Mwl. Nyerere hakuwa Mungu

Mwl. Nyerere hakuwa Mungu

Sijui watu wengine wanawaza nini aukwakutumia nini chanzo kilikuwa ni mwalimu kumuita mtakatifu mimi nikasema mtakatifu nimungu pekee sintomwita mungine jina hilo isipokuwa mungu tu sasa hapo namtisha nani kifupi ndugu ukipenda uamini au ukufuru
Sio kweli unayosema hapo juu.
Tazama ulivyotishia huku chini.
Naamini katika vitabu takatifu hakuna alie mbora kumzidi mungu kamahuamini basi jaribu wewe tuone kama hutotoka katika dunia hii
"---kama huamini basi jaribu wewe tuone kama hutotoka katika dunia hii." Haya maneno mara hii unataka kuyakana?
 
Sio kweli unayosema hapo juu.
Tazama ulivyotishia huku chini.

"---kama huamini basi jaribu wewe tuone kama hutotoka katika dunia hii." Haya maneno mara hii unataka kuyakana?
Nazani umenivamia hkujuwa msimamo wangu toka mwanzo juu yamtu kuitwa mtakatifu fatilia kwanza au roho inakuuma mimi kugoma kumuita Mwl mtakatifu
 
Mungu aliumba mwanadamu kwa mfano wake, hakuna mwanadamu anayefanana na binadamu mwingine kila moja ni unique. Kuna wengine wamejitoa kuwa maharamia na kutowajali binadamu wengine kutokana na sababu mbali mbali, na wengine ni wivu tu kwa sababu hawakuweza kufanikiwa na kuonekana ni bora katika jamii. Yote hayo ni mapenzi ya mwenyezi Mungu yeye ndiye aliyeaumba binadamu wote, sasa shida ipo wapi? Ni upuuzi kudhihaki kazi ya mungu angalieni ndimi zenu.
 
Nyerere aliishi zama zake vijana wa sasa wanaishi zama zao hivo hakuna ufanani.
 
Nazani umenivamia hkujuwa msimamo wangu toka mwanzo juu yamtu kuitwa mtakatifu fatilia kwanza au roho inakuuma mimi kugoma kumuita Mwl mtakatifu
Wewe kumwita/kutomwita Mwl. mtakatifu itanisaidia nini mimi!
 
Back
Top Bottom