Mwizi aliyetajwa na Magufuli kuiba milioni saba kwa dakika asomewa mashtaka 199

Kesi za tanzania zilivo za kipuuz cjui kama jamhuri itashinda..
Naomba kujua kilichojiri kwenye kesi ya KASUSURA..
n:b kipindi hicho ckua interested na magazeti
KASUSURA aliibia SERIKALI na KUHUJUMU UCHUMI!!!??????
 
Satanás ndani lakini mbeleni watakuja kuwekewa dhamana na serikali ikilegea watatoka....
Wezi Kama hawa hawastahili dhamana wao ni jela tu ili iwe fundisho kwa wengine....
 
Unajua nnapopata raha na nchi hii ni pale ambapo niliskia hukumu ya kesi ya BAZIL MRAMBA.. uuuuuwi kweli sheria zetu bado zinawafavour mafisadi na wahujumu uchumi
 
Nope, KASUSURA yeye c aliiba mipunga kutoka airport iliokua inapelekwa citibank.. Tukaskia 30 yrs in jail. Hv kesy yake imeishia wapi
Hiyo kesi sikuipa kipaumbele kwa sababu haikuwa na maslahi ya Taifa. Hiyo hela ilikuwa ya Citibank. Na ukizingatia hao wakoloni wameshatuibia sana rasilimali na madini yetu. Kwa hiyo Kasusura ni kama alijilipa ujira wa rasilimali zetu in advance.
 
Jamani tunaomba update
Mheshimiwa bado kashikilia msimamo wake au ameshafuta kauli.

Million saba kwa. Dakika?
Tanzania ndo nchi pekee yenye migration mithili ya wale madude toka Serengeti kwenda massai Mara. Dar to Dom
 
Mtuhumiwa mkuu wa kesi ya kughushi risiti na kuisababishia TRA ukosefu mkubwa wa mapato Mohamed Mustafa Yusuffali na wenzake wanne wamependishwa mahakama ya Kisutu na kusomewa mashataka.

Mshatakiwa wa kwanza Mohamed Mustafa Yusuffali anakabiliwa na mashtaka 199 na wenzake 4 wanakabilwa na mashtaka ya kushirikiana kughushi nyaraka, ila kuna shitaka la utakatishaji fedha ambalo linawakabili washtakiwa wote watano, watuhumiwa wamerudishwa rumande hadi shauri lao litakapotajwa tena.

Watuhumiwa wengine ni Alois Gonzaga Mandago, Mohamed Seif Kabula, Isack Wilferd Kasanga Tahlal.

Mawakili wa serikali wa kesi hiyo ni Shadrack Kimaro, Raymond Swai na Pius Hilla
Hawa jamaa nao tayari wako nje baada ya Magufuli kuamuru wawekwe ndani kuanzia 2016.

Amekufa yeye Magufuli akawaacha gerezani, hatimaye wako nje.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom