Mbunge na Waziri mstaafu anayekutwa kwenye mazingira ya namna hiiKwa hili nakubaliana nawe, innocent until proven guilty beyond any reasonable doubt. haya mawasiliano ya simu yanaweza pia kuwa manipulated, sio kielelezo cha msingi kwa wanaojuwa network zinazoweza kuwa manipulated. Hata ukisoma zile alleged msg from Kapuya utaona ni uzushi mkubwa, nafikiri freedom of speech imekuwa abused kwa faida ya wachache na dirty politics.
- mimi nikiwa mwana ccm na kiongozi pia wa ccm ngazi ya taifa na blogger, naomba kusimama mbele ya mheshimiwa mbunge kapuya na taifa zima la tanzania pamoja na wasomaji wangu wote wa blog na meble ya mungu, kukubali makosa na kuomba radhi, kwake na kwa mungu wangu zaidi. Mimi ni mmoja wa watu wa kwanza kuamini hadithi iliyojitokeza hivi karibuni kwamba mheshimiwa kapuya amembaka na kumuambukiza ukimwi na kutishia kumuua msichana wa miaka 14.
- leo ninaomba kusimama hapa na kusema kwamba hii habari ni uongo na ni uzushi wa hali ya juu sana uliotengeenzwa na msichana mzoefu wa uzushi ambaye kwanza si kweli kwamba ni mwanafunzi, pili ni mtumzima mwenye mtoto tayari hata kabla hajakutana na mh. Kapuya, pia ni muongo na mzushi mzoefu aliyewahi kuwadanganya pamoja na mkurugenzi wa crdb bank, pamoja na kuidanganya tamwa ambayo iliishia kumuripoti polisi na kuishia kwake kukaa rumande segerea kwa muda mrefu sana.
- kwa nini niliaiamini hii hadithi ni kwamba kuna siku mimi binafsi tulikuwa tumekaa faragha na viongozi wengine watatu wakubwa wa taifa ambapo mbunge mmoja aliyedai kuijua kwa undani hii hadithi na kuhusiaka nayo, alianza kutuelezea hii hadithi kwa kutmia details kubwa kubwa sana, binafsi nilikuwa ninamuamini sana yule mbunge mpaka leo nilipothibitisha kwa 100% kwamba hii hadithi haiko sawa either na yeye ni muongo wa makusudi mwenye nia mbaya na mh. Kapuya au na yeye alidanganywa na huyu msichana, ambaye jina lake kamili ni hamida as opposed na majina mengi ya uongo ambayo amekuwa akiyatumia kudanganyia watu.
- ninaomba kuwa wa kwanza kubeba huu msalaba, najua kwamba sio rahisi kueleweka na wengi ambao tulishamuhukumu mh. Kapuya, lakini ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga iliyoutngwa na msichana mmoja aliyebobea katika uzushi na uongo wa hali ya juu sana. Majuzi waziri mmoja ninayemuamini sana katika serikali ya sasa alinishitua kwamba hii hadithi ni ya uongo niiifuatilie tena, lakini sikuamuamini mpaka leo asubuhi sana nilipopigia sim na gazeti moja maarufu sana la udaku, walioniambia kwamba hii habari si ya kweli na kwamba wanaye huyu msichana pale ofisini kwao, toka asubuhi mpaka sasa nimekuwa kwenye uhakiki wa hii ishu, na sasa ninasema wazi na tena kwamba:-
ninamuomba radhi sana mh. Kapuya na ni matumaini yangu makubwa sana kwamba wale wote tuliohusika na kumhukumu tutakubali mapungufu yetu kama wanadamu na kumuungamia chini mungu wetu, ni kweli mh. Kapuya alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na huyu binti lakini ya hiari sio kama iliyoelezwa na si kweli kwamba huyu binti ni mwanafunzi, hapana ana mtoto tayari na pia alishawahi kulidanganya jeshi la polisi huko nyuma.
- wale wote tunahusika na media tujifunze tena na hili fundisho, tujitahidi kuwa waadilifu na kufanya utafiti wa kina kabla ya kuruka na hadithi nzito kama hii ambayo inaweza kummaliza mwananchi mwenzetu, au kiongozi bila sababu za msingi wala ukweli.
- again ni matumaini yangu kwamba wale tuliohusika na kumhukumu mheshimiwa kapuya, tutajitokeza tena in the public na kumuomba radhi na msamaha.
