My Confession - Nimepima UKIMWI

My Confession - Nimepima UKIMWI

Mshukuru sana Mungu mkuu. Kuna wenzako walichovya mara moja tu ndiyo wakawa nao. Wanapoona kwamba kuna wengine wamecheza na kucheza bila kuupata, wanamwona Mungu ni mwenye upendeleo sana. Lakini naamini jambo moja kwamba Mungu amekunusuru kwa kazi maalumu ambayo wewe bado hujaijua ni kazi gani. Sikiliza sauti ya Mungu na ufanye kulingana na maagizo yake. Unaweza kuwa Sauli wa kizazi cha sasa.
 
Kesho keshokutwa utasahau na kupuyanga dry kama kawa.
 
Hivi ukimwi una mahusiano gani na kidonda kuwahi au kuchelewa kupona??? Nilifikiri masuala ya kidonda kuchelewa kupona au kutopona kabisa yanatokana na kisukari. Hebu tufafanulie zaidi hapa mkuu.

!
!
mkuu mambo ya kienyeji hayo......ni vi no sweti vya kujipa ujasiri
 
Kuna ile Blood group gani sijui, kitaalamu inasemekana kuwa ngumu sana kwa wao kupata Ukimwi. Ndugu labda upo group hilo, ongera.

Group O.

ILA wataalamu wanasema ukilala na mwanamke bila kutegemea na ukasuspect kuwa ni muathirika au ukampeleka kupima na akaonekana yeye ni muathirika ukifanikiwa kupata na kuanza dose za ARV wihin 24 HOURS tangu utembee nae ukizitumiadawa hizo mapema ndani ya masaa 72 ingwa ili uwe safe zaidi anza dose well in advance kabla ya kufika mbalik huko hata within 48 hours na ukatumia dozi kwa muda wa mwezi mzima mfululizo virusi kwa heri. tena wanasema dozi ya PEP ni strong sana
 
subiri miezi mitatu ipite ukapime tena, usisahau condom kwenye huo mgegedo wako ulioupania
 
Back
Top Bottom