my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

fallen angel inavoonekana unampenda sana mchumba wako
kiasi kua hata huyo mdada akiendelea kuleta vitimbi,au hata akija hapo nyumbani kwako utasamehe tu
 
Last edited by a moderator:
acha kabisa
sa apa sijaelewa alikua anahitaji ushauri wa nini cha kufanya,anayaongea ili yasiendelee kumuuma moyoni ama vipi? maana kuna mahali kasema anamsubiri mchuchu ndo aje a ''decide on them''..
Chezea mahaba niue! teh
 
Pole "fallen angel". Experience yangu katika mahusiano inaniaminisha kuwa wanaume wengi (siwezi kusema %ngapi) lakini kwa hakika wengi waliopo kwenye mahusiano wana-cheat! Imefikia kuwa "kawaida" kabisa kwa mwanaume kuwa na smallhouse. Hata wanawake wengi wanaikubali hali hii (pande zote; waliopo kwenye ndoa kuridhika na wanaume zao wanaocheat na hao smallhouse kuridhika kuwa smallhouse). Ni utamaduni ambao unazoeleka sasa. Naamini kilichotokea ni huyo "my man" kukamatika kwa hicho kipoozeo kwani wewe upo mbali. Alitamani "hit n run" lakini akadakwa. Bi mdada "hooker" anataka kukutoa kwenye nafasi aingie. Chukua hatua. Hata ukiamua kumuacha "my man" wako, utaacha wangapi? Wanaume ndivyo tulivyo. Mwisho wa siku utaishia "kuchukuliwa" na kuachwa. Thamani yako itaisha. Cha kufanya pambana hadi tone la mwisho umrejeshe my man wako. Wengi wamesha-shauri nini cha kufanya!!
 
Tembea ujionee. Na wanawake wa siku hizi hawana staha. Ukimuuliza anajieleza kama kameza kanda. Hukawii kuambiwa 'unakumbuka siku ile mtoto anaumwa unapiga simu kila saa ukampeleka temeke hospitali na daladala? Tulikuwa machimachi guest hausi, akawa anasema unajidekezaga unasingizia watoto'
Unabaki khaaaa.

Huyo sio mwanaume, sepa atakuboa tu
 
wala hatujakutana mitandaoni, ni wa longi kabla hiyo mitandao haijaleta mapinduzi... kanishangaza sn kiukwl
fallen angel!
Maana ya jina lako ni MALAIKA ALIYEANGUKA
Maana halisi u shetani yaani Ibilisi.
Umeanguka kwa ujinga wako
Umemwagwa hula lako \
Chezea mitandao ya kijamii @ mitandao ya kutongozana​
Ukiona manyoya ameliwa huyo
BF wako sio mwanaume ni mtoto wa kuime
Amezaliwa akiwa na uboo lakini sio mwanaume
Sio mwanaume na mbaya zaidi sio NYAMAUME
Hajitambui, hajui namna ya kukata mawasiliano na mpnz
Ameeshikwa akashikika, chezea mauno ya kitanga weye Mchaga wa Kirua!
Tafuta PENZI lingine umeshatoshwa baharini
BAharini hakuna ushahidi kwani papa huwa mizoga.

Bazazi

 
Last edited by a moderator:
wala hatujakutana mitandaoni, ni wa longi kabla hiyo mitandao haijaleta mapinduzi... kanishangaza sn kiukwl
Mtandao wa FaceBook una matatizo na madhara makubwa sana hasa kwa Wapendanao
Kwanza ungejua ulivyoanzaanza huko USA kwa wanafunzi ilikuwa ni hivihivi udakuudaku wa nani ni mzuri hapo Chuoni
Kwa hiyo yamekukuta Picha zako zote zitaanikwa hata mkimBlock huyo Bint kwani ana access zenu.
Huyo Mwanaume punguza naye kasi hata kuachana atajazitoa za faragha siku mkikosana (Mambo yaleyale ya Big Brother)
 
Thaman ya hadhi yako ni kubwa kuliko huo uhusiano mama. Unayo nafasi ya kufanya maamuz. Kwa upand wangu huyo hafai kuwa mume. Tuupa kuleee!!!
 
hapo kwenye RED ndo wanapokosea mabinti wengi......
huyo si mumeo, anatoka na mtu mwingine na anamwambia kila kitu kuhusu wewe bado unataka kumng'ang'ania kisa usimpe mpinzani ushindi....... nashukuru mimi sikupewa busara hizi jamani

vp angekuwa mmewe wa ndoa afu akatoa siri za ndani?
 
 
Last edited by a moderator:
Hilo sio swala la kujiuliza dadaangu umeshaoneshwa mlango utoke unag`ang`ania, utakufa wewe umeshasema anatembea na vinuka mkojo sasa wewe unaweka upinzani na vinuka mkojo na wewe tukuweke kundi gani? tafakari chukua hatua utakufa ukimwi upo.. hapo ni kinuka mkojo kimoja bado vingi vimejipanga foleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom