NCCR wamo 4 mkuu (Mbatia, Machali, Mkosamali & Kafulila)
Engineer.Habib Mnyaa lazima akae sehemu
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).
uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.
Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba
PM: Dr Slaa / Prof Lipumba
AG: Tundu Lissu
Mawaziri:
1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Zbar aka CUF)
2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)
3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)
4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)
5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)
6. Katiba & sheria: Prof Safari
7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)
8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)
9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Zbar aka CUF)
10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)
11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)
12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)
13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)
14. Afya & Ustawi: TBA
15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).
uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.
Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba
PM: Dr Slaa / Prof Lipumba
AG: Tundu Lissu
Mawaziri:
1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Zbar aka CUF)
2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)
3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)
4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)
5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)
6. Katiba & sheria: Prof Safari
7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)
8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)
9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Zbar aka CUF)
10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)
11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)
12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)
13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)
14. Afya & Ustawi: TBA
15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)
Ni kweli watz tunahamu ya mabadiliko na kweli tunayahitaji lakini huo mbadala wa waliopo ndio hao??!!! Sijui
Mkuu japo ulichoandika ni kitu cha kusadikika hata hivo sio mbaya tukishauri incase miujiza ikatokea
Namba 1 ndipo kosa lako lilipo,ni Bora huyo DJ awe hata makamu wa Rais au PM lakini sio hiyo Wizara uliyompa,nashauri yeye umuweke wizara za kisanii hapo jukumu hilo Muachie Profesa Lipumba.
Hahahaha watatuua aseeHujui DJ yupo kipesa zaidi?kama Ukawa ikiingia madarakani DJ atahitaji kama sio uwaziri mkuu ni kwenda kukaa kwenye pesa.Yupo kipesa zaidi.
kutakuwa na mawaziri kamili 15 (badala ya 30 wa sasa) na deputies 18 (badala ya 23 wa sasa).
uteuzi huu umezingatia kazi zaidi - so vigezo kama gender, dini, jiografia, etc havijapewa nafasi badala yake nawaachia wengine wanaooamini kuwa vina manufaa yoyote.
Rais: Dr Slaa / Prof Lipumba
PM: Dr Slaa / Prof Lipumba
AG: Tundu Lissu
Mawaziri:
1. Fedha & uchumi: Freeman Mbowe (2 deputies mmojawapo atoke Zbar aka CUF)
2. Ulinzi: James Mbatia (deputy atoke Zanzibar aka CUF)
3. Kilimo, mifugo na uvuvi: Deo Filikunjombe (deputy Silinde)
4. Mawasiliano & Uchukuzi: David Kafulila (2 deputies)
5. Miundombinu: Machali / Mkosamali (mmoja waziri mwingine naibu wake)
6. Katiba & sheria: Prof Safari
7. Elimu (levels zote ikiwemo VETA): Wenje (2 deputies wa UKAWA)
8. Nishati, Maji & Madini: John Mnyika (2 deputies)
9. Mambo ya nje (pamoja na EAC): John Mrema (deputy atoke Zbar aka CUF)
10. Habari, Vijana, Utamaduni & Michezo: Jenerali Ulimwengu (deputy Julius Mtatiro)
11. Ardhi & makazi: Halima Mdee (deputy Mr Sugu)
12. Mambo ya ndani: Mabere Marando (deputy Godbless Lema)
13. Tourism, Industry & Trade: TBA (2 deputies)
14. Afya & Ustawi: TBA
15. Kazi na ajira (idara ya civil service humu nayo): TBA (1 deputy)