My 2008 greetings to jf

Calnde

JF-Expert Member
Oct 7, 2008
1,373
277
Ni katika JF,japo nimejiunga muda mfupi,nimetambua watanzania si wajinga tena.Ubora na umakini wa mijadala hapa unaonesha wazi kuna kitu kinatokea Tz na katika historia ya mabadiliko hayaJF ni namba moja.Jf imekuwa tishio kwa watawala wasiopenda kuhoji na kimbilio kwa wananchi wanaotaka kuhoji na kufahamu.Tukumbuke wapo waliokuwa na kazi ya kusema visivyoeleweka.Waacheni waseme, ni haki yao.Hata kasuku anaweza kusema ila tuu kama utamtajia maneno japo atakuwa hajui anasema nini. Ubora wa hoja za hapa ni elimu tosha kwa mtanzania anayetaka kuelimika na ni tishio kwa wanopenda u-imla wasiotaka mabadiliko.
Ombi langu:
Ikiwa unapata nafasi ya kusema kwa ajili ya nchi yako sema.Maana ni wewe peke yako unayeweza kusema.Wengine ni kina mama wanaofia hospitali kwa huduma mbovu,mabinti wanaobakwa kwa sababu ni yatima, machinga wanaosumbuliwa na mgambo, wafungwa waliosingiziwa, watanzania wanaoibiwa ndani ya nchi yao,walimu wanaonyanyaswa malipo yao, wazee wanaonmyimwa mafao yao, wanafunzi wanaofukuzwa vyuoni,na wajane walionyang'anywa mali.Ni kama samaki wanaotamani kusema lakini wana maji vinywani! Sisi tulio na access japo ya kusema neno tuseme kwa ajili yao maana kati ya kumi, mawili yanaweza tekelezwa,who knows.Jamii yetu inawategemea wenye upeo watengeneze njia,ndio sisi,tusiwaangushe hawa! Tunapouaga mwaka huu tutambue hata kama mchango wetu hauonekani wazi ni dhahiri hata mkuu wa kaya anatambua kazi hii njema.Mods,kwa namna yeyote boresheni zaidi kwa mwaka ujao ili tuendelee kuwa chachu ya mabadiliko ya kweli na tusikate tama.Wakina Monsesquieu,Rousseau,Marxist scholars,Martin Luther Jr walipofanya kama sisi hawakuwa na malengo ya kuwekwa kwenye historia ya waleta maendeleo.Leo tunawakumbuka.Nasi siku moja,japo kama kundi,tutakumbukwa.Walipo wengine walioendelea,tunaweza kufika.tutaweza tuu kama tuna nia na nia yakweli huanza na mtu anavyofikiri.JF tunaongoza.

MARRY XMASS AND HAPPY NEW YEAR
 
IMG-20170515-WA0011.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huu uzi tangu uanzishwe Dec 18, 2008 hakuna aliyewahi kuchangia hadi leo hii!

Haya pia ni maajabu ambayo sijawahi kuyaona kwenye hapa JF.

Mshana jr.
Fukua na nyuzi zingine tuzifufue
 
Ni katika JF,japo nimejiunga muda mfupi,nimetambua watanzania si wajinga tena.Ubora na umakini wa mijadala hapa unaonesha wazi kuna kitu kinatokea Tz na katika historia ya mabadiliko hayaJF ni namba moja.Jf imekuwa tishio kwa watawala wasiopenda kuhoji na kimbilio kwa wananchi wanaotaka kuhoji na kufahamu.Tukumbuke wapo waliokuwa na kazi ya kusema visivyoeleweka.Waacheni waseme, ni haki yao.Hata kasuku anaweza kusema ila tuu kama utamtajia maneno japo atakuwa hajui anasema nini. Ubora wa hoja za hapa ni elimu tosha kwa mtanzania anayetaka kuelimika na ni tishio kwa wanopenda u-imla wasiotaka mabadiliko.
Ombi langu:
Ikiwa unapata nafasi ya kusema kwa ajili ya nchi yako sema.Maana ni wewe peke yako unayeweza kusema.Wengine ni kina mama wanaofia hospitali kwa huduma mbovu,mabinti wanaobakwa kwa sababu ni yatima, machinga wanaosumbuliwa na mgambo, wafungwa waliosingiziwa, watanzania wanaoibiwa ndani ya nchi yao,walimu wanaonyanyaswa malipo yao, wazee wanaonmyimwa mafao yao, wanafunzi wanaofukuzwa vyuoni,na wajane walionyang'anywa mali.Ni kama samaki wanaotamani kusema lakini wana maji vinywani! Sisi tulio na access japo ya kusema neno tuseme kwa ajili yao maana kati ya kumi, mawili yanaweza tekelezwa,who knows.Jamii yetu inawategemea wenye upeo watengeneze njia,ndio sisi,tusiwaangushe hawa! Tunapouaga mwaka huu tutambue hata kama mchango wetu hauonekani wazi ni dhahiri hata mkuu wa kaya anatambua kazi hii njema.Mods,kwa namna yeyote boresheni zaidi kwa mwaka ujao ili tuendelee kuwa chachu ya mabadiliko ya kweli na tusikate tama.Wakina Monsesquieu,Rousseau,Marxist scholars,Martin Luther Jr walipofanya kama sisi hawakuwa na malengo ya kuwekwa kwenye historia ya waleta maendeleo.Leo tunawakumbuka.Nasi siku moja,japo kama kundi,tutakumbukwa.Walipo wengine walioendelea,tunaweza kufika.tutaweza tuu kama tuna nia na nia yakweli huanza na mtu anavyofikiri.JF tunaongoza.

