deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 947
wala ishu sio kumpenda sn bt kaniduwaza mno,, imekuwa gafla hlf cjawahi waza he z capable of doing wht he has done
na bado atakuduwaza zaidi endelea kumbeba mtu ambaye habebeki
wala ishu sio kumpenda sn bt kaniduwaza mno,, imekuwa gafla hlf cjawahi waza he z capable of doing wht he has done
Teh teh. New past timeUmekuwa internet sleuth siku hizi?
Kwan mna umri gani nyote watatu?
Najua kitu unachotaka kusema, ila lazima tuwe wavumilivu kabla na baada ya ndoa. Kama huna uvumilivu katika uchumba usitegemee kuwa nao ukishaolewa (definition yangu ya kuolewa inahusu me na ke, kwani siku hizi naona makaka zetu waliotangulia wameolewa tu ingawa wao hujiona wameoa. Anayeoa ni head of household na HH wa siku hizi ni nyie akinake). Nyota njema huonekana asubuhi.hilo ni kosa jingine...... naishia hapo
Pongezi zangu kwako bidada. Ushauri mwanana. Nimefanya tathimini katika sred hii, inaonyesha wengi tunataka kumharibia, pengine kwa sababu hatuna wenzi hivyo tutafurahi huyu naye akijiunga kundi letu. Huu ni mtizamo tuPole...pole... pole again. sikushauri uachane nae coz umeshasema utampa mpinzani wako ushindi. Msamehe tu.
Naomba nipingane nawe, kwangu napenda uvumilivu kwa pande zote maana wengi hatupo wasafi siku hizi.Angekuwa mwanaume ndo kaleta huu uzi wala usingeona sehemu kaambiwa vumilia, usimwache n.k yote ingekuwa picha chini huyo hafai.
Good Girl, subira yavuta heri. I wish ningemjua huyo kaka tungemshauri, unajua sisi wa dot com tunakosa ushauri wakati mwingine. Hizi k ni za kupita bali waolewaji kama wewe ni wachache. Utagundua mwolewaji kwa comments zake. Piga chini ni rahisi kumweleza mwenzio wakati wewe umekumbatia!!! Tujirudi. Msisahau kuja njinjo kwa honeymoon mpya na mtangaze ndoa kabisa ila uonyeshe ushindi.Merci)Thankyuni wote wadauz mana my brain waz empty...nilipigwa na butwaa coz cjawahi waza ntakuja kutana na vitimbi vya style hii maishani khaaaaa!!!namngoja nisikilize defence atayokujanayo... will decide thereafter
kwa hiyo unatupotezea muda kujadili hili?
yaani umekuja unalia kuomba ushauri kumbe solution anayo aliyekutenda....
wewe huna say, sisi pia (kama outside factors) hatuna say, sasa kwa nini umekuja kujidhalilisha hapa? umekuja kutuambia uchafu woote ambao unatendewa na huyo bwana halafu unatuambia yeye ndo atatoa maamuzi...... If I ever knew......!
Kama nani?......
kutumika kivipi?