Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
- Thread starter
- #41
Na iwe hivyoAmina
Na iwe hivyoAmina
Utapata Phd kwenye eneo hilo la laana, mikosi, madhabau,vifungo.Nitamfatilia huyu mwl
Huyu naye Anahudumu wapi?Emiel Katekela yeye alikuwa mtumishi wa shetani yaani Sauli leo ni Paulo
TAG masumbwe Geita.Huyu naye Anahudumu wapi?
Asante mkuu nitaingia hukoukiingia Youtube Promover TV utapata shuhuda zake zote, tangu mwanzo.
Wazungu ndivyo walivyokudanganyaHakuna kiunganisho hapo, matambiko ni ibada iliyo rasmi ya kumwinua shetani
KWA imani zote hata wachawi Wana kiri Mzimu ni shetani.Wazungu ndivyo walivyokudanganya
AmenAsante sana Kambi ya Fisi.
Kwa nini unasema hivyo?Wazungu ndivyo walivyokudanganya
Laana ni nguvu ya uharibifu inayotenda kazi rohoni na kujidhihirisha mwilini i.e. katika ulimwengu unaoonekana.Laana ni nini?
Mizimu/wachawi/wanga/washirikina/walonzi/waganga wa kienyeji/mapepo/majini = Mawakala wa shetani AU nguvu za giza.KWA imani zote hata wachawi Wana kiri Mzimu ni shetani.
Thus mchawi akishindwa kukuloga anaenda uomba mzimu wako umpe ruhusa akuloge na huwa hivyo sababu wote boss wao ni shetani.
Barikiwa sana kwa kuitekeleza kazi ya BWANA inavyotupasa Binadamu.Ni Neema ya Bwana Yesu ujifunze somo hili ili ikiwa wewe ni muhanga wa laana uweze kujinasua kutoka katika laana na ukaishi maisha yaliyo katika mapenzi ya Mungu yaani Baraka za Mungu
Laana ni nini?
LAANA ni kinyume cha Baraka ZA MUNGU.
VYANZO VYA LAANA ni hivi :
1. Laana za ukoo
Hizi ni laana zinazowapiga watu wa ukoo wenye kuamini na kuabudu mizimu kutokana na maovu ya koo zao zilizotangulia , hizi zinapita hadi kizazi cha tatu na nne na. Kuendelea
2. Laana tunazojiletea kwa matendo yetu wenyewe
(I) Ushirikina
Pale mwanadamu anapo amini na kuenda kwa wachawi au waganga wa kienyeji anafanya agano na shetani, na kutoa sadaka ya damu yake kwa kuchanjwa chale aua ya mnyama, ananunua mapepo,unaweka imani juu yao na kuzini nayo ambayo mwisho yanakutesa, na unajiweka wakfu kwa mashetani
(II) Uhusiano na dini za uongo
zimpingazo Yesu au kutafuta maarifa kwa njia ya mapepo, kama kuamini nyota, kusoma mikono,kuabudu sanamu.
(III) Kumwaga damu isiyo na hatia kama vile kuua, kutoa mimba na kuua kwa ushirikina (mwanzo
(IV) Uzinzi na uasherati.
Hii ni kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa.
Waebrania 13:4 ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu
Pia ndoa za jinsia moja(ushoga /usagaji) au mnyama.
Walawi 18:22-23
Usilale na mwanaume mfano wa kulala na mwanamke, ni machukizo, wala usilale na mnyama yeyote ili kujitia unajisi kwake, wala mwanamke asisimame mbele yake ili kulala naye ni uchafuko.
(V) Maneno ya kinywa chako.
Mithali 18: 20-21) Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake , pia atashiba mazao ya midomo yake. Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao waupendao watakula matunda yake.
Pia Mithali 6:2 Basi umetengwa kwa maneno ya kinywa chako, umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
HATUA ZA KUVUNJA LAANA
1. Mkiri Yesu Kristo kuwa ndiye Bwana na Mwokozi wako.
Warumi10:9-10) kwasababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwa kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka, kwa maana kwa moyo mtu huamini na kupata haki na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
2. Tubu dhambi zako zote na kupokea msamaha kutoka kwa Mungu kupitia damu ya Yesu Kristo.
3. Wasamehe wote waliokukosea Marko 11:25.
4. Ukatae uhusiano wa shetani juu yako kwa kufuta kwa damu ya yesu Matendo 19:18-20.
5. Futa jina lako katika maagano ya giza na kuvunja laana zote kwa kunyunyiza damu ya Yesu Kristo wa Nazareth 2 kor 5:17.