MARRY XMASS AND HAPPY NEW YEAR
Maneno haya yameishi vema hii ni 2017, miaka 9 tangu kuandikwa hii post.... JF 4ever

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yakichenjuliwa bado hupatikana dhahabu tu.
Hivi ule mchanga baadae wanajengea au?
Basi ulaya INA mchanga mwingi sana Wa Tanzania.
Unaweza kuta buzwagi village iko huko
Naambiwa eti unafanyiwa culture mpaka unatoa zile dhahabu zinazochuja almaarufu kama English gold halafu tunaletewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naambiwa eti unafanyiwa culture mpaka unatoa zile dhahabu zinazochuja almaarufu kama English gold halafu tunaletewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Africa tulirogwa?
Au nyie Wahenga walozi mmetuchota akili na maarifa?
Maana sio kwa kubebewa rasilimali live kisha wanakuja kutuuzia miaka yote hatunaga uwezo Wa kujizalishia wenyewe.
Mtuzindue tu Wahenga tupone walau.
 
Hivi Africa tulirogwa?
Au nyie Wahenga walozi mmetuchota akili na maarifa?
Maana sio kwa kubebewa rasilimali live kisha wanakuja kutuuzia miaka yote hatunaga uwezo Wa kujizalishia wenyewe.
Mtuzindue tu Wahenga tupone walau.
Wahenga asili hatuna makosa!
Tulitamka kwa uwazi kabisa TUYAACHE MPAKA TUTAKAPOKUWA NA UWEZO WA KUYACHIMBA WENYEWE!
Halafu wakaja wahenga mwendikasi warefu kwenda chini wakafanya yao..... Sasa hivi tunagombania makombokinikia wakati mali yenye SIHA daily inatoroshwa kwa madege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahenga asili hatuna makosa!
Tulitamka kwa uwazi kabisa TUYAACHE MPAKA TUTAKAPOKUWA NA UWEZO WA KUYACHIMBA WENYEWE!
Halafu wakaja wahenga mwendikasi warefu kwenda chini wakafanya yao..... Sasa hivi tunagombania makombokinikia wakati mali yenye SIHA daily inatoroshwa kwa madege

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna ya kuirudia mizimu ya Wahenga watusamehe na wakayafanya madini yasionekane kwa wageni?
Naona Wahenga Wa Ntwara walijaribu kuzuia gesi isitoke......
Nawaza tu Yale mashimo yanayoachwa yatakutwa na wajukuu na vitukuu vyetu watatutungia misemo gani ya kutudharau.
Ikiwa wakina mangungo hawakujua kusoma na kuandika walisainishwa mikataba kwa lazima na walipigana sana,sisi tunasaini kwa timamu zetu tukiwa tunajua kusoma na kuandika...
Ama kweli alieturoga alizama baharini.
 
Hakuna namna ya kuirudia mizimu ya Wahenga watusamehe na wakayafanya madini yasionekane kwa wageni?
Naona Wahenga Wa Ntwara walijaribu kuzuia gesi isitoke......
Nawaza tu Yale mashimo yanayoachwa yatakutwa na wajukuu na vitukuu vyetu watatutungia misemo gani ya kutudharau.
Ikiwa wakina mangungo hawakujua kusoma na kuandika walisainishwa mikataba kwa lazima na walipigana sana,sisi tunasaini kwa timamu zetu tukiwa tunajua kusoma na kuandika...
Ama kweli alieturoga alizama baharini.
Hakuna jinsi tena kaya iko mnadani chukua chako mapema ndio dira yetu kuu
Tunajivunia taifa la viwanda kumbe tumeshadalaliwa!
Kiwanda cha mchina
Mkandarasi mchina
Malighafi mchina
Mashine za kichina
Management Wachina
Personnel Wachina
Suppliers Wachina
Bank restaurants miundombinu Wachina
Wanakuza uchumi wao, wanapeana wao, wanatoa ajira halafu unajisifia una viwanda 359 .... Hayo ni makinikia, Mali ishaondoshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jinsi tena kaya iko mnadani chukua chako mapema ndio dira yetu kuu
Tunajivunia taifa la viwanda kumbe tumeshadalaliwa!
Kiwanda cha mchina
Mkandarasi mchina
Malighafi mchina
Mashine za kichina
Management Wachina
Personnel Wachina
Suppliers Wachina
Bank restaurants miundombinu Wachina
Wanakuza uchumi wao, wanapeana wao, wanatoa ajira halafu unajisifia una viwanda 359 .... Hayo ni makinikia, Mali ishaondoshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr Remmy Ongala alijiimbiaga narudi nyumbaaniiii.........
Tushayakoroga tuyanywe tu hatuna budi kukinywea kikombe chetu hiki.
 
Back
Top Bottom