Huu sio ushahidi, hizi ni fikra zako na kila mtu analo la kufikiria khs hilo.Sina ushahidi, ila mazingira tu yanaonyesha alihusika.
●Yeye na watu wake waligoma kabisa kumpeleka hospital.
●Waligoma kabisa kumpa huduma/haki zake huko hospitali.
●Alipopona wakakataa kumlipa stahiki zake kama mbunge.
Alipoingia bimama ndio kwenye zile 4R(ambazo kimsingi ni bosheni na uongo tu), wakampa stahiki zake.
Huo ndio ushahidi wangu wa kimazingira. Na kama kweli hakuhusika, hata Polepole kwenye hizi episodes zake angemsafisha, ila hawezi.
Huyu Nyani Ngabu amekuwa degraded to Nguchiro-Ngabu,Kwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?
Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
Lakini nimesema ninaimani na ushahidi wa kimazingira, nyie ndio huwa mnapenda sana kubadilisha ndimi za watu. Nimesema "ninaamini", and that's my opinion!!Huu sio ushahidi, hizi ni fikra zako na kila mtu analo la kufikiria khs hilo.
Aliyempiga risasi lissu sio magu..kama ni mission ya Msoga basi Jpm alitakiwa ampe kila msaada TL ili apate ahueni na tukio lile baya.
Kigoma Malima alikuwa ni Kristo.Magufuli alikuwa Christian kwa sababu nilimuona Kanisani mara nyingi sijui sana khs Tundu Lisu lkn najua siyo muslim, hivyo ukiangalia patterns za matukio nchi hii tangia uhuru, utaona victims wote (karibia) ni Christians tu hakuna muslims hata mmoja ukiondoa labda Kibao ambaye ni mtu mdogo sana hata hivyo kuweza kumjumuisha, na nijuavyo muslims wako vitani against the so called "mfumo Kristo" tangia uhuru na wala hawafichi kama tu unaweza ku -read between the lines na ndiyo maana hata husema (muslim) kwamba uhuru wameleta wao na wao ndiyo waliomkaribisha Nyerere plus pendulum sasa hivi imelalia upande mmoja tu, power yote karibia 100% iko kwao (muslims), hivyo kuamini kwamba ni coincidence tu wanaofariki wote wametokea tu kuwa Christians kuwa naive.
war on Christianity is real ...
Si kweli.....naamini Jpm alikufa natural death.
..pia alishaunda urafiki na Rostam na Lowassa.
..kwa hiyo Jpm alikuwa mwanamtandao.
jpm hakuunda urafiki na Rostam ni katika harakati za kutumia matajiri wa ndani ili kusudi kuleta manufaa katika Tanzania chini ya sera za viwanda, aliamini angebadilika......naamini Jpm alikufa natural death.
..pia alishaunda urafiki na Rostam na Lowassa.
..kwa hiyo Jpm alikuwa mwanamtandao.
Hiyo ni lazima wangekamatwa unaitoa wapi mkuu? Kwamba Maguuli alikuwa na mfumo fanisi 100% , hakuna dunia ya namna hiyo. Labda liwe ni jambo unaloplp..Ni ushahidi gani unaowaunganisha wana mtandao na kifo cha Magufuli?
..Magufuli alikuwa akitumia Spyware toka Israel wa kudukua mawasiliano ya watu aliowahisi vibaya.
..Na Spyware hiyo iko very effective ndio maana uliona wakina Kinana, Membe, wamedukuliwa.
..Wanamtandao wangepanga njama za kumuua Magufuli lazima wangekamatwa nasema hivyo kwasababu ya mamlaka, vyombo, na nyenzo, alizokuwa nazo Magufuli.
..Mimi kwa maoni yangu Magufuli hakuuwawa, alifariki kwa maradhi.
Kigoma Malima alikuwa ni Kristo.
USSR
Ilo genge ulijui vizuri mkuu nyamazaKwamba wanamtandao wakaondoa Askari kwenye makazi ya viongozi pale area D, pamoja na CCTV? Kwamba wakazuia uchunguzi usifanyike baada ya tukio? Kwamba wakazuia matibabu na kumfuta Lissu ubunge?
