Heshima wakuu..
inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.
so far najua hajaolewa.
wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?
Heshima wakuu..
inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.
so far najua hajaolewa.
wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?
Heshima wakuu..
inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.
so far najua hajaolewa.
wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?
Heshima wakuu..
inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.
so far najua hajaolewa.
wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.
how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...
WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.
how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...
WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily
Rogue, lakini nadhani kuna haja ya kuangalia practicality za huo uhusiano unaotaka kuufufua. Huyo binti umesema yuko Bongo. Wewe hujasema ulipo lakini inaonyesha uko nje ya nchi. Sasa unategemea i-work vipi?
Mapenzi ni psychological thing, ukijitambua vizuri haiwezi kukusumbua kama inavyokusumbua sasa. Nadhani unahitaji cognitive therapy ili uwe fit kumove on na maisha yako. Hii ya kuona maisha hayaendi sawa mpaka mtu fulani awashe mshumaa siyo nzuri kwa afya ya akili yako.
hapana mkuu...nimeuelewa sana point yako.
tatizo sio maisha hayasongi bila yeye,swala muhimu ni utambua wangu kwamba yeye ndo choice yangu maishani,i regret it took a while for me kujua this.yeye ndo napenda awe "maza hausi"..sasa kama itashindikana basi inshallah,yote anapanga Muumba.
hapana mkuu...nimeuelewa sana point yako.
tatizo sio maisha hayasongi bila yeye,swala muhimu ni utambua wangu kwamba yeye ndo choice yangu maishani,i regret it took a while for me kujua this.yeye ndo napenda awe "maza hausi"..sasa kama itashindikana basi inshallah,yote anapanga Muumba.