My first boyfriend

My first boyfriend

Afu ukambania chotara afu ukaliwa na mla vumbi afu ukaanza kumkumbuka chotara afu kijiba cha roho kikakuuma afu unakuja kutuadithia hapa
 
Roho inauma Ila ndio hakuna.ujanja, msiwe mnaleta nyodo huwezi jua kesho
 
it was never possible kubaki marafiki.... topic ya mahusiano would always come up, mwishowe tunagombanana.
maybe it will be different this time, but moyo haujataka.

plus his lady is too hot. atanitaniaaaa. embu subiri na mimi ning'ae kwanza. 😀

sijamblock lakini nimeiacha tu
now you are talking...huwezi ukamblock wewe
 
Tulisoma wote O'level. Tulianza kudate form 3. Chotara flani amazing la kimasai na kijerumani. We were labeled the most childish couple. I was all shy and innocent. (STILL AM)

The guy was uncircumcised. Sijui Ndomana I got a thing for uncut guys 😀. Circumcision is so unnecessary!!

No I never slept with him. Alikuwa ananionyesha tu na vingine kidogo lakini hatujawahi. I was saving it for marriage 🙂

We were to get married tukimaliza chuo.
Hapo me nawaza harusi tu. Hadi kwa mama mkwe Nilitambulishwa. 😀

Nilikuwa nikimpigia simu ananipa nimsalimie mkwe (mkwe ya muzunguu)

Tulikuwaga Tunaenda movies Jioni. Mie nakuja na dada (hg) na mdogo Wangu mmoja. Peke yangu siruhusiwi. Twice, wazazi walipokuja kutuchukua walimwona. Mara ya kwanza nikawaambia ni school mate. Mara ya pili mama akauliza yule ndo yule school mate wako?

Baadae dada ananiambia na yeye Kaulizwa mara ngapi tumekutana na school mate. Akasema mara kadhaa. Hiyo Ndo Ilikuwa movie ya mwisho kwenda. Mkitaka movie nunueni CD.

Nilimuacha coz tulikuwa tunaandikiana barua anaenda kuonyesha marafiki zake. Sijui kushow off au kunichora!! Mtoa habari mwenyewe sasa!!! Hadi kawaambia eti amenikula. nikamuachaaa kuSave the good girl face huku roho inauma.

Akatuma na watu kuniomba msamaha, eti hadi kalia. Mie trust ishapotea, girl of principles you don't play me like that.

A level akaenda kwingine but we still talked. Tualternate urafiki-uadui.

Fast-forward years later baada ya kupotezana mwenzangu alienda Yulop, I get a facebook request. Naangalia profile nawaza hili tangazo au? Why a hot body builder model guy adding me??

Mweeeee! Hadi aibu mla vumbi mie. Nimechokaje na shillingi inavyoshuka thamani. Last time I saw him alikuwa kyembambaa Hakana Hata nywele moja he looked like a shaved bird na mitege yake.

Damn the guy. Life has treated him well, nikisema mambo yake sio mabaya, it will be an understatement.

Limekuwa refuu sijui ndevu zimemuota lini, bonge moja la goatee. Naona kaamua kukomesha na vyuma kabisa.

Kama hiyo haitoshi kuna le mbebez Kajaaa kwenye profile. nimemuamgaliaaaa le mbebeez Nimeamua kumblock tu.
nmefurahi stori na msimuliaji anavosimulia,, vimaneno vya kiswazi hadi raha
 
it was never possible kubaki marafiki.... topic ya mahusiano would always come up, mwishowe tunagombanana.
maybe it will be different this time, but moyo haujataka.

plus his lady is too hot. atanitaniaaaa. embu subiri na mimi ning'ae kwanza. 😀

sijamblock lakini nimeiacha tu
teh teh teh
 
House girl haya mambo umejifunzia wapi wakati mabeki tatu mda mwingi mnakua mnapika, mnafua, mnabadilisha watoto nepi etc...
 
Tulisoma wote O'level. Tulianza kudate form 3. Chotara flani amazing la kimasai na kijerumani. We were labeled the most childish couple. I was all shy and innocent. (STILL AM)

The guy was uncircumcised. Sijui Ndomana I got a thing for uncut guys 😀. Circumcision is so unnecessary!!

No I never slept with him. Alikuwa ananionyesha tu na vingine kidogo lakini hatujawahi. I was saving it for marriage 🙂

We were to get married tukimaliza chuo.
Hapo me nawaza harusi tu. Hadi kwa mama mkwe Nilitambulishwa. 😀

Nilikuwa nikimpigia simu ananipa nimsalimie mkwe (mkwe ya muzunguu)

Tulikuwaga Tunaenda movies Jioni. Mie nakuja na dada (hg) na mdogo Wangu mmoja. Peke yangu siruhusiwi. Twice, wazazi walipokuja kutuchukua walimwona. Mara ya kwanza nikawaambia ni school mate. Mara ya pili mama akauliza yule ndo yule school mate wako?

Baadae dada ananiambia na yeye Kaulizwa mara ngapi tumekutana na school mate. Akasema mara kadhaa. Hiyo Ndo Ilikuwa movie ya mwisho kwenda. Mkitaka movie nunueni CD.

