conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,101
- 745
conservative vipi je kwa mtumishi mpya mwenye miezi 2 kazini lakini akabahatika kupata kazi kwenye mashirika ya umma yanayojitegemea mfano BOT,TRA au NSSF,je mtumishi huyu anauwezo kwa kuacha kazi kwa 24 hr notice na kurudisha mshahara wake wa mwezi mmoja na kwenda kwenye mashirika haya bila usumbufu wowote baadae???mfano mshahara kugongana.