my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

my fiance's hooker is coming my way...msaada pliiiiiz!!!

baby ake

Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
60
Reaction score
17

za w'end wana jf....

Nina mchumba ambaye anaishi mkoa while I’m stayn in dar. tumekuwa tukitembeleana mara kwa mara ili kuyapa mapenzi yetu uhai na currently tunashughulikia uhamisho mmoja wetu kumfata mwenzake.

Sasa the prblm is hivi juzi kati kaibuka binti huko kwny fcbk kutundika mapicha alopiga na man wangu zingine za chumbani,, nikamwuliza mzeiya akasema hamna kitu km hicho labda ni dem wa mmoja wa marafk zake.


Jana asbh nimepokea msg frm my man akinieleza hajawahi kunipenda anajilazimishaga tu anampenda sn huyo msichana na nisiote kwmb atakuja kunioa blah blah blah…
Nikamwendea hewani, akaniambia hajui lolote on that msg nikamfowadia…later on akafunguka kwmb nimsamehe sana ni kweli anatoka na huyo binti na imechangiwa na kwmb yy ni mwanaume na mie nipo mbali ni shetani alimpitia. Akakiri kuwa bidada kuna time aliazima simu yake hivyo ndiye aliyetuma hiyo text.

Huyo binti hajaishia hapo, anatapika mno huko fb it seems she has all my details even siri za ndani sana huyu bwana kamweleza, sielewi why ampe details zangu hadi zile ambazo ni more sensitive…dada anatiririka tu fcbk…mbaya zaidi alifanikiwa kuingia kwny fb A/C ya man wangu full kujitumia msgs na kukoment on her pics (ionekane huyo bwn ndo anaecomment). Now mashemeji zangu wameona, they ask me nabaki kujichekesha na kuwaambia wamwulize mhusika. [mpaka sasa amesham’block hana tena access na amedelete hayo mauzauza]


Naomba msaada wa mawazo wanajf nimekwama, bwn ananiomba msamaha saaaaana na mie kiukwl nimemshusha thamani saana tu afadhl angeishia kunicheat but hadi kumpa huyo binti details zangu mie!!!!!!!!!!!!!!!!! NAH..nah…nah…imenikera hadi nakaribia kupasuka hapa. Amenidhalilisha mnoooo im thinking of breakn up bt naona kama nitakuwa nimempa ushindi huyo dada coz ye ndicho anachokitaka… nimechokaje na haya majambo sasa kaka mtu mzima kwenda kuhangaika na vinuka mkojo matokeo yake watu tunachafuliwa khaaaaaaaaaa…….
 
^^
Mlikutana mitandaoni?
Utapata hasara zipi ukiachana nae?
Je,picha hizo na sms sio njia mbadala ya kukufikishia ujumbe?
Ukiamua kuwa kimya kwa mwezi mzima haiwezi kukusaidia?
Tafakari maswali hayo mwisho uchukue uamuzi utakaokupa faida kubwa ktk gharama kubwa!!
Pole fallen angel
^^
 
Last edited by a moderator:
Sio wako tena huyo, tena alivyomzembe anatowa mpaka privcy ishu zenu
 
wala hatujakutana mitandaoni, ni wa longi kabla hiyo mitandao haijaleta mapinduzi... kanishangaza sn kiukwl
 
Kwan mna umri gani nyote watatu?
 
pole sana ila inaonekana huyo bidada hajiamini ndio maana anatafta chokochoko. we endelea na mpnz wako vizuri, mzungumze yaishe. mwache aingie kwa kasi siku zake za kuumbuka zinakaribia. usimuache mpnz wako... halafu mwambie huyo bwana awe anacheat kwa akili bana.
 
Mmm hilo jina lako...! Mara ya kwanza kuliskia nlifafanuliwa kuwa "ibilisi" ndio "fallen angel" maana yeye ndiye malaika aliyeangukaga (ofcourse na malaika wengine wengi lakini yeye ndio alikuwa kiongozi wao). Alianguka baada ya kitaka kuabudiwa yeye badala ya Mungu. Yawezekama hujui maana yake au lah ndiyo unayoimaanisha.

