M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).
uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.
Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba
PM: Dr Slaa / Prof Lipumba
AG: Tundu Lissu
Mawaziri:
1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Z'bar aka CUF)
2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)
3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)
4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)
5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)
6. Katiba & sheria: Prof Safari
7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)
8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)
9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Z'bar aka CUF)
10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)
11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)
12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)
13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)
14. Afya & Ustawi: TBA
15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)
uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.
Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba
PM: Dr Slaa / Prof Lipumba
AG: Tundu Lissu
Mawaziri:
1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Z'bar aka CUF)
2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)
3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)
4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)
5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)
6. Katiba & sheria: Prof Safari
7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)
8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)
9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Z'bar aka CUF)
10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)
11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)
12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)
13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)
14. Afya & Ustawi: TBA
15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)