Chacharika
Member
- Nov 6, 2010
- 51
- 13
Nami nimeguswa sana na msiba huu. Tumeondokewa na msomi mahiri, mchapakazi, mwanaharakati wa nguvu na mpenda watu wadogo kwa wakubwa. aliheshimu watu wote na nilimpenda na kujiona hapa mjini Dsm nimepata mama mwingine ambapo naweza kujifunza mambo mengi na nilijivunia. Dr Upendo na ndugu wote poleni sana kwa msiba huu mkubwa. Mungu akuweke mahala pema mama yetu.Amina