Anyway, back to your topic. Mpaka huyo binti awe na ujasiri wa kuja kukuandama na kukuchafua akiwa na details zako za ndani maana yake unayemuita "my man" hakuthamini kihivyo unavyodhani wewe, he just sees you as some woman na amempa huyo binti ujasiri, otherwise angekuheshimu walau kwa kuto kukusema vibaya kwa mwanamke mwingine. Jumlisha na hilo jingine naloweza kusema yawezekana that man alidatishwa kweli na huyo binti na alipanga kukuacha kiukweli ila huyo dada mapepe yake yamemfanya awazie uamuzi wake mara mbili na kugundua huyo binti hamfai ndio maana anakuomba msamaha.

Sasa ninachokushauri, kwa mtazamo kuwa jamaa alitaka kukuacha, jikague makosa yako yaweza kuwa wapi urekebishe. Wakati huo huo epuka kutolea maelezo juu ya hayo matukio kwa watu, ili uamuzi wako wa mwisho usiendeshwe na watu na amani yako isipate heka heka maana comments za watu bwana nazo mmh. Pata muda mwenyewe zaidi, dont give him your attention, let him make efforts to have you back in one piece and not broken. Muombe Mungu Akupe macho ya rohoni uweze kuona lililo sahihi kuamua hapo utapokuwa umeshatulia, kama uedelee naye au lah! Ila pia kwanza ya yote, msamehe na achilia uchungu juu yake, for your own good, hii haimaanishi urudiane naye.
 
Yaani 'my man' a cheat,kama hiyo haitoshi ampe details zangu huyo hawara yake! !!!!
Inaweza ikatokea maana wanaume nao sio wa kuwalia yamini,ila nina uhakika likinifika hilo sitahitaji ushauri wa mtu ili kuamua cha kufanya.
 

za w'end wana jf....

Nina mchumba ambaye anaishi mkoa while I'm stayn in dar. tumekuwa tukitembeleana mara kwa mara ili kuyapa mapenzi yetu uhai na currently tunashughulikia uhamisho mmoja wetu kumfata mwenzake.

Sasa the prblm is hivi juzi kati kaibuka binti huko kwny fcbk kutundika mapicha alopiga na man wangu zingine za chumbani,, nikamwuliza mzeiya akasema hamna kitu km hicho labda ni dem wa mmoja wa marafk zake.


Jana asbh nimepokea msg frm my man akinieleza hajawahi kunipenda anajilazimishaga tu anampenda sn huyo msichana na nisiote kwmb atakuja kunioa blah blah blah…
Nikamwendea hewani, akaniambia hajui lolote on that msg nikamfowadia…later on akafunguka kwmb nimsamehe sana ni kweli anatoka na huyo binti na imechangiwa na kwmb yy ni mwanaume na mie nipo mbali ni shetani alimpitia. Akakiri kuwa bidada kuna time aliazima simu yake hivyo ndiye aliyetuma hiyo text.

Huyo binti hajaishia hapo, anatapika mno huko fb it seems she has all my details even siri za ndani sana huyu bwana kamweleza, sielewi why ampe details zangu hadi zile ambazo ni more sensitive…dada anatiririka tu fcbk…mbaya zaidi alifanikiwa kuingia kwny fb A/C ya man wangu full kujitumia msgs na kukoment on her pics (ionekane huyo bwn ndo anaecomment). Now mashemeji zangu wameona, they ask me nabaki kujichekesha na kuwaambia wamwulize mhusika. [mpaka sasa amesham'block hana tena access na amedelete hayo mauzauza]


