Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,771
- 18,635
Tehetehe you gonna break ma shit ribsYaani wameshindwa hata kumuongezea moja yafike 200? Huu ni uzembe
Tehetehe you gonna break ma shit ribsYaani wameshindwa hata kumuongezea moja yafike 200? Huu ni uzembe
Wangetafuta lingine moja ili yatimie 200Duh!! Makosa 199??!!
hahaaa, acha masiharaWangetafuta lingine moja ili yatimie 200
Hizo zama zimepita kiongozi.... usithubutuMwisho wa siku watasepa tu. Mwenye pesa siyo mwenzako. Haya tusubiri
Hizo ni gari za kipelelezi toka pccb ambao, ndo wanachunguza hapo wapo fully detectiveDuuu....naona wamepewa heshima wanayostahili....ndani ya Land cruiser????
ni watuhumiwa bado, sio wahalifuHizo ni gari za kipelelezi toka pccb ambao, ndo wanachunguza hapo wapo fully detective
Binafsi siwaamini hao mawakili wa serikali waliopangiwa kesi hii. Wawili kati yao wanatoka katika lile kabila linalosifika kwa kupenda pesa na uwizi. Ni rahisi sana kuhongwa hao.Usishangae akipangua mashtaka hayo yote 199
kweliSiku zote huwa sisiti kusema hili jambo "nchi hii tukiwaamini na kuzitumia taarifa sahihi za vijana wa Usalama wa Taifa tuaifikisha mbali".
Tuna kila sababu ya kujali umuhimu wa hii taasisi katika kuwabaini washenzi wote katika nchi hii.
Kudos wahusika.
Bado wanajipanga!Sanaa zimeanza kwa hiyo kesi za mafisadi zimeanza kusikilizwa kisutu, hiyo mahakama ya mafisadi itafanya kazi gani sasa
Nilitarajia kesi hii ingepelekwa Mahakama ya Ufisadi iloanzishwa majuzi na serikali ya Mzee Pombe. Nilitarajia hivyo kwa sababu inagusa kwa sehemu KUBWA wstumishi na watendaji wa serikali - TRA na Wizara. Imekuwaje kesi rahisi ya kusikiluzwa na Makama ya chini kama Kisutu!!!???
Hivi mahakama ya mafisadi itakuwa na rumande zake tofauti huku mtaani wanasema watu wajitayarishe na makarai badala ya ndoo au debe!!!Sanaa zimeanza kwa hiyo kesi za mafisadi zimeanza kusikilizwa kisutu, hiyo mahakama ya mafisadi itafanya kazi gani sasa
Kuwa na chembe japo kidogo ya uzalendo,,uliyemtaka wewe hayupo na kamwe haitatokea mpe suport hata hyu ambaye wewe si wa moyo wako kwa haya anayoyafanya tanzania ni yetu sote.Maigizo yanaendelea kama kawaida.
Mwisho hakuna kitu na fidia watadai
.....Wana taka iishie Kilugumi-lugumi...(ama Kama ile Meli ya KICHINA ndani ya Bahari Kuu).Nilitarajia kesi hii ingepelekwa Mahakama ya Ufisadi iloanzishwa majuzi na serikali ya Mzee Pombe. Nilitarajia hivyo kwa sababu inagusa kwa sehemu KUBWA wstumishi na watendaji wa serikali - TRA na Wizara. Imekuwaje kesi rahisi ya kusikiluzwa na Makama ya chini kama Kisutu!!!???
Huko ni kupoteza muda na matumizi mabaya ya fedha za serikali,kama wanajua kabisa tangia hawali mahakama ya kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi kwanini waipeleke pale? kwanini wasingeipeleka moja kwa moja mahakama kuu kipunguza mlolongo?Kesi zote zinaanziaga mahakama ya Kisutu na kuhamishiwa mahakama za juu. Wakipelekwa Kisutu wanakatazwa kujibu mashtaka kwa kuwa mahakama haina uwezo wa kusikiliza kesi husika.
Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Hebu pitia hapa kwenye hizi habari utacheka sana na kuelewa kuna kiini macho kikubwa kwenye hizi kesi:Usishangae akipangua mashtaka hayo yote 199