6. Kemea kwa jina la yesu pepo linalotumia lango la laana kukuadhibu.
7. Fungua milango ya baraka kwa Damu ya Yesu kupitia jina Yesu Gal 3:13-17.
8. Anza kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufuata mapenzi yake yatakayokufanya umjue yeye sana.
Biblia ina sema " Mjue sana Mungu ili uwe na amani maishani mwako, ndipo mema yatakapo kujia" kumbuka mema ni baraka za Mungu kwako.
NB: Kwa kuifanya nyumba yako kuwa madhabahu ya Bwana utashinda hakika pasipo kuwategemea mitume na manabii wa michongo, Mtumainini Mungu pekee.
Jina la Bwana Yesu litukuzwe,
Utukufu kwa MUNGU.
Sasa Chifu itapendeza sana ukiitwa "Kambi ya BWANA" ili Mungu ajitukuze ndani yako kupitia jina lako japo ni bandia lakini kumbuka METHALI 18:21 inaishtaki dhamiri yako ukiitwa hivyo na WatuNi Neema ya Bwana Yesu ujifunze somo hili ili ikiwa wewe ni muhanga wa laana uweze kujinasua kutoka katika laana na ukaishi maisha yaliyo katika mapenzi ya Mungu yaani Baraka za Mungu
Laana ni nini?
LAANA ni kinyume cha Baraka ZA MUNGU.
VYANZO VYA LAANA ni hivi :
1. Laana za ukoo
Hizi ni laana zinazowapiga watu wa ukoo wenye kuamini na kuabudu mizimu kutokana na maovu ya koo zao zilizotangulia , hizi zinapita hadi kizazi cha tatu na nne na. Kuendelea
2. Laana tunazojiletea kwa matendo yetu wenyewe
(I) Ushirikina
Pale mwanadamu anapo amini na kuenda kwa wachawi au waganga wa kienyeji anafanya agano na shetani, na kutoa sadaka ya damu yake kwa kuchanjwa chale aua ya mnyama, ananunua mapepo,unaweka imani juu yao na kuzini nayo ambayo mwisho yanakutesa, na unajiweka wakfu kwa mashetani
(II) Uhusiano na dini za uongo
zimpingazo Yesu au kutafuta maarifa kwa njia ya mapepo, kama kuamini nyota, kusoma mikono,kuabudu sanamu.
(III) Kumwaga damu isiyo na hatia kama vile kuua, kutoa mimba na kuua kwa ushirikina (mwanzo
(IV) Uzinzi na uasherati.
Hii ni kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa.
Waebrania 13:4 ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu
Pia ndoa za jinsia moja(ushoga /usagaji) au mnyama.
Walawi 18:22-23
Usilale na mwanaume mfano wa kulala na mwanamke, ni machukizo, wala usilale na mnyama yeyote ili kujitia unajisi kwake, wala mwanamke asisimame mbele yake ili kulala naye ni uchafuko.
(V) Maneno ya kinywa chako.
Mithali 18: 20-21) Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake , pia atashiba mazao ya midomo yake. Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao waupendao watakula matunda yake.
Pia Mithali 6:2 Basi umetengwa kwa maneno ya kinywa chako, umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
HATUA ZA KUVUNJA LAANA
1. Mkiri Yesu Kristo kuwa ndiye Bwana na Mwokozi wako.
Warumi10:9-10) kwasababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwa kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka, kwa maana kwa moyo mtu huamini na kupata haki na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
2. Tubu dhambi zako zote na kupokea msamaha kutoka kwa Mungu kupitia damu ya Yesu Kristo.
3. Wasamehe wote waliokukosea Marko 11:25.
4. Ukatae uhusiano wa shetani juu yako kwa kufuta kwa damu ya yesu Matendo 19:18-20.
5. Futa jina lako katika maagano ya giza na kuvunja laana zote kwa kunyunyiza damu ya Yesu Kristo wa Nazareth 2 kor 5:17.
6. Kemea kwa jina la yesu pepo linalotumia lango la laana kukuadhibu.
7. Fungua milango ya baraka kwa Damu ya Yesu kupitia jina Yesu Gal 3:13-17.
8. Anza kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufuata mapenzi yake yatakayokufanya umjue yeye sana.
Biblia ina sema " Mjue sana Mungu ili uwe na amani maishani mwako, ndipo mema yatakapo kujia" kumbuka mema ni baraka za Mungu kwako.