- mungu ibariki tanzania na kidumu chama cha mapinduzi!!
Willy mkuu,
Nasita sana kusema maoni yangu juu ya uandishi wako hapo juu. Alieandika hapa juu sio Willy tulieanza kumfahamu kimaandishi miaka ya 2005 kabla ya uchaguzi.
Umeandika kama mtu aliefuatwa na mh mbunge kuwa upo kwenye social media muda mrefu nisaidie.
1. Nakuelewa kuhusu huyo mtoto kutobakwa kwanza ukisoma story line unagundua hilo.
2. Elezea kuhusu matumizi ya simu. Namba alioikataaa wakili lakini kwenye taarifa ya mh mbunge ipo.
3. Elezea hela za kila mwezi alikua anatuma za nini.
4. Elezea gari aina na funguo zilizopelekwa polisi.
Mie nionavyo mh mbunge alikua anapiga akawa blackmailed akawa anatoa hela kuwatunza sasa anaona it is too much anataka kujichomoa. Inashindikana. Hiyo kubaka nina hakika sio kweli. Ukimwi sijui maana sijawapima.
Mkuu Le mutuz. Achana na hii story itazidi kukipunguzia hadhi yako. Prof hakupata washauri wazuri kuhusu hii story.
Yangu ni hayo tu mzee mwenzangu
Asalaam aleykum. Mpe pole Prof. Kuku wa kienyeji nomaaaa sana
- Mimi nikiwa Mwana CCM na Kiongozi pia wa CCM ngazi ya Taifa na Blogger, naomba kusimama mbele ya Mheshimiwa Mbunge Kapuya na Taifa zima la Tanzania pamoja na wasomaji wangu wote wa Blog na meble ya Mungu, kukubali makosa na kuomba radhi, kwake na kwa Mungu wangu zaidi. Mimi ni mmoja wa watu wa kwanza kuamini hadithi iliyojitokeza hivi karibuni kwamba Mheshimiwa Kapuya amembaka na kumuambukiza Ukimwi na kutishia kumuua msichana wa miaka 14.
- Leo ninaomba kusimama hapa na kusema kwamba hii habari ni uongo na ni uzushi wa hali ya juu sana uliotengeenzwa na msichana mzoefu wa uzushi ambaye kwanza si kweli kwamba ni Mwanafunzi, pili ni Mtumzima mwenye mtoto tayari hata kabla hajakutana na Mh. Kapuya, pia ni muongo na mzushi mzoefu aliyewahi kuwadanganya pamoja na Mkurugenzi wa CRDB Bank, pamoja na kuidanganya TAMWA ambayo iliishia kumuripoti polisi na kuishia kwake kukaa rumande Segerea kwa muda mrefu sana.
- Kwa nini niliaiamini hii hadithi ni kwamba kuna siku mimi binafsi tulikuwa tumekaa faragha na Viongozi wengine Watatu wakubwa wa Taifa ambapo mbunge mmoja aliyedai kuijua kwa undani hii hadithi na kuhusiaka nayo, alianza kutuelezea hii hadithi kwa kutmia details kubwa kubwa sana, binafsi nilikuwa ninamuamini sana yule mbunge mpaka leo nilipothibitisha kwa 100% kwamba hii hadithi haiko sawa either na yeye ni muongo wa makusudi mwenye nia mbaya na Mh. Kapuya au na yeye alidanganywa na huyu msichana, ambaye jina lake kamili ni Hamida as opposed na majina mengi ya uongo ambayo amekuwa akiyatumia kudanganyia watu.
- Ninaomba kuwa wa kwanza kubeba huu msalaba, najua kwamba sio rahisi kueleweka na wengi ambao tulishamuhukumu Mh. Kapuya, lakini ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga iliyoutngwa na msichana mmoja aliyebobea katika uzushi na uongo wa hali ya juu sana. Majuzi Waziri mmoja ninayemuamini sana katika Serikali ya sasa alinishitua kwamba hii hadithi ni ya uongo niiifuatilie tena, lakini sikuamuamini mpaka leo asubuhi sana nilipopigia sim na gazeti moja maarufu sana la Udaku, walioniambia kwamba hii habari si ya kweli na kwamba wanaye huyu msichana pale ofisini kwao, toka asubuhi mpaka sasa nimekuwa kwenye uhakiki wa hii ishu, na sasa ninasema wazi na tena kwamba:-
NINAMUOMBA RADHI SANA MH. KAPUYA NA NI MATUMAINI YANGU MAKUBWA SANA KWAMBA WALE WOTE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU TUTAKUBALI MAPUNGUFU YETU KAMA WANADAMU NA KUMUUNGAMIA CHINI MUNGU WETU, NI KWELI MH. KAPUYA ALIKUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA HUYU BINTI LAKINI YA HIARI SIO KAMA ILIYOELEZWA NA SI KWELI KWAMBA HUYU BINTI NI MWANAFUNZI, HAPANA ANA MTOTO TAYARI NA PIA ALISHAWAHI KULIDANGANYA JESHI LA POLISI HUKO NYUMA.
- Wale wote tunahusika na media tujifunze tena na hili fundisho, tujitahidi kuwa waadilifu na kufanya utafiti wa kina kabla ya kuruka na hadithi nzito kama hii ambayo inaweza kummaliza mwananchi mwenzetu, au kiongozi bila sababu za msingi wala ukweli.
- AGAIN NI MATUMAINI YANGU KWAMBA WALE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU MHESHIMIWA KAPUYA, TUTAJITOKEZA TENA IN THE PUBLIC NA KUMUOMBA RADHI NA MSAMAHA.
- MUNGU IBARIKI TANZANIA NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
- Amesema alipobakwa na Kapuya alikuwa bikira wa miaka 14, ukweli hauko hivyo ni msichana mtumzima mwenye mtoto tayari.
Le Mutuz
Mkuu W.J.M mbona unatuchanganya!! Please revisit post yako.- Msichana alikuwa na mtoto tayari alipoanza mapenzi ya hiari yake na Kapuya, Kapuya hakatai kwamba hakuwa na uhusiano wa kimapenzi na Msichana kama ni Crime then we can take it from there, lakini habari za kubaka na kumtishia kuua si za kweli!!Le Mutuz
- Msichana alikuwa na mtoto tayari alipoanza mapenzi ya hiari yake na Kapuya, Kapuya hakatai kwamba hakuwa na uhusiano wa kimapenzi na Msichana kama ni Crime then we can take it from there, lakini habari za kubaka na kumtishia kuua si za kweli!!
Le Mutuz
Hebu atusaidie kufafanua zaidi Mkuu haya yafuatayo
1.Kabla ya kukanusha msimamo wake jambo ambalo ni haki yake Kikatiba ameisha mhoji huyo anayedai kuwa ni mzushi ili kupata uhakika kabla ya kutoa maelezo ya namna hii nadhani watu wote walichokuwa wakifanya ni expression of thouhgt and not accession of fact anayetakiwa kutuweka sawa ni Kapuya Mwenyewe Jambo ambalo ameshindwa kulifanya katika maelezo yake ya Kukanusha.
2.Je kwanini hawajatoa maelezo ya mahusiano ya Namba ya Mheshimiwa "iliyotolewa zawadi"Kinyume cha sheria kutumika kwa mawasiliano na Kapuya Mwenyewe hata baada ya kuitoa zawadi.
3.je Kitendo hiki ni sawa kufanywa na Kiongozi kimaadili na kwanini ajivunie ulinzi wa Serikali kwa vitendo viovu anavyo wafanyia wanyonge?
4.Mbona maelezo ya mleta hoja hayaowani na yale ya Kapuya Mwenyewe ina maana mleta hoja anajua vizuri suala hili zaidi ya Mtuhumiwa?
- Mimi nikiwa Mwana CCM na Kiongozi pia wa CCM ngazi ya Taifa na Blogger, naomba kusimama mbele ya Mheshimiwa Mbunge Kapuya na Taifa zima la Tanzania pamoja na wasomaji wangu wote wa Blog na meble ya Mungu, kukubali makosa na kuomba radhi, kwake na kwa Mungu wangu zaidi. Mimi ni mmoja wa watu wa kwanza kuamini hadithi iliyojitokeza hivi karibuni kwamba Mheshimiwa Kapuya amembaka na kumuambukiza Ukimwi na kutishia kumuua msichana wa miaka 14.
- Leo ninaomba kusimama hapa na kusema kwamba hii habari ni uongo na ni uzushi wa hali ya juu sana uliotengeenzwa na msichana mzoefu wa uzushi ambaye kwanza si kweli kwamba ni Mwanafunzi, pili ni Mtumzima mwenye mtoto tayari hata kabla hajakutana na Mh. Kapuya, pia ni muongo na mzushi mzoefu aliyewahi kuwadanganya pamoja na Mkurugenzi wa CRDB Bank, pamoja na kuidanganya TAMWA ambayo iliishia kumuripoti polisi na kuishia kwake kukaa rumande Segerea kwa muda mrefu sana.
- Kwa nini niliaiamini hii hadithi ni kwamba kuna siku mimi binafsi tulikuwa tumekaa faragha na Viongozi wengine Watatu wakubwa wa Taifa ambapo mbunge mmoja aliyedai kuijua kwa undani hii hadithi na kuhusiaka nayo, alianza kutuelezea hii hadithi kwa kutmia details kubwa kubwa sana, binafsi nilikuwa ninamuamini sana yule mbunge mpaka leo nilipothibitisha kwa 100% kwamba hii hadithi haiko sawa either na yeye ni muongo wa makusudi mwenye nia mbaya na Mh. Kapuya au na yeye alidanganywa na huyu msichana, ambaye jina lake kamili ni Hamida as opposed na majina mengi ya uongo ambayo amekuwa akiyatumia kudanganyia watu.
- Ninaomba kuwa wa kwanza kubeba huu msalaba, najua kwamba sio rahisi kueleweka na wengi ambao tulishamuhukumu Mh. Kapuya, lakini ukweli ni kwamba ni hadithi ya kutunga iliyoutngwa na msichana mmoja aliyebobea katika uzushi na uongo wa hali ya juu sana. Majuzi Waziri mmoja ninayemuamini sana katika Serikali ya sasa alinishitua kwamba hii hadithi ni ya uongo niiifuatilie tena, lakini sikuamuamini mpaka leo asubuhi sana nilipopigia sim na gazeti moja maarufu sana la Udaku, walioniambia kwamba hii habari si ya kweli na kwamba wanaye huyu msichana pale ofisini kwao, toka asubuhi mpaka sasa nimekuwa kwenye uhakiki wa hii ishu, na sasa ninasema wazi na tena kwamba:-
NINAMUOMBA RADHI SANA MH. KAPUYA NA NI MATUMAINI YANGU MAKUBWA SANA KWAMBA WALE WOTE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU TUTAKUBALI MAPUNGUFU YETU KAMA WANADAMU NA KUMUUNGAMIA CHINI MUNGU WETU, NI KWELI MH. KAPUYA ALIKUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA HUYU BINTI LAKINI YA HIARI SIO KAMA ILIYOELEZWA NA SI KWELI KWAMBA HUYU BINTI NI MWANAFUNZI, HAPANA ANA MTOTO TAYARI NA PIA ALISHAWAHI KULIDANGANYA JESHI LA POLISI HUKO NYUMA.
- Wale wote tunahusika na media tujifunze tena na hili fundisho, tujitahidi kuwa waadilifu na kufanya utafiti wa kina kabla ya kuruka na hadithi nzito kama hii ambayo inaweza kummaliza mwananchi mwenzetu, au kiongozi bila sababu za msingi wala ukweli.
- AGAIN NI MATUMAINI YANGU KWAMBA WALE TULIOHUSIKA NA KUMHUKUMU MHESHIMIWA KAPUYA, TUTAJITOKEZA TENA IN THE PUBLIC NA KUMUOMBA RADHI NA MSAMAHA.
- MUNGU IBARIKI TANZANIA NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
- Nimeomba msamaha kwa sababu nimeisikia hadithi hii miezi miwili iliyopita kutoka kwa mbunge mmoja, kwa hiyo ilipoanza kurudiwa na details zile zile nilizozisikia kwa mbunge nikaamini kwamba ni kweli, until leo kuanzia asubuhi mpaka sasa ninapoandika ndio nimaeamini kwamba ni 100% a big lie!!
- Na ndio maana hata huyu Mschana leo hapo kwenye ofisi za hilo gazeti la Udaku amekimbia bila kuaga baada ya kuwekwa kiti moto sana, na pia kutokea watu wanaomjua kwa karibu sana.
Le Mutuz