Mwl. Nyerere hakuwa Mungu

Mwl. Nyerere hakuwa Mungu

NI MIMI.Punch kilikuwa ni kikundi kisichojulikana ambacho hakikuwa na jukwaa la kusemea na hakikujulikana tangu mwaka 1961 UDSM ilipoanza kilikuwapo kukosoa uongozi wa chuo na serikali bila kujulikana. Matiko Matare, Rudovick Bazigiza, James Mbatia, Mosene Nyambabe, Antony Komu ,Kangi Lugola, Harun kimaro, Ally Salehe na Dr.Kebwe walikuwa ni viongozi wa serikali ya DARUSO 1989 hadi 1992 na mashujaa wa wakati huo waliotetea hadhi ya chuo na kuikosoa serikali ya Rais Mwinyi Nkurumah Hall, hadharani na kwenye magazeti. Tume ya Jaji Koroso iliyopewa jukumu la kuchunguza mgogoro huo haikukuta mwanafunzi yeyote na hatia. Rais Mwinyi alitusamehe kama baba na sisi kama watoto tukamwomba msamaha yakaisha . Yale yote tuliyopigania yafanyike, ndiyo yanafanyika sasa chini ya serikali ya awamu ya tano. Sasa utapingaje mtu anayefanya yale unayotaka yafanyike? POLE SANA NDUGU YANGU KWA KUDANGANYWA!
Dah! Hata kama wewe sio Matiku Matare mwenyewe (maana tulisikia aliitwa mahali kwenda kuonana na PM Warioba na hatima ya uhai wake ikawa ni utata baada ya Chuo Kufungwa kufuatia extended Baraza) lakini ni kweli hasa uliziishi siasa zile za Mzee Punch!

Nakumbuka Matiku akiwauliza Wanachuo pale Nkurumah baada ya aliyekua Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Mr Ngonyani kuwasihi wanafunzi warudi darasani huku wanafunzi wakimtaka Chancellor ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..... "Should we go back to class? There was an up roar from the crowd "NOOOOO" Kisha akamalizia "No president no class"

Ila VC Prof G. Mmary alaikua kichwa sana. Wakati huo intellectuals wakisimamia taaluma zao kisawasawa hasa. Kulikua hakuna Prof fake Tanzania kama tunaowaona sasa
 
Niulize tu kama mpita njia kwenye uzi huu - Wewe unamfananisha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JK) NA NANI KWA SASA AU HATA KWA MIAKA ISHIRINI ILIYOPITA? Hasa hasa kama UNAMFAHAMU VIZURI JK!
samahani nieleweshe vizuri kufanana katika nini kiakili, kisiasa kivitendo, kifalsafa, kizalendo au nini?
Dah! Hata kama wewe sio Matiku Matare mwenyewe (maana tulisikia aliitwa mahali kwenda kuonana na PM Warioba na hatima ya uhai wake ikawa ni utata baada ya Chuo Kufungwa kufuatia extended Baraza) lakini ni kweli hasa uliziishi siasa zile za Mzee Punch!

Nakumbuka Matiku akiwauliza Wanachuo pale Nkurumah baada ya aliyekua Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Mr Ngonyani kuwasihi wanafunzi warudi darasani huku wanafunzi wakimtaka Chancellor ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..... "Should we go back to class? There was an up roar from the crowd "NOOOOO" Kisha akamalizia "No president no class"

Ila VC Prof G. Mmary alaikua kichwa sana. Wakati huo intellectuals wakisimamia taaluma zao kisawasawa hasa. Kulikua hakuna Prof fake Tanzania kama tunaowaona sasa
KWELI KABISA ! HUYO NDIYE UNACHATI NAYE YUKO HADI LEO
 
Is there anyone who doesn't know differences and similarities that we have? What we consider here is how much differences do we have among us? for positive or negative? How much similarities do we have? For positive or negative? For example, how many Tanzanian have the same similarities like that of Mwl. Nyerere? Joseph Matiko Matare do you?
Your guestion cannot be accurately answered by any intellectual person in the world! There are millions of Tanzanians who would be like Nyerere but they are not known because they are just ordinary men who cannot be compared with Nyerere who was a leader of tanzania for a number of years. You may be one of who like Nyerere but you are not known.In other word a president should be compared with another president as far as the roles they play are concerned.
 
