My first ebay Shipment

Naombeni kujua tofauti kati ya E-banking na online purchases,
 
Et Wadau Pale Unapojisajili Paypal Wanapotaka "Zip Code" Inakuaje? Je Tanzania Tunazitumia? Na Kama Hazitumiki Sa Inakuje Pale?
 
Naombeni kujua tofauti kati ya E-banking na online purchases,

E Banking ni huduma za kibenk kupitia internet, hii ina maana unaweza kuaccess account yako through internet ikiwemo kuangalia salio, kufanya transfer, kufanya transactions mbali mbali za kibenk nk

Online Purchases ni huduma ya kibenk inayoifanya Card yako ya bank iweze kufanya malipo mbali mbali online
Hapa inamaana utakuwa na card ama master card au visa card kwa TZ ambayo ni mashirika yatakayo kuwa linked na card yako na popote pale duniani unaweza kufanya manunuzi na master au visa watasimamia zoezi zima

Kumbuka
E banking ni kuaccess acc yako kupitia internet kwa account no yako
Online Purchases ni kufanya malipo kupitia Card yako ya bank iliyokuwa linked kufanya hivyo
 

Asante kwa ufafanuzi.

Kwa hiyo kama Master/Visa watacmamia je, ikitokea fault waweza ku-complain kwao 1 kwa 1?
 
Asante kwa ufafanuzi.

Kwa hiyo kama Master/Visa watacmamia je, ikitokea fault waweza ku-complain kwao 1 kwa 1?

Fault ya aina gani mkuu
Maranyingi card yako na password yako ni siri yako na bank yako, ninyi ndio mtahusika pindi yakitokea matatizo
 
Fault ya aina gani mkuu
Maranyingi card yako na password yako ni siri yako na bank yako, ninyi ndio mtahusika pindi yakitokea matatizo

Pa1 kaka.
Niliuliza 7bu mara nyingi utakuta maofisa wa benki zetu wanasema
"kujiunga online purchases is 4 ur own risk. Baadae usije kulalamika kuwa umeibiwa pesa zako, benki haitahusika."
 
Et Ukinunua Simu Ebay Labda Ya Carrier Wa Marekani (eg.AT&T) Itamaanisha Ili Uweze Kuitumia Kwa Mitandao Yakibongo Ni Lazima Ui-unlock(uiflash) Kwanza???
 
Et Ukinunua Simu Ebay Labda Ya Carrier Wa Marekani (eg.AT&T) Itamaanisha Ili Uweze Kuitumia Kwa Mitandao Yakibongo Ni Lazima Ui-unlock(uiflash) Kwanza???

Sasa mbona hiyo iko wazi kabisa unafikiri kwa nn watu wanaflash simu?
Kuwa makini usijenunua simu za ISP wa CDMA technology kama sprint etc
 
Em Nieleweshe Kuhusu Hiyo "ISP Wa CDMA Technology"?

Yaani ukinunua simu ipo locked kwa CDMA network ni sawa na kununua modem ya sasatel au zantel au ttcl afu umpelekee fundi aku unlockie ili uweze kutumia GSM network kitu ambacho ni impossible....silu zote ktk simu/tab/ipad angalia carrier na contract...na hakikisha carrier ni unlocked tena without contract...kama haiko hivyo achana nayo kabisa usije ingia mkenge
 

Ah Kumbe Tz Tunatumia GSM Network Na Sio CDMA Network! Asante Kwa Kunifungua Ndonga Langu.
 
Ah Kumbe Tz Tunatumia GSM Network Na Sio CDMA Network! Asante Kwa Kunifungua Ndonga Langu.

GSM ni airtel,tigo na voda na line za zantel
CDMA practically ktk calls na sms ni ttcl pekee lkn iinternet wapo sasatel na zantel pia
 
Et Wadau Pale Unapojisajili Paypal Wanapotaka "Zip Code" Inakuaje? Je Tanzania Tunazitumia? Na Kama Hazitumiki Sa Inakuje Pale?

unapata katika online bank statement. ushajisajili na internet banking crdb?
 
kama unanunua simu moja ya vitu muhimu kuangalia
1.Network technology iwe GSM siyo CMDA AT and T Mo bile wanatumia GSM.
2.Simu iwe unlocked.

Kama unanunua vitu vingine online angalia na list of prohibited items to Tanzania au kwa courries wanaowatumia hao MyUS
 
joel lubyama

Naomba msaada wako I see Hivi Amazon kumbe hawatumii PayPal
Je,nikiweka Card zangu si watanikata ile Hela ya Amazon Prime maana wanasema Free unatumia mwaka mmoja baada ya hapo kila mwaka 79$ sasa hii siwata-force waikate hata kama sina time nao

Mwenye ufafanuzi naomba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…