Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,888
Kwenye huu uzi nimejifunza kua UKIMWI haupimwi kwa macho, jamaa anasema EX wake alikua na dalili zote za gonjwa, sometimes mtu anaweza kukonda kwasababu ya kuachwa, msosi anaupata kwa machale au home hakueleweki na may be anaumwa ugonjwa mwingine tu.