mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Nafikiri fala utakuwa wewe na mbowe na mama yako mzazi, shida ya nyinyi vijana wa kutoka baraza la vichaa la chadema huwa mnajiona ni mabingwa wa matusi..... Mnafikiri wengine hawajui kutukana et enheer?? Haya twende jamaa alikuwa anakulea binafisi siogopi bani.Fala wewe huna adabu.chama chote cha ccm hawana adabu.wanatukana watanzania.Mkapa alituita watanzania malofa.mwinyi alituita kichwa cha mwenda wazimu.sasa wewe nawe ukitukana tukana tu maana ni kawaida yenu. Ila sikunitafika
Ccm hamna hoja saizi unakimbia hojaSina muda na malofa dizaini yako.
Hivi wewe unawashwa?Ccm hamna hoja saizi unakimbia hojausitafute bunduki sasa na risasi.Mimi nategemewa na taifa na pia na familia yangu kama wewe.mafisiem ninyi ni wepesi kama pamba na wewe ni mwepesi kama karatasi.Umekimbia hoja mzee mmama.
ungekuwa mjanja ungetelekezwa wakachukuliwa akina katambi ?Kwa kifupi, lugha za kihuni wote tunaziweza. Usitake kujifanya mjanja sana.
Powa hakikisha bunduki unaweka chini sawa hapa ni mwendo wa hoja tuNafikiri fala utakuwa wewe na mbowe na mama yako mzazi, shida ya nyinyi vijana wa kutoka baraza la vichaa la chadema huwa mnajiona ni mabingwa wa matusi..... Mnafikiri wengine hawajui kutukana et enheer?? Haya twende jamaa alikuwa anakulea binafisi siogopi bani.
Sawa lala salama mzee mama.kesho yule diwani wa kata ya juu kasema milioni 40 zitamtoshaHivi wewe unawashwa?
Ukileta hoja nitajibu hoja, ukileta lugha ya kuudhi vivyo hivyo nitatumia lugha ya kuudhi zaidi,.Powa hakikisha bunduki unaweka chini sawa hapa ni mwendo wa hoja tu
Upuuzi mtupu.Sawa lala salama mzee mama.kesho yule diwani wa kata ya juu kasema milioni 40 zitamtosha
Fresh mimi nasema ninyi ccm mnatumia dola vibaya.bila ya hapo ni wepesi kama pamba.na mnatumia nguvu kuonesha mnapendwa kumbe mnachukiwa kama ukomaUkileta hoja nitajibu hoja, ukileta lugha ya kuudhi vivyo hivyo nitatumia lugha ya kuudhi zaidi,.
Taliban wangekumaliza kabisa wewe. Sijui kwa nini walikukwangua kichwa tu.ungekuwa mjanja ungetelekezwa wakachukuliwa akina katambi ?
Mbaazi ikinyauka husingizia jua, hivi Kuna uchaguzi umewahi kupita bila nyinyi kulalamika?jibu ni kwamba haupo na hautakuwepo.Fresh mimi nasema ninyi ccm mnatumia dola vibaya.bila ya hapo ni wepesi kama pamba.na mnatumia nguvu kuonesha mnapendwa kumbe mnachukiwa kama ukoma
Kwa taarifa yako Wassira si Mkurya.Kwa kadri ya imani ya Wakurya , NI AIBU KUBWA SANA KWA MWANAUME WA KIKURYA KUSHINDWA NA MWANAMKE KATIKA JAMBO LOLOTE , Tangu Mzee Wassira ashindwe kwenye kinyang'anyiro cha ubunge na Dada Easter Bulaya amejificha chini ya uvungu wa kitanda , taarifa zinadokeza kwamba sehemu pekee anayojitahidi kwenda ni kwenye clinic yake ya kisukari kilichompata baada ya kushindwa ubunge , hii ni kwa vile madaktari walimuonya kwamba asipohudhuria hiyo clinic atakufa .
Jimbo la Ukonga ambalo ni kama Tarime ya DSM kutokana na kukaliwa na Wakurya wengi , wakazi wake ambao wengi ni wakulima , wafugaji wa kuku na askari wastaafu wamejiapiza hasa baada ya Chadema kumteua mgombea Mwanamke , wamejiapiza kumtosa Msaliti Waitara ( ALIYEKIMBIA CCM NA KUPOKELEWA CHADEMA BAADA YA KUKATAA KUMPIKIA CHAI EMMANUEL NCHIMBI ALIYEKUWA MWENYEKITI WA UVCCM , kumbuka kwamba waitara aliajiriwa kuwa katibu Mhutasi wa Nchimbi ) na kuhakikisha kwamba Mgombea wa chadema ambaye ni mwanamke anashinda kwa kishindo .
Njia pekee ya waitara kuwa kiongozi ni kuteuliwa kama Chalamila
Kwa hiyo UKONGA ni mjini kuliko KINONDONI kwa MTULIA??????NITAWASHANGAA SANA WATOTO WA MJINI, WA UKONGA, WAKITURUDISHIA MSALITI BUNGENI!
Kwa hiyo ubakaji wa kura kama kule Tarime ulivyofanyika ndo tusilalamike.Tena