Nilimuacha coz tulikuwa tunaandikiana barua anaenda kuonyesha marafiki zake. Sijui kushow off au kunichora!! Mtoa habari mwenyewe sasa!!! Hadi kawaambia eti amenikula. nikamuachaaa kuSave the good girl face huku roho inauma.

Akatuma na watu kuniomba msamaha, eti hadi kalia. Mie trust ishapotea, girl of principles you don't play me like that.

A level akaenda kwingine but we still talked. Tualternate urafiki-uadui.

Fast-forward years later baada ya kupotezana mwenzangu alienda Yulop, I get a facebook request. Naangalia profile nawaza hili tangazo au? Why a hot body builder model guy adding me??

Mweeeee! Hadi aibu mla vumbi mie. Nimechokaje na shillingi inavyoshuka thamani. Last time I saw him alikuwa kyembambaa Hakana Hata nywele moja he looked like a shaved bird na mitege yake.

Damn the guy. Life has treated him well, nikisema mambo yake sio mabaya, it will be an understatement.

Limekuwa refuu sijui ndevu zimemuota lini, bonge moja la goatee. Naona kaamua kukomesha na vyuma kabisa.

Kama hiyo haitoshi kuna le mbebez Kajaaa kwenye profile. nimemuamgaliaaaa le mbebeez Nimeamua kumblock tu.
Uko poa sana kwenye uwasilishaji wa mada,nimependa namna ulivyopangilia stori japo nakupa pole kwa kubwia vumbi la magu.fulia.
 
Tulisoma wote O'level. Tulianza kudate form 3. Chotara flani amazing la kimasai na kijerumani. We were labeled the most childish couple. I was all shy and innocent. (STILL AM)

The guy was uncircumcised. Sijui Ndomana I got a thing for uncut guys 😀. Circumcision is so unnecessary!!

No I never slept with him. Alikuwa ananionyesha tu na vingine kidogo lakini hatujawahi. I was saving it for marriage 🙂

We were to get married tukimaliza chuo.
Hapo me nawaza harusi tu. Hadi kwa mama mkwe Nilitambulishwa. 😀

Nilikuwa nikimpigia simu ananipa nimsalimie mkwe (mkwe ya muzunguu)

Tulikuwaga Tunaenda movies Jioni. Mie nakuja na dada (hg) na mdogo Wangu mmoja. Peke yangu siruhusiwi. Twice, wazazi walipokuja kutuchukua walimwona. Mara ya kwanza nikawaambia ni school mate. Mara ya pili mama akauliza yule ndo yule school mate wako?

Baadae dada ananiambia na yeye Kaulizwa mara ngapi tumekutana na school mate. Akasema mara kadhaa. Hiyo Ndo Ilikuwa movie ya mwisho kwenda. Mkitaka movie nunueni CD.

Nilimuacha coz tulikuwa tunaandikiana barua anaenda kuonyesha marafiki zake. Sijui kushow off au kunichora!! Mtoa habari mwenyewe sasa!!! Hadi kawaambia eti amenikula. nikamuachaaa kuSave the good girl face huku roho inauma.

Akatuma na watu kuniomba msamaha, eti hadi kalia. Mie trust ishapotea, girl of principles you don't play me like that.

A level akaenda kwingine but we still talked. Tualternate urafiki-uadui.

Fast-forward years later baada ya kupotezana mwenzangu alienda Yulop, I get a facebook request. Naangalia profile nawaza hili tangazo au? Why a hot body builder model guy adding me??

Mweeeee! Hadi aibu mla vumbi mie. Nimechokaje na shillingi inavyoshuka thamani. Last time I saw him alikuwa kyembambaa Hakana Hata nywele moja he looked like a shaved bird na mitege yake.

Damn the guy. Life has treated him well, nikisema mambo yake sio mabaya, it will be an understatement.

Limekuwa refuu sijui ndevu zimemuota lini, bonge moja la goatee. Naona kaamua kukomesha na vyuma kabisa.

Kama hiyo haitoshi kuna le mbebez Kajaaa kwenye profile. nimemuamgaliaaaa le mbebeez Nimeamua kumblock tu.
wivu tu
 
ni hali ya kiume tu ya kujisifia makekela ulitakiwa uelewe ini utoto muda huo ungempa nafasi..ona sasa aibu na wivu una mblock bila sababu...sema nin sio ishu hapungui kitu.....story nzuri
 
Hapo umezungumzia wamasai wanaume,wanawake je? Wao wanafanyiwa unyago wakati gani.
Wamasai hawafanyiwi tohara mpaka wawe wakubwa. Hii ni kwa sababu wanatairiwa bila ganzi na atatakiwa kuonyesha kwamba sasa anafaa kuwa mwanaume halisi,kwa kuvumilia maumivu yote.
nilifikiri hajatahiriwa coz kwa mabara Mengi ya Ulaya hawatahiri
 
hebu story ya boyfriend wako wa 2 naye alikuwaje?
Aaaaah... my cherry popper... my heart breaker... GABACHORI langu...you want his story? ain't So pretty.
lakini karudi kwao na yeye kapigika kweli Kama mimi. nafurahi saaana 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom