Uchaguzi 2020 Mwita Waitara na mwenzake watoa milioni 30 kwa viongozi UVCCM Tarime kuwasaidia kushinda kura za maoni, hali zao ni mbaya

Hongera Mwita kwa Rushwa hiyo utapita mkuu
 
Hapo Takukuru wanasubiri maelekezo ya bwana mkubwa Wa magogoni.Asipotoa maneno nao kiimya...
 
Hahahha, unamjua huyu masikini mnafiki?
jamaa sio kabisa. kichwa buldozer akili kisoda. kuna prado moja huwa anaendesha basi ukikuta kaweka kishoka utasema kiongozi makini. ngoja aanze kuongea, ndio utajua ni kiazi mbatata. Fikiria kiongozi wa vijana anasema ameajiri vijana wa kwenda kuwakomoa mabaamedi wa chadema (nilishindwa kuelewa anawatambuaje kuwa hawa ni chadema na hawa ni ccm). Nikawaza, hii ina tija gani kichama? nikakosa majibu
 
Uewa mdogo kabisa
 
Bado sana hali za wagombea wa ccm zitakuwa mbaya sana kampeni zikianza. Inashangaza lakini inafurahisha kuona jinsi CCM wakihangaika wakati akina Mbowe na Lissu wakijiuguza, je watakapoanza kuzungumzwa sijui itakuwaje.
Suala la kujiuguza hata Mbowe lina muhusu ? Kwani ukipiga faru John na ikakuzidi unajiuguza ? Hongereni Chadema kwa maendeleo hayo ya Kichama.
 
Wakati wa kuwapiga Hela umewadia

Ova

Hata atoe pesa kiasi gani, Mwitra hashindi ubunge Tarime. Tunza maneno yangu, utaniambia mchakato ukiisha.

Huyu mpenda vyeo kafika stesheni ya mwisho, hana ujanja.

Mwenzake Kitila Mkumbo kashushuliwa na viongozi CCM. Akaulizwa unataka kugombea jimbo gani?- Jibu, Singida - lile la Waziri. Akafukuzwa na kuambiwa, rudi na ukachague Jimbo lenye mbunge mpinzani hili lina mwana CCM. Hatushindani CCM na CCM, bali CCM na Upinzani. Anahangaika Dar kutafuta Jimbo lenye Mpinzani. Kakalia kuti kavu!
 
Keshaliwa kichwa asubirie viti maalumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…