Naomba msaada wa mawazo wanajf nimekwama, bwn ananiomba msamaha saaaaana na mie kiukwl nimemshusha thamani saana tu afadhl angeishia kunicheat but hadi kumpa huyo binti details zangu mie!!!!!!!!!!!!!!!!! NAH..nah…nah…imenikera hadi nakaribia kupasuka hapa. Amenidhalilisha mnoooo im thinking of breakn up bt naona kama nitakuwa nimempa ushindi huyo dada coz ye ndicho anachokitaka… nimechokaje na haya majambo sasa kaka mtu mzima kwenda kuhangaika na vinuka mkojo matokeo yake watu tunachafuliwa khaaaaaaaaaa…….

pole sana kwa haya yanayokupata,nachoweza kukwambia ni kwamba,MISTAKES ARE EVERYWHERE,LIFE IS FULL OF MISTAKES.BUT DO YOU KNOW WHY LIFE IS FULL OF MISTAKES?BECAUSE,IT DOESN'T COME WITH USERS' MANUAL

be stong
 
Yaani 'my man' a cheat,kama hiyo haitoshi ampe details zangu huyo hawara yake! !!!!
Inaweza ikatokea maana wanaume nao sio wa kuwalia yamini,ila nina uhakika likinifika hilo sitahitaji ushauri wa mtu ili kuamua cha kufanya.[/QUOT


lipi hilo ungeamua fanya? lets share plz. Binafsi niko njia panda but the bottom line is nataka huyu bwana aonje consequense ya upuuzi alonifnyia. I wont let it go so easily
 
Kuna siku shetani atasema sasa basi,nimechoka kusingiziwa!!Kwa kifupi huyo bwana yako hakufai tena.Ila uamuzi wa mwisho unao wewe.
 
lipi hilo ungeamua fanya? lets share plz. Binafsi niko njia panda but the bottom line is nataka huyu bwana aonje consequense ya upuuzi alonifnyia. I wont let it go so easily[/QUOTE]

Kama nakuona na 'Oops! Hit 'em up style'
when you go everything goes!!

Mi wala nisingegeuka nyuma mwaya
 
wala hatujakutana mitandaoni, ni wa longi kabla hiyo mitandao haijaleta mapinduzi... kanishangaza sn kiukwl
  • Funga safari, kamkalishe mzungumze, na kipindi hicho mtakachokuwa pamoja lazima utajua tu msimao wake.
  • Usikimbilie kuvunja uhusiano, kumbuka umetokanaye mbali na unamfahamu vyema.
  • Katika matatizo ya mahusiano hili haliwezi kuwa listed, huu ni mtazamo wangu.
​
Amenidhalilisha mnoooo im thinking of breakn up bt naona kama nitakuwa nimempa ushindi huyo dada coz ye ndicho anachokitaka…
 


Naomba msaada wa mawazo wanajf nimekwama, bwn ananiomba msamaha saaaaana na mie kiukwl nimemshusha thamani saana tu afadhl angeishia kunicheat but hadi kumpa huyo binti details zangu mie!!!!!!!!!!!!!!!!! NAH..nah…nah…imenikera hadi nakaribia kupasuka hapa. Amenidhalilisha mnoooo im thinking of breakn up bt naona kama nitakuwa nimempa ushindi huyo dada coz ye ndicho anachokitaka… nimechokaje na haya majambo sasa kaka mtu mzima kwenda kuhangaika na vinuka mkojo matokeo yake watu tunachafuliwa khaaaaaaaaaa…….
hapo kwenye RED ndo wanapokosea mabinti wengi......
huyo si mumeo, anatoka na mtu mwingine na anamwambia kila kitu kuhusu wewe bado unataka kumng'ang'ania kisa usimpe mpinzani ushindi....... nashukuru mimi sikupewa busara hizi jamani
 
Pole xana bidada jaman kiukwel mapenz aya hayana fundi kila m2 ana janga lake,ila janga lako wewe dogo sana nyie taften namna ya kuonana myaweke mezani yaishe,skushaur uachane na ki2nda chako ahsante!
 
Hold on to ur man,


Ukiskia challenges ndo kama hizo



Don't giv her the satisfaction of seeing u defeated


Wewe ndo mwenyewe huyo bidada atabaki kua "side dish" tuu


Jiamini


Jikubali


Msamehe mpenzioo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom