My dream cabinet 2015 - 2020

My dream cabinet 2015 - 2020

Engineer.Habib Mnyaa lazima akae sehemu

Hakuwekwa pahala popote sababu katika kura za maoni jimboni kwake MKANYAGENI wapigakura wake wamempa nafasi ya tatu akaokolewa na baraza kuu. Labda apanga safu amezingatia hilo
 
Kwa kweli umethubutu sasa kama Zanzibar pia ikakwapuliwa na UKAWA ule mseto vipi?
 
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).

uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.

Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba

PM: Dr Slaa / Prof Lipumba

AG: Tundu Lissu

Mawaziri:

1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Z’bar aka CUF)

2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)

3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)

4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)

5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)

6. Katiba & sheria: Prof Safari

7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)

8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)

9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Z’bar aka CUF)

10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)

11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)

12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)

13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)

14. Afya & Ustawi: TBA

15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)

Ni kweli watz tunahamu ya mabadiliko na kweli tunayahitaji lakini huo mbadala wa waliopo ndio hao??!!! Sijui
 
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).

uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.

Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba

PM: Dr Slaa / Prof Lipumba

AG: Tundu Lissu

Mawaziri:

1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Z’bar aka CUF)

2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)

3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)

4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)

5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)

6. Katiba & sheria: Prof Safari

7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)

8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)

9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Z’bar aka CUF)

10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)

11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)

12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)

13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)

14. Afya & Ustawi: TBA

15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)

Mkuu japo ulichoandika ni kitu cha kusadikika hata hivo sio mbaya tukishauri incase miujiza ikatokea
Namba 1 ndipo kosa lako lilipo,ni Bora huyo DJ awe hata makamu wa Rais au PM lakini sio hiyo Wizara uliyompa,nashauri yeye umuweke wizara za kisanii hapo jukumu hilo Muachie Profesa Lipumba.
 
Jamani msimsahau Zitto Kabwe kama naibu Waziri wa Mambo ya ndani..
 
Ni kweli watz tunahamu ya mabadiliko na kweli tunayahitaji lakini huo mbadala wa waliopo ndio hao??!!! Sijui

mkuu, hujakatazwa kupanga dream cabinet yako.

criticise (kata mti) lakini toa wazo mbadala (panda mti).
 
Ni kweli watz tunahamu ya mabadiliko na kweli tunayahitaji lakini huo mbadala wa waliopo ndio hao??!!! Sijui

Haa ha ha ni kama tunataka kulazimisha hivi wakati option haipo.


Hapo sijaliona baraza kabisa hapo.Tujenge vyama, tuongeze uwezo.Hilo kundi lililopo hapo hakuna uongozi, hawana upeo wa kushika nafasi hizo.

Kwenye hiyo timu mwenye uwezo wa uongozi ni watu wanne tu, Dr Slaa, Mbatia, na Prof Lipumba na Kafulila mwenye hadhi ya kuwa Naibu Waziri.


Wengine wapo hapo uwezo wao mwisho wao ni ubunge tu
 
Mkuu japo ulichoandika ni kitu cha kusadikika hata hivo sio mbaya tukishauri incase miujiza ikatokea
Namba 1 ndipo kosa lako lilipo,ni Bora huyo DJ awe hata makamu wa Rais au PM lakini sio hiyo Wizara uliyompa,nashauri yeye umuweke wizara za kisanii hapo jukumu hilo Muachie Profesa Lipumba.

Hujui DJ yupo kipesa zaidi?kama Ukawa ikiingia madarakani DJ atahitaji kama sio uwaziri mkuu ni kwenda kukaa kwenye pesa.Yupo kipesa zaidi.
 
yaani wenje aongoze wizara ya elimu? utakuwa mwehu wewe. hivi kuna wizara inaweza ongozwa na sugu?
ama kweli hiki ni kinyesi cha aina yake. da!


kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).

uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.

Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba

PM: Dr Slaa / Prof Lipumba

AG: Tundu Lissu

Mawaziri:

1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Z’bar aka CUF)

2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)

3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)

4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)

5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)

6. Katiba & sheria: Prof Safari

7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)

8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)

9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Z’bar aka CUF)

10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)

11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)

12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)

13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)

14. Afya & Ustawi: TBA

15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)
 
And it will remain the DREAM forever...!!!

Keep dreaming, CCM Lowassa 2015 ndio mpango mzima..!!

Enjoy ur UKAWA nightmares...!!!!
 
Back
Top Bottom