NB: Kwa kuifanya nyumba yako kuwa madhabahu ya Bwana utashinda hakika pasipo kuwategemea mitume na manabii wa michongo, Mtumainini Mungu pekee.
Jina la Bwana Yesu litukuzwe,
Utukufu kwa MUNGU.


Amen,ubarikiwe sana...Ni Neema ya Bwana Yesu ujifunze somo hili ili ikiwa wewe ni muhanga wa laana uweze kujinasua kutoka katika laana na ukaishi maisha yaliyo katika mapenzi ya Mungu yaani Baraka za Mungu
Laana ni nini?
LAANA ni kinyume cha Baraka ZA MUNGU.
VYANZO VYA LAANA ni hivi :
1. Laana za ukoo
Hizi ni laana zinazowapiga watu wa ukoo wenye kuamini na kuabudu mizimu kutokana na maovu ya koo zao zilizotangulia , hizi zinapita hadi kizazi cha tatu na nne na. Kuendelea
2. Laana tunazojiletea kwa matendo yetu wenyewe
(I) Ushirikina
Pale mwanadamu anapo amini na kuenda kwa wachawi au waganga wa kienyeji anafanya agano na shetani, na kutoa sadaka ya damu yake kwa kuchanjwa chale aua ya mnyama, ananunua mapepo,unaweka imani juu yao na kuzini nayo ambayo mwisho yanakutesa, na unajiweka wakfu kwa mashetani
(II) Uhusiano na dini za uongo
zimpingazo Yesu au kutafuta maarifa kwa njia ya mapepo, kama kuamini nyota, kusoma mikono,kuabudu sanamu.
(III) Kumwaga damu isiyo na hatia kama vile kuua, kutoa mimba na kuua kwa ushirikina (mwanzo
(IV) Uzinzi na uasherati.
Hii ni kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa.
Waebrania 13:4 ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu
Pia ndoa za jinsia moja(ushoga /usagaji) au mnyama.
Walawi 18:22-23
Usilale na mwanaume mfano wa kulala na mwanamke, ni machukizo, wala usilale na mnyama yeyote ili kujitia unajisi kwake, wala mwanamke asisimame mbele yake ili kulala naye ni uchafuko.
(V) Maneno ya kinywa chako.
Mithali 18: 20-21) Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake , pia atashiba mazao ya midomo yake. Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao waupendao watakula matunda yake.
Pia Mithali 6:2 Basi umetengwa kwa maneno ya kinywa chako, umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
HATUA ZA KUVUNJA LAANA
1. Mkiri Yesu Kristo kuwa ndiye Bwana na Mwokozi wako.
Warumi10:9-10) kwasababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwa kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka, kwa maana kwa moyo mtu huamini na kupata haki na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
2. Tubu dhambi zako zote na kupokea msamaha kutoka kwa Mungu kupitia damu ya Yesu Kristo.
3. Wasamehe wote waliokukosea Marko 11:25.
4. Ukatae uhusiano wa shetani juu yako kwa kufuta kwa damu ya yesu Matendo 19:18-20.
5. Futa jina lako katika maagano ya giza na kuvunja laana zote kwa kunyunyiza damu ya Yesu Kristo wa Nazareth 2 kor 5:17.
6. Kemea kwa jina la yesu pepo linalotumia lango la laana kukuadhibu.
7. Fungua milango ya baraka kwa Damu ya Yesu kupitia jina Yesu Gal 3:13-17.
8. Anza kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufuata mapenzi yake yatakayokufanya umjue yeye sana.
Biblia ina sema " Mjue sana Mungu ili uwe na amani maishani mwako, ndipo mema yatakapo kujia" kumbuka mema ni baraka za Mungu kwako.
NB: Kwa kuifanya nyumba yako kuwa madhabahu ya Bwana utashinda hakika pasipo kuwategemea mitume na manabii wa michongo, Mtumainini Mungu pekee.
Jina la Bwana Yesu litukuzwe,
Utukufu kwa MUNGU.
Amen amenAmen,ubarikiwe sana...
Asante kwa pendekezo lako nimelipenda na nitalifanyia kazi.Sasa Chifu itapendeza sana ukiitwa "Kambi ya BWANA" ili Mungu ajitukuze ndani yako kupitia jina lako japo ni bandia
AmenBarikiwa sana kwa kuitekeleza kazi ya BWANA inavyotupasa Binadamu.
MATHAYO 28:19-20.