Your guestion cannot be accurately answered by any intellectual person in the world! There are millions of Tanzanians who would be like Nyerere but they are not known because they are just ordinary men who cannot be compared with Nyerere who was a leader of tanzania for a number of years. You may be one of who like Nyerere but you are not known.In other word a president should be compared with another president as far as the roles they play are concerned.
I'm sorry to argue with you! I think you've something missing!
 
Aisee!
Ahsante sana mkuu
Ngoja nirudi jukwaa la MMU nikasuuze akili, huku kwenye siasa pagumu.
‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️‍♀️
Siasa ni maisha yako ya kila siku
 
Dah! Hata kama wewe sio Matiku Matare mwenyewe (maana tulisikia aliitwa mahali kwenda kuonana na PM Warioba na hatima ya uhai wake ikawa ni utata baada ya Chuo Kufungwa kufuatia extended Baraza) lakini ni kweli hasa uliziishi siasa zile za Mzee Punch!

Nakumbuka Matiku akiwauliza Wanachuo pale Nkurumah baada ya aliyekua Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Mr Ngonyani kuwasihi wanafunzi warudi darasani huku wanafunzi wakimtaka Chancellor ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..... "Should we go back to class? There was an up roar from the crowd "NOOOOO" Kisha akamalizia "No president no class"

Ila VC Prof G. Mmary alaikua kichwa sana. Wakati huo intellectuals wakisimamia taaluma zao kisawasawa hasa. Kulikua hakuna Prof fake Tanzania kama tunaowaona sasa
kweli nawakumbuka wahadhiri wangu wakati huo prof shivji, prof. Campbell, prof. Bavu,,prof .Wamba dia Wamba, Prf. Ngware ,Dr.Harrison Mwakyembe ambao walikuwa wakichambua issues mpaka state inatikisika
 
samahani nieleweshe vizuri kufanana katika nini kiakili, kisiasa kivitendo, kifalsafa, kizalendo au nini?

KWELI KABISA ! HUYO NDIYE UNACHATI NAYE YUKO HADI LEO
Nafurahi kukusikia tena kama ni wewe mkuu, naamini kwa uwezo mkubwa na vision za hali ya juu mlizozionyesha wakati ule basi utakua mahali fulani kama baadhi ya wenzako ukitumia uwezo wako huo kuutumikia umma mpana zaidi wa mama Tanzania
 
Nafurahi kukusikia tena kama ni wewe mkuu, naamini kwa uwezo mkubwa na vision za hali ya juu mlizozionyesha wakati ule basi utakua mahali fulani kama baadhi ya wenzako ukitumia uwezo wako huo kuutumikia umma mpana zaidi wa mama Tanzania
[/QUOTE
NIPO NACHAPA KAZI LEO NIMEAMUA NICHATI NA WATOTO WANGU NA WAJUKUU NIWASIMULIE HADITHI
 
"Mwalimu Nyerere hakuwa Mungu" - wewe umesikia wapi kuwa alikuwa 'Mungu'?

Uliamini hayo uliyosikia hadi ukaona uyalete hapa tuyajadili?
Lakini Jamani huyu anafaa kuitwa mtakatifu kwa wenzetu Sawa kwani hatamitume kila mwenyemazingaombwe huitwa mtume baadae wanaishia kupeperushwa mapicha nabinti naomba utakatifu utumike kwa baadhi yaimani tusilazimishwe imani zote tumtamke hivyo mimi sintotumia jina hilo hatakama namuona jaji pale waangalie mpaka kufikia vizazi vyawatoto wetu watajikuta wanamwita mungu watajijua walioanzisha nawalio ona wakaliacha lipevuke mbeleni wasaga meno nakilio kikuu tumeamrishwa tukatazane mbaya ambayo humchukiza muumba tukumbushane yanaompendeza muumba
 
