My first boyfriend

My first boyfriend

Heheh umenifanya Nimkumbuke my child love..kipangaa hivi aliendaga Yale...since then I have a thing for Smart Men...mtu akiwa kilaza naona I can't deal kabisaaa.,akiwa kipangaa bas roho kwatuuu.,maisha bwana
 
Heheh umenifanya Nimkumbuke my child love..kipangaa hivi aliendaga Yale...since then I have a thing for Smart Men...mtu akiwa kilaza naona I can't deal kabisaaa.,akiwa kipangaa bas roho kwatuuu.,maisha bwana
Hivi nyie wadada wa JF hamna aliekuwa na first bf kilaza kama mimi?! 🙂🙂🙂
 
Hivi nyie wadada wa JF hamna aliekuwa na first bf kilaza kama mimi?! 🙂🙂🙂
Hahahaha...tupoo we unadhani baada ya bf hawa kwenda abroad waliofata nao walikuwa vipanga??subutuu,..Mungu anajua kunyoosha watu si mchezoo.. Vipanga waliacha bikra wazee wa kazi wakafanya yao,..
 
brother wanaume wasiokatwa huweza kusumbuliwa na fungus kama wanawake tu, wasipokuwa wasafi.

well too bad hujanielezea...but me sioni tofauti, as far as circumcision is concerned. hata Afrika kuna jamii hazitahiri vile vile.

kukata ili kupunguza maambukizi ya UKIMWI ni umburulaz. acheni ngono zembe.

kukata kupunguza uwezekano was kupata cancer nayo ni umburulaz. tuwakate wasichana nyonyo ili tuwapunguzie uwezekano was kupata breast Cancer?.

FYI kuna wanaweke wengi wamekatwa nyonyo zao kuzuia au kupunguza uwezekano wa kupata cancer. Familia ambazo unakuta bibi, mama, mama wadogo na wakubwa wanapata breast cancer, wanawake wanaotoka kwenye familia kama hizi hushauriwa kufanya mastectomy kama njia mojawapo ya kuzuia ugonjwa huo.

Mastectomy
is surgery to remove all breast tissue from a breast as a way to treat or prevent breast cancer. For those with early-stage breast cancer, mastectomy may be one treatment option.
 
MY FIRST BOYFRIEND!
mmh sijui ni yupi
kuna wa kutaka chum chum hakukiss
kuna wa story hakula
kuna wa notes hakula
kuna wa company alikulaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpk akaoa!
mfyuuuuuu zako Mangi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom