Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
kuna post moja niilpenda sana, yani uwa naisoma tena na tena, pia mwandishi wake uwa ana post zinazonifanya nivunjike mbavu mwenyewe, post yenyewe hii hapa http://jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/282885-nikapigwa-ndoa-ya-mkeka-ununio%85-4.html Je, wewe post iliyokwisha kukuvutia sana ni ipi??????