My point is that we should not consider other people so unique that they become demi-gods. All human beings have got similarities and differences as well strengths and weaknesses including whoever happened to be a leader of this noble country of Tanzania even Magufuli. Read my articles and understand what they stand for otherwise you will end up misjudging me for nothing wrong. THANK YOU FOR ASKING!
kwa nini unajichanganya mwenyewe? yaelekea huelewi unachochangia mwenyewe. unataka tuelewe unachoelezea wakati wewe mwenyewe huelewi unatueleza nini! unaonekana typical mtz. jambo dogo kulifanya kubwa na jambo gumu kuwa rahisi. utamsikia mtz akimalizia kwa ' si unajua?' najua nn? nilifikiri kwa kiingereza chako kizuri una kainfluence ka Kenya. nilikosea huna!
tukisema fulani ni baba/babu/mjomba wake mtupu, unaelewa? wengine wanatukatalia na kutoa sababu. wakati mwingine tunajiona tumekosea baada ya maelezo yao. tunakubali kushindwa. hatuwaambii kwamorphous fanya hao wazazi miungu-watu! hayo mambo ya sura,tabia, nk watoto kufanana au kutofanana na wazazi wao kama binadamu. rahisi sana tena sana. no complication.
kufanana au kutofanana kwa Magufuli na Nyerere sio kwa sura, akili, nk. hata hilo walitofautiana. mmoja alikufa akiwa bado handsome na uzee alokuwa amefikia. huyu mwingine ni amorphous ( natumia that terminology rahisi kwa chemist kuelewa). pengine kueleweka zaidi kwa vile wote wawili uhusishwa na nchi jirani yenye wahutu na watutsi, walitoka makabila tofauti. tunazungumzia statesmanship yao. yatosha tu kukwambia rejea hotuba zao kuhusu kuhamia Dodoma. there's no comparison but only contrast between them. unazunguka tu. mahaba yako kwa wa sasa yanakufanya umfananishe na yule. hutaweza. UTA's hinder tu. malengo yao ya dhati na approaches in tofauti sana
 
My point is that we should not consider other people so unique that they become demi-gods. All human beings have got similarities and differences as well strengths and weaknesses including whoever happened to be a leader of this noble country of Tanzania even Magufuli. Read my articles and understand what they stand for otherwise you will end up misjudging me for nothing wrong. THANK YOU FOR ASKING!
kwa nini unajichanganya mwenyewe? yaelekea huelewi unachochangia mwenyewe. unataka tuelewe unachoelezea wakati wewe mwenyewe huelewi unatueleza nini! unaonekana typical mtz. jambo dogo kulifanya kubwa na jambo gumu kuwa rahisi. utamsikia mtz akimalizia kwa ' si unajua?' najua nn? nilifikiri kwa kiingereza chako kizuri una kainfluence ka Kenya. nilikosea huna!
tukisema fulani ni baba/babu/mjomba wake mtupu, unaelewa? wengine wanatukatalia na kutoa sababu. wakati mwingine tunajiona tumekosea baada ya maelezo yao. tunakubali kushindwa. hatuwaambii kwamorphous fanya hao wazazi miungu-watu! hayo mambo ya sura,tabia, nk watoto kufanana au kutofanana na wazazi wao kama binadamu. rahisi sana tena sana. no complication.
kufanana au kutofanana kwa Magufuli na Nyerere sio kwa sura, akili, nk. hata hilo walitofautiana. mmoja alikufa akiwa bado handsome na uzee alokuwa amefikia. huyu mwingine ni amorphous ( natumia that terminology rahisi kwa chemist kuelewa). pengine kueleweka zaidi kwa vile wote wawili uhusishwa na nchi jirani yenye wahutu na watutsi, walitoka makabila tofauti. tunazungumzia statesmanship yao. yatosha tu kukwambia rejea hotuba zao kuhusu kuhamia Dodoma. there's no comparison but only contrast between them. unazunguka tu. mahaba yako kwa wa sasa yanakufanya umfananishe na yule. hutaweza. UTA's hinder tu. malengo yao ya dhati na approaches in tofauti sana
 
Back
Top Bottom