MWL wa Math na Physics

DON YAN

Member
Jun 12, 2012
21
6
Jaman nimetafuta kazi za IT nimekosa lakini ni muitimu wa Bsc Comp science UDSM,naweza fundisha masomo hayo na comp application kwa mtu anayejua wapi naweza pata kazi ya uwalimu pls ni PM.
 
Wewe ualimu hujasoma alafu anataka kuwa mwalimu.nyie kushilikiana na serikali ndo mzalalisha taaluma hii
 
ulisoma lini ualimu?kitivo gani?ngazi ipi?

acha ufala wewe kusoma ualimu alafu maths ulipata 'S' utashindana na watu wenye 'A' zao? walimu obvious ni failures so msilalamike maslahi kidogo ndo haki yenu take it.
 
acha ufala wewe kusoma ualimu alafu maths ulipata 's' utashindana na watu wenye 'a' zao? Walimu obvious ni failures so msilalamike maslahi kidogo ndo haki yenu take it.

kweli babu...."point"...ualimu na upolisi ndo kimbilio lao hao failures!!!
 
acha ufala wewe kusoma ualimu alafu maths ulipata 'S' utashindana na watu wenye 'A' zao? walimu obvious ni failures so msilalamike maslahi kidogo ndo haki yenu take it.
sio vizuri kukashimu fani za watu sio kweli wetu waliosoma ualimu niferiaz pia haiwezekani watu wote tukasoma zingine tukaacha ualimu,pia kumbuka hata wewe umefundishwa na mwalimu hadi umefika hapo ulipo
 
Ipo wazi kwa sasa kuna umbukufu mkubwa wa walimu ktk mosomo hayo nami naona naweza changia kwa kuwa nimekosa kazi ktk fani yangu,nimemaliza 2010 UDSM Bsc comp science.
 
kweli babu...."point"...ualimu na upolisi ndo kimbilio lao hao failures!!!

Dah! siyo kweli aisee; waalimu siyo watu failures kama unavyodai. Mimi ni mwalimu na kote nilikosoma niliondoka za vyeti vya ushindi wa juu kabisa. Ukweli ni kuwa failures ndio wanaokimbia ualimu kwa vile hawawezi kuumudu. Hata Nyerere na mwinyi walikuwa waalimu wale, na kama unaweza kuprove kuwa walikuwa failures ndiyo maana wakjaenda kwenye ualimu utakuwa unasema uwongo. Watu maarufu katika utaalamu wowote unaoweza kufikiria leo walikuwa ni waalimu; na hata Einstein alikuwa mwalimu na ndiye aliyetuletea energy hii ya Nuclear. Angekuwa failure asingwfanya hayo.

Waalimu wangekuwa failures wasingekufundisha wewe uwe successful.

Usikufuru!
 
acha ufala wewe kusoma ualimu alafu maths ulipata 'S' utashindana na watu wenye 'A' zao? walimu obvious ni failures so msilalamike maslahi kidogo ndo haki yenu take it.

kweli wewe MTORI
 
Uo mtihani unajifanya huuoni sio

Mswali ya mtihani huo yana mamtatizo mawili:

(a) Maswali mengine hayako specific; kwa mfano swali la kwanza linauliza direction, lakini haliko specific katika kuspecify direction relative to what: direction relative to horizantal axis or vertical axis or what.

(b)Maswali mengi yanahuhisha gravity, lakini hayakueleza conditions za gravity. Kwa Tanzania acceleration due to gravity ni 9.85m/s^, wakati sehemu nyingi za Ulaya value hiyo ni 9.81m/s^2. Swali lingekamilila kwa kuspecify value ya g.

(c) Baadhi ya maswali yameandikwa kwa kiingereza kibovu chenye makosa kinachoweza kusababisha mtahiniwa aelewe swali kinyume na anavyotakiwa kulielewa.
 
Mswali ya mtihani huo yana mamtatizo mawili:

(a) Maswali mengine hayako specific; kwa mfano swali la kwanza linauliza direction, lakini haliko specific katika kuspecify direction relative to what: direction relative to horizantal axis or vertical axis or what.

(b)Maswali mengi yanahuhisha gravity, lakini hayakueleza conditions za gravity. Kwa Tanzania acceleration due to gravity ni 9.85m/s^, wakati sehemu nyingi za Ulaya value hiyo ni 9.81m/s^2. Swali lingekamilila kwa kuspecify value ya g.

(c) Baadhi ya maswali yameandikwa kwa kiingereza kibovu chenye makosa kinachoweza kusababisha mtahiniwa aelewe swali kinyume na anavyotakiwa kulielewa.

Acha siasa, tupo kwenye taaluma fanya maswali hayo nikupe kazi
 
Acha siasa, tupo kwenye taaluma fanya maswali hayo nikupe kazi

Sahmahani mwalimu, mimi sihitaji kazi, siongei siasa, na huenda niko katika kiwango kikubwa cha taaluma inayohusiana na maswali uliyoweka kuliko unavyodhani. Nilicho-comment ni kuhusiana na uzembe wa waalimu wetu wengi kutunga maswali ambayo hayako specific, na yanaweza kuwa na majibu mengi kitaalamu. Mwanafunzi yeyote anayejua elementary mechanics of particles anaelewa kuwa:

(1) In any physical motion, direction is a relative quantity. In analyzing the direction of any motion, you must have a well-defined reference, otherwise any direction will be a valid answer.

(2) Gravitational acceleration (g) is not a constant parameter, its value ranges from near infinity to near zero. In analyzing any gravitational motion, the effective value of g must be specified, otherwise any numerical result will be a valid answer.
 
Dah! siyo kweli aisee; waalimu siyo watu failures kama unavyodai. Mimi ni mwalimu na kote nilikosoma niliondoka za vyeti vya ushindi wa juu kabisa. Ukweli ni kuwa failures ndio wanaokimbia ualimu kwa vile hawawezi kuumudu. Hata Nyerere na mwinyi walikuwa waalimu wale, na kama unaweza kuprove kuwa walikuwa failures ndiyo maana wakjaenda kwenye ualimu utakuwa unasema uwongo. Watu maarufu katika utaalamu wowote unaoweza kufikiria leo walikuwa ni waalimu; na hata Einstein alikuwa mwalimu na ndiye aliyetuletea energy hii ya Nuclear. Angekuwa failure asingwfanya hayo.

Waalimu wangekuwa failures wasingekufundisha wewe uwe successful.

Usikufuru!

Ahsante kaka.Mimi ni mwl wa Physics na Math mwenye DIPLOMA.Wanaotoka Vyuo vikuu wakija kuanza kazi za kufundisha Maths wanashindwa.Mpaka wanaomba msaada.Akaombe kuwa DAKTARI,MHASIBU,POLISI.n.k.Wote wanaomsuport wanasahau wamefundishwa na qualified teacher?
 
Sahmahani mwalimu, mimi sihitaji kazi, siongei siasa, na huenda niko katika kiwango kikubwa cha taaluma inayohusiana na maswali uliyoweka kuliko unavyodhani. Nilicho-comment ni kuhusiana na uzembe wa waalimu wetu wengi kutunga maswali ambayo hayako specific, na yanaweza kuwa na majibu mengi kitaalamu. Mwanafunzi yeyote anayejua elementary mechanics of particles anaelewa kuwa:

(1) In any physical motion, direction is a relative quantity. In analyzing the direction of any motion, you must have a well-defined reference, otherwise any direction will be a valid answer.

(2) Gravitational acceleration (g) is not a constant parameter, its value ranges from near infinity to near zero. In analyzing any gravitational motion, the effective value of g must be specified, otherwise any numerical result will be a valid answer.

Huna taaluma yeyote kuna reference mbili za direction katika karatasi hiyo,ungekuwa na taaluma ungetumia mojawapo. Eti g, nikimpa swali hili form two atafanya assumption ya g. Kama una elimu jibu swali la kwanza tu, unithibitishie, acha siasa
 
Kusema walimu ni failure sio kashfa ndio hali halisi, form four failures division iv wasioweza kwenda advance wanaenda ualimu grade 'A', Form vi failure wasiweza kwenda kusoma degree wanaenda diploma ya ualimu, bila kusahau wanaoenda degree za ualimu wengi wao wanaomba wakijua kozi nyingine competition itawatema au watakosa mikopo so wengi division iii utabisha apo? enzi za nyerere kulikuwa na kitu UPE unakumbuka iyo?.
 
kwani utathitisha vip kama hayo maswari kajibu yeye acha siasa we kama unata kumpa hiyo kazi mtafute kwa muda wake utampima sawa wwe mshambaa
 
Back
Top Bottom