababu hata watoto wa miaka mitano wanaongea kiingireza!!!

Ninaongea kiingereza ninapohitajika kufanya hivyo, lakini siamini kuwa kuongea kiingereza ndio kuwa na akili nyingi.[/QUOTE]

Ze makopo kwa nini usijisomee uhuru na mzalendo na ukizidiwa kasome michuzi huku kuna watoto wa kiume tu
 
Ze makopo huna hata mstari wa kucopy ukatuwekea pole sana kwa degree yako yw udaku hapa sio lumumba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…