Historia ya vyama vya UPINZANI Tanganyika Tanzania ni kubwa Sana.
Mwalimu aliwahi kufuta vyama vya UPINZANI kabla hajavirejesha tena 1992.
ALIYEWAANDAA AKINA SEIF, POLOSYA, MTEI,LIPUMBA,MREMA NK ni Mwalimu.
Alitengeneza mamluki wa kuisaidia ccm.
Nchi inateketea.