Aaah Nyaningabu, you used to be intelligent and remarkable critical thinker, where have you put that an outstanding brain of yours?!!!!!
Kwamba unafikiri Rais anajishauri mwenyewe? Pole sanaHotuba ya Magufuli saa 6 mchana ina '' implication'' kwa tukio la 7 mchana huo. Key words '' mtu, msaliti, risasi''
Pili, ikiwa Magufuli hakuhusika alitakiwa ajitenge na uovu ule, ironically akawa cheerleader hata kwenye matibabu
Tatu, watu waliokwenda kumuona Lissu Nairobi baadhi walikutana na kadhia, nasikia hata Maza alinuniwa.
Nne, hakuna maelezo yule kijana wake mpendwa DAB alikuwa Dodoma anafanya nini, yeye hajanusha
Tano, wahusika akina slow slow wangeshavalia njuga hasa kipindi hiki wakiwa na mawaa na wana mtandao
Sita, Polisi walioficha Kamera walikuwa chini ya utawala wa Magufuli
Saba. Magufuli alikuwa na nguvu za kuagiza uchunguzi wa haraka na wa kina ikiwa hakujua nani alifanya
Nane, Bunge lililazimisha kuziba nafasi ya Tundu Lissu makusudi kabisa, Magufuli alikuwa na uwezo wa kuzuia
Tisa, baada ya uchaguzi wa 2020 vyombo vya magufuli vilimfuatilia Lissu tena akikimbilia ubalozi wa EU.
JokaKuu
Hiyo ni lazima wangekamatwa unaitoa wapi mkuu? Kwamba Maguuli alikuwa na mfumo fanisi 100% , hakuna dunia ya namna hiyo. Labda liwe ni jambo unaloplp
llenda kuliaamini tu, ila halihalisiki. Ni imani tu.
jpm hakuunda urafiki na Rostam ni katika harakati za kutumia matajiri wa ndani ili kusudi kuleta manufaa katika Tanzania chini ya sera za viwanda, aliamini angebadilika....
Aliamini Rostam angeweza kuleta ajira nyingi kwa Watanzania...
Aliamini anaweza kuwabadili perspective zao(mtandao/matajiri), kuwa wazalendo wa kweli...
Uhalifu upo kila sehemu hata USA kuna marais waliuwawa wakiwa madarakaniHaya yote yanafanyika na wewe unakua wapi? Hauna imtelligence? Na kama hauna unafikirir wewe upo salama kiasi gani, Kama lisu anaweza kushambuliwa mwenye makazi ya Serikali yenye ulinzi na Macamera na Rais aiwe na taarifa. Unazani yeye mwenyewe yuko salama kiasi gani?
Na kama kweli imefika hapo, Si bora ujiuzuru sasa maana kazi ya lutulinda imekushinda
Aliyempiga risasi lissu sio magu
ni msoga au mtandao ni hao hao wakimshirikisha dkt mmoja ambae boss wa msoga anampa promo...
Can't you see
can you?
Unaomba ushahidi kwani tupo mahakamani? Tunachojadili hapa ni nadharia tu, uwezekano wa hili au lile kuwa hivi ama vile...Nipe ushahidi unawaunganisha mtandao na kifo cha Magufuli.
..Huwezi kusema tu fulani kamuua Magufuli bila kuwa na nadharia inayoaminika nyuma ya madai yako.
..Kwa mfano, ukisema Magufuli kauwawa na radi, unaweza kuaminika kama siku hiyo kulikuwa na mvua.
Kuna kitu hukijui na siwez kukiongelea hapa...waliondoaje walinzi wa serikali ya Magufuli pale Area D?
..pia walizuiaje Polisi wa Magufuli wasifanye uchunguzi wa tukio?
..pia walimzuiaje Magufuli asitoe fedha za matibabu, au asimuombee msaada TL kwa nchi wafadhili ili akatibiwe?
😹😹😹 Anasema huijui USA eti huna cha kumwambia..!! 🤣anaendelea kudhhirisha upumbavu wake tu