Ishu siyo kuonea wivu bana... what is ndege karne hii? Tatizo ni jinsi hiyo ndege ilivyoshadidiwa as if kama siyo kuitaja stori yake isingeeleweka lol.... Haya hebu angalia mwenyewe hapo chini!.... BTW yule wa kwako wa kuangaliana mkiwa shuleni hujawahi panda naye kwenye ndege?Binadamu bwana! Sasa mnamsanifu kusema kapanda ndege? Hata kama we bado hujapanda kubali tu kuwa wengine saiv ni jambo la kawaida sana wanazipanda kila siku kama unaona unapenda pigana upande kama vp ishi uwezavyo khaa! Great thinkers wawe ndege ni issue?
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake , sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye ,tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu, kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili ,sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga ,sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa ,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar ,sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake , sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye ,tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu, kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili ,sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga ,sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa ,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar ,sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI
Hako ka mwanamke mcharuko jamani bora wewe umetambua kosa lako ,
Ila la kufanya watakushauri kina kaka :embarassed2:
Mweleze rafiki yako story hii.
denda ya kwenye daladala sijasikia ikizungumzwa humu...why?
:smash:denda ya kwenye daladala sijasikia ikizungumzwa humu...why?
Hehehe.... we ulishawahi pigwa denda kwenye choo cha stendi?... wadudu wananyefuanyefua mpaka kunako ikulu ndogo.... Chezeya denda wewe!acha iyo,kuna ya kwenye bajaji ni tamu kuliko zote
acha iyo,kuna ya kwenye bajaji ni tamu kuliko zote