Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Chris Lukosi,
Kwa vile huko London, angalau nenda ukajifunze kiingereza.
"My apologise"....na anaishi London kwa Malkia!
Chris Lukosi,
Kwa vile huko London, angalau nenda ukajifunze kiingereza.
Mkuu sikatai nimekosea lugha hapo."My apologise"....na anaishi London kwa Malkia!
hawa si ndo wale hata shule hawaendi,bora hata le MUTUZ ana diploma ya meli,na madegree ya nini sijui"My apologise"....na anaishi London kwa Malkia!
Hakuna lugha inayoitwa KIINGEREZA ... Very poor indeed.. C est table? Tchao!Mkuu sikatai nimekosea lugha hapo.
Lakini ujue lugha zangu ni kama ifuatavyo
1. KIHEHE
2. KISWAHILI
3. KIINGEREZA
4. KITSWANA
5. KIFIPA
6. KINGONI.
7. KINYAKYUSA
8. KISAFWA
9. KIHAYA
10. KIHA
Hapo ndhani utakuwa umenielewa. Hivyo badala ya kunicheka ulitakiwa unikosoe, ningekosea kihehe hapo una haki ya kunicheka kwani ndio lugha ya baba na mama yangu, na ni lugha ya kwanza kwenye familia yangu. Mimi nim muhehe 100%
Ulitaka niandike kiinglish au?Hakuna lugha inayoitwa KIINGEREZA ... Very poor indeed.. C est table? Tchao!