Uchaguzi 2020 Mwita Waitara na mwenzake watoa milioni 30 kwa viongozi UVCCM Tarime kuwasaidia kushinda kura za maoni, hali zao ni mbaya

nokwenumuya

JF-Expert Member
Jun 29, 2019
805
2,843
MWENYEKITI UVCCM TARIME APEWA MILIONI 30 KUFANYA ZIARA KUMBEBA MWITA WAITARA NA GERALD MARTIN KUELEKEA KURA ZA MAONI TARIME MJINI NA VIJIJINI

Uongozi wa UVCCM Tarime umeamua kuchukua mkondo wa kuegemea kwa watia nia, na tayari wameunda timu yao wanayoiita chaguo la vijana kuelekea mchakato wa uteuzi wa wagombea Ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini.

Ili kufanikisha nia yao wameanza ziara ya kuzunguka na kukagua uhai wa jumuia ya vijana, kuwa ni kuwaandaa kuelekea kura za maoni ndani ya chama. Ziara hiyo imezua sintofahamu kwa jinsi inavofanyika kwani haijalenga kukutana na wanachama wote wa UVCCM bali imelenga kukutana na wajumbe wanaoingia mkutano mkuu katika kura za maoni za kuchagua wagombea.

Vijana wengi wameshitukia tabia za Mwenyekiti UVCCM Tarime, Ndugu Godfrey Francis kuwatumia vijana hao au umoja huo ili kujipatia kipato, na fahamu ya kuwa Mwenyekiti huyo hana kazi ya kujiingizia kipato na amegeuka dalali wa watia nia ili walau apate kipato cha kuendesha familia yake, na hata gari anayoendesha kanunuliwa na watia nia, maana hana hata genge la kuchoma mahindi yeye, wala mke wake, kiufupi anategemea siasa ili kuendesha maisha yake.

Vijana wa UVCCM Tarime wameshitukia michezo ya huyo Mwenyekiti maana ni muda mrefu amekuwa akiitisha makongamano na kuomba pesa ili kuwawezesha vijana na zinaishia mfukoni mwake yeye, katibu wake, Katibu Hamasa, ambaye naye hana kazi ya kufanya naye anategemea siasa ili mkono uende kinywani.

Katika kundi kundi la UVCCM Tarime, mwanachama mwenye namba 0622348451 (Daniel Mkiriti) amehoji, namnukuu “Viongozi wa wilaya jumuiya ya vijana tunaomba mtuwekee ratiba ya ziara yenu ili kila kata ijiandae mbona mnaificha?, kushitukiza watu sio vizuri na sisi tuandae walengwa manake hamuwezi kuja kukaa na viongozi tu” mwisho wa kunukuu.

Katika ziara hiyo kuna mtu wa Mwita Waitara na wa Gerald Martin, ambao viongozi wa UVCCM Tarime wakishazungumza na hao wajumbe basi watu hao huwaita pembeni na kuwapa viongozi hao pesa kama kishawishi cha kumpigia kura Mwita Waitara na Gerald Martin.

Milioni 30 alizopewa Godfrey, ni kwa ajili ya kusaidia ziara hiyo katika kata zote za Wilaya ya Tarime, pia kwa ajili ya posho yake, Katibu wake Newton Mwongi na Katibu Hamasa, Pascal Mkapa. Na kila wakifika katika kata wawakilishi wa watia nia hao, huwapa posho za 30,000 kwa kila kiongozi ambaye anaingia mkutano wa wilaya/jimbo.

Hata hivyo, ziara hiyo imewagawa wanachama wa UVCCM kwanza kwa viongozi wao kuamua kubagua wagombea wengine na kuamua kuwa madalali, pili kwa viongozi hao kuitumia jumuiya hiyo kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe. Na wengi wamedhamiria kutowaunga mkono wagombea hao ambao viongozi wao wamewabatiza kuwa ndio viongozi wa vijana.

Na nakishauri Chama kiangalie mienendo ya hawa viongozi wa UVCCM Tarime kwani wanatumika kukigawa chama kwa maslahi yao binafsi.

Ni mimi,

Venance Marwa

Mwanachama – UVCCM Tarime.
 
Screenshot_20200703-132405_WhatsApp.jpg
 
Nani asiyetoa Rushwa ndani ya ccm?? Kuna aliyetoa Rushwa ya Vyeo na kuna wanaotoa fedha taslim. Huwezi tenganisha Rushwa na ccm. Ukiona eti mwanaccm kakamatwa kwa Rushwa basi elewa kuwa ni fitna tu toka kwa wabaya wake kisiasa baada ya kuwazidi viwango vya Rushwa kwa walengwa.
 
Akili zingine bana!?
MWENYEKITI UVCCM TARIME APEWA MILIONI 30 KUFANYA ZIARA KUMBEBA MWITA WAITARA NA GERALD MARTIN KUELEKEA KURA ZA MAONI TARIME MJINI NA VIJIJINI

Uongozi wa UVCCM Tarime umeamua kuchukua mkondo wa kuegemea kwa watia nia, na tayari wameunda timu yao wanayoiita chaguo la vijana kuelekea mchakato wa uteuzi wa wagombea Ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini.

Ili kufanikisha nia yao wameanza ziara ya kuzunguka na kukagua uhai wa jumuia ya vijana, kuwa ni kuwaandaa kuelekea kura za maoni ndani ya chama. Ziara hiyo imezua sintofahamu kwa jinsi inavofanyika kwani haijalenga kukutana na wanachama wote wa UVCCM bali imelenga kukutana na wajumbe wanaoingia mkutano mkuu katika kura za maoni za kuchagua wagombea.

Vijana wengi wameshitukia tabia za Mwenyekiti UVCCM Tarime, Ndugu Godfrey Francis kuwatumia vijana hao au umoja huo ili kujipatia kipato, na fahamu ya kuwa Mwenyekiti huyo hana kazi ya kujiingizia kipato na amegeuka dalali wa watia nia ili walau apate kipato cha kuendesha familia yake, na hata gari anayoendesha kanunuliwa na watia nia, maana hana hata genge la kuchoma mahindi yeye, wala mke wake, kiufupi anategemea siasa ili kuendesha maisha yake.

Vijana wa UVCCM Tarime wameshitukia michezo ya huyo Mwenyekiti maana ni muda mrefu amekuwa akiitisha makongamano na kuomba pesa ili kuwawezesha vijana na zinaishia mfukoni mwake yeye, katibu wake, Katibu Hamasa, ambaye naye hana kazi ya kufanya naye anategemea siasa ili mkono uende kinywani.

Katika kundi kundi la UVCCM Tarime, mwanachama mwenye namba 0622348451 (Daniel Mkiriti) amehoji, namnukuu “Viongozi wa wilaya jumuiya ya vijana tunaomba mtuwekee ratiba ya ziara yenu ili kila kata ijiandae mbona mnaificha?, kushitukiza watu sio vizuri na sisi tuandae walengwa manake hamuwezi kuja kukaa na viongozi tu” mwisho wa kunukuu.

Katika ziara hiyo kuna mtu wa Mwita Waitara na wa Gerald Martin, ambao viongozi wa UVCCM Tarime wakishazungumza na hao wajumbe basi watu hao huwaita pembeni na kuwapa viongozi hao pesa kama kishawishi cha kumpigia kura Mwita Waitara na Gerald Martin.

Milioni 30 alizopewa Godfrey, ni kwa ajili ya kusaidia ziara hiyo katika kata zote za Wilaya ya Tarime, pia kwa ajili ya posho yake, Katibu wake Newton Mwongi na Katibu Hamasa, Pascal Mkapa. Na kila wakifika katika kata wawakilishi wa watia nia hao, huwapa posho za 30,000 kwa kila kiongozi ambaye anaingia mkutano wa wilaya/jimbo.

Hata hivyo, ziara hiyo imewagawa wanachama wa UVCCM kwanza kwa viongozi wao kuamua kubagua wagombea wengine na kuamua kuwa madalali, pili kwa viongozi hao kuitumia jumuiya hiyo kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe. Na wengi wamedhamiria kutowaunga mkono wagombea hao ambao viongozi wao wamewabatiza kuwa ndio viongozi wa vijana.

Na nakishauri Chama kiangalie mienendo ya hawa viongozi wa UVCCM Tarime kwani wanatumika kukigawa chama kwa maslahi yao binafsi.

Ni mimi,

Venance Marwa

Mwanachama – UVCCM Tarime.
 
MWENYEKITI UVCCM TARIME APEWA MILIONI 30 KUFANYA ZIARA KUMBEBA MWITA WAITARA NA GERALD MARTIN KUELEKEA KURA ZA MAONI TARIME MJINI NA VIJIJINI

Uongozi wa UVCCM Tarime umeamua kuchukua mkondo wa kuegemea kwa watia nia, na tayari wameunda timu yao wanayoiita chaguo la vijana kuelekea mchakato wa uteuzi wa wagombea Ubunge katika majimbo ya Tarime Mjini na Tarime Vijijini.

Ili kufanikisha nia yao wameanza ziara ya kuzunguka na kukagua uhai wa jumuia ya vijana, kuwa ni kuwaandaa kuelekea kura za maoni ndani ya chama. Ziara hiyo imezua sintofahamu kwa jinsi inavofanyika kwani haijalenga kukutana na wanachama wote wa UVCCM bali imelenga kukutana na wajumbe wanaoingia mkutano mkuu katika kura za maoni za kuchagua wagombea.

Vijana wengi wameshitukia tabia za Mwenyekiti UVCCM Tarime, Ndugu Godfrey Francis kuwatumia vijana hao au umoja huo ili kujipatia kipato, na fahamu ya kuwa Mwenyekiti huyo hana kazi ya kujiingizia kipato na amegeuka dalali wa watia nia ili walau apate kipato cha kuendesha familia yake, na hata gari anayoendesha kanunuliwa na watia nia, maana hana hata genge la kuchoma mahindi yeye, wala mke wake, kiufupi anategemea siasa ili kuendesha maisha yake.

Vijana wa UVCCM Tarime wameshitukia michezo ya huyo Mwenyekiti maana ni muda mrefu amekuwa akiitisha makongamano na kuomba pesa ili kuwawezesha vijana na zinaishia mfukoni mwake yeye, katibu wake, Katibu Hamasa, ambaye naye hana kazi ya kufanya naye anategemea siasa ili mkono uende kinywani.

Katika kundi kundi la UVCCM Tarime, mwanachama mwenye namba 0622348451 (Daniel Mkiriti) amehoji, namnukuu “Viongozi wa wilaya jumuiya ya vijana tunaomba mtuwekee ratiba ya ziara yenu ili kila kata ijiandae mbona mnaificha?, kushitukiza watu sio vizuri na sisi tuandae walengwa manake hamuwezi kuja kukaa na viongozi tu” mwisho wa kunukuu.

Katika ziara hiyo kuna mtu wa Mwita Waitara na wa Gerald Martin, ambao viongozi wa UVCCM Tarime wakishazungumza na hao wajumbe basi watu hao huwaita pembeni na kuwapa viongozi hao pesa kama kishawishi cha kumpigia kura Mwita Waitara na Gerald Martin.

Milioni 30 alizopewa Godfrey, ni kwa ajili ya kusaidia ziara hiyo katika kata zote za Wilaya ya Tarime, pia kwa ajili ya posho yake, Katibu wake Newton Mwongi na Katibu Hamasa, Pascal Mkapa. Na kila wakifika katika kata wawakilishi wa watia nia hao, huwapa posho za 30,000 kwa kila kiongozi ambaye anaingia mkutano wa wilaya/jimbo.

Hata hivyo, ziara hiyo imewagawa wanachama wa UVCCM kwanza kwa viongozi wao kuamua kubagua wagombea wengine na kuamua kuwa madalali, pili kwa viongozi hao kuitumia jumuiya hiyo kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe. Na wengi wamedhamiria kutowaunga mkono wagombea hao ambao viongozi wao wamewabatiza kuwa ndio viongozi wa vijana.

Na nakishauri Chama kiangalie mienendo ya hawa viongozi wa UVCCM Tarime kwani wanatumika kukigawa chama kwa maslahi yao binafsi.

Ni mimi,

Venance Marwa

Mwanachama – UVCCM Tarime.
Bado sana hali za wagombea wa ccm zitakuwa mbaya sana kampeni zikianza. Inashangaza lakini inafurahisha kuona jinsi CCM wakihangaika wakati akina Mbowe na Lissu wakijiuguza, je watakapoanza kuzungumzwa sijui itakuwaje.
 
Kwani hawa watu Wana uhakika kuwa majina yao yatarudi mpaka wapate shida kugawa rushwa wakati huu?
Mwenyekiti wao kashasema form zote atapelekewa yeye na yeye na wenzake wachache ndio watarejesha majina matatu tu na kati ya hayo majina pia anaweza chomoka na mgombea wake ambaye hakuwa kwenye hiyo top 3. Kiukweli CCM Kuna majitu ni viazi kweli, yaani kwa hali ilivyo bado kuna jinga lintoa hela yake kisa linataka ubunge ambao halina uhakika wa kuteuliwa...
 
Huyo Godfrey ni kichwa panzi kati ya viongozi wa UVCCM ninaowafahamu ukiondoa yule aliyesema "washughulikiwe". kinachonifanya niseme haya ni kuwa jamaa aliwahi kuja kwenye mkutano wa wajumbe wa halmashauri ya vijana tawi. nikiwa kama mmoja wa wanachama niliona hafai kuwa kiongozi. kuna mikakati ambayo inatolewa na chama kupambana na upinzani lakini kuna muda lazima chama kiwe na mikakati ya kuendelea kushika dola bila kuathiri au kudhalilisha utu wa mtu. ndani ya chama mnapeana miakakati lakini niliona huyu hata hakufaa kuwa mjumbe, anajimwambafai sana wakati hakuna kitu akilini.
 
Yaani huwa nashangaa mtu anapojinasibu kuwa ccm rushwa kwishney...ukiwa mwana ccm huwezi pata uongozi bila rushwa...rushwa ndani ya ccm ndo mpango mzima..kuanzia juu hadi chini...mmuhubiria rushwa ndo mtoa rushwa namba moja...hz teuzi za magufuri ni rushwa dhahiri
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom