my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

Mhhhhhh! Ngoja nitarudi.

Mdogo wangu, maisha unayoishi yataku cost sanaa! All I can tell you its never worth it.

Utatumika mpaka utapojisoma! And it will be too late.
umeona eeehhh!
yaani mimi watu wa hivi nawaona wana busara sana..... mimi nilizikosa kwa kweli..... yaani uniletee za kuleta bado nakung'ang'ania tu? na si mume wangu! kwani wakaka wameisha? hata kama wameisha nikiwa mwenyewe ndo nitakufa?
 
hapo kwenye RED ndo wanapokosea mabinti wengi......
huyo si mumeo, anatoka na mtu mwingine na anamwambia kila kitu kuhusu wewe bado unataka kumng'ang'ania kisa usimpe mpinzani ushindi....... nashukuru mimi sikupewa busara hizi jamani

Ushauri mzuri lakin kwa hiyo kama angekuwa mume wake hapo ungemshaurije?
 
Kwa hisani ya Kandi-Excape Member

"Cheatin On Me"

[verse 1]
When I got home last night
Something didn't seem right
I think I know whats goin on
There's been another ho in my home
Cigerettes in the trash
And he doesn't even smoke
Two glasses in the sink
The Dom is still cold
Trojans come in three
But one is gone
Hell no
Said I know what's goin on

[hook]
My man's has been cheatin on me
My momma told me there'd be days like this
My man's been cheatin on me
[repeat hook]

[verse 2]
How could he do this to me
Turn around and smile in my face
While he was out somebody else
Puttin her in my place

[hook]
[bridge]
What am I supposed to do
When I put my trust in you
What am I supposed to say
When you gave my love away
I gave you all my love
Repaid with your lies
Not checkin for your games
Don't wanna hear no alibis
Now I'm out the door
Cause I just can't take it no more

[breakdown]
Cheatin on Cheatin on
Cheatin on Cheatin me
Creepin on Creepin on
Creepin on Creepin on me
 
Ushauri mzuri lakin kwa hiyo kama angekuwa mume wake hapo ungemshaurije?
Ni ngumu sana kuvunja ndoa......
ndoa ina mambo mengi sana, ilishashirikisha watu wengi sana. sijawahi shauri mtu avunje ndoa yake hata kama mwenzi wake kafanya kosa gani. ningemshauri aongee na mwenzi wake waone tatizo liko wapi. na kama mume ameshaliona kosa lake na kaomba msamaha basi wanaweza kuendelea.
 
Ni ngumu sana kuvunja ndoa......
ndoa ina mambo mengi sana, ilishashirikisha watu wengi sana. sijawahi shauri mtu avunje ndoa yake hata kama mwenzi wake kafanya kosa gani. ningemshauri aongee na mwenzi wake waone tatizo liko wapi. na kama mume ameshaliona kosa lake na kaomba msamaha basi wanaweza kuendelea.

Fine ila haya maisha ni wendawazimu mtupu, uolewe usiolewe mambo yaleyale.
 
hapo kwenye RED ndo wanapokosea mabinti wengi......
huyo si mumeo, anatoka na mtu mwingine na anamwambia kila kitu kuhusu wewe bado unataka kumng'ang'ania kisa usimpe mpinzani ushindi....... nashukuru mimi sikupewa busara hizi jamani


simaanishi sitochapa lapa if ikibidi, anakuja town kesho kuweka mambo sawa so itategemea na msimamo wake on us and his future acts...
 
Kila mtu ana haki ya kupenda lakini usikubali kirahisi mtu akuharibie maisha yako eti kwa sababu ya mapenzi.kuna usemi usio rasimi sana kama hujui kusoma hata picha huwezi kuielewa?
 
umeona eeehhh!
yaani mimi watu wa hivi nawaona wana busara sana..... mimi nilizikosa kwa kweli..... yaani uniletee za kuleta bado nakung'ang'ania tu? na si mume wangu! kwani wakaka wameisha? hata kama wameisha nikiwa mwenyewe ndo nitakufa?


simaanishi namng'ang'ania jaman, yy anaonekana yuko tayari ku'clear the mess kwa price yyte...up to now keshamconfront huyo binti..so kuchapa kwangu lapa kutategemea na his stand on us na sio other outside factors...kukosea tumeumbiwa wanadamu
 
Dada usiwadharau hao unaowaita vinuka mkojo kuna vitu extraordinary wanamfanyia mchumba wako hadi anatoa mambo yenu ya ndani..jichunguze mchawi waweza kuwa mwenyewe
 
NAWAZA TU KIVIVU.......kama Eva/hawa alifanikiwa kumdanganya Adam kula lile tunda, ni vipi shostito ashndwe kumshawish jamaa yako aeleze yote na kutoa hadi hzo password????
 
UsilZimushe mapenzi love. Jipange kuwa na subira utampata atakayekufaa na kukupenda na hatokucheat
 
songa mbele utampata atakaekuheshimu yani mtu akuvue nguo hadharani na wewe unaendelea kumng'ang'ania kisa unampenda thnk twice utajuta baadae muombe mungu atakupa husband material
 
Hapo huna mume wala mchumba shoga,,, mwanaume anaekuheshimu hawezi kutoa details zako!!!!!!!!
Jitambue na ujue thamani yako..
 
pole sana ila inaonekana huyo bidada hajiamini ndio maana anatafta chokochoko. we endelea na mpnz wako vizuri, mzungumze yaishe. mwache aingie kwa kasi siku zake za kuumbuka zinakaribia. usimuache mpnz wako... halafu mwambie huyo bwana awe anacheat kwa akili bana.
Nimekupenda kuliko Jana. Wewe ni mwanamke wa shoka. Mwaaaaaa comment hii ni ya kiukomavu. Thanks
 
Zingatia ushauri wa ndg hapo juu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ameshindwa kukustahi, hakuheshimu, hakuthamini... Bado unafikiria nini tena mamii?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
angeishia kunicheat but hadi kumpa huyo binti details zangu mie!!!!!!!!!!!!!!!!! NAH..nah…nah…imenikera hadi nakaribia kupasuka hapa.

Hahahahahaaaaaa,
Sipati picha alimpa details gani kuhusu wewe;
"yule usimuone mbwembwe tu ila kitandani hamna kitu pale, tena ananuka dudu mpaka huwa najihisi kichefuchefu"
"Yaani yule mwanamke ni mchafu kuoga mara moja kwa wiki, ni mapafyumu tu anajua kujipulizia"

Jiulize kama kweli unahitaji mwanaume atakayekuwa anawaeleza Malaya zake habari zenu za ndani...
Giving up doesn't mean you are weak, sometimes it means you are strong enough to let go....
Do Something......
 
Hahahahahaaaaaa,
Sipati picha alimpa details gani kuhusu wewe;
"yule usimuone mbwembwe tu ila kitandani hamna kitu pale, tena ananuka dudu mpaka huwa najihisi kichefuchefu"
"Yaani yule mwanamke ni mchafu kuoga mara moja kwa wiki, ni mapafyumu tu anajua kujipulizia"

Jiulize kama kweli unahitaji mwanaume atakayekuwa anawaeleza Malaya zake habari zenu za ndani...
Giving up doesn't mean you are weak, sometimes it means you are strong enough to let go....
Do Something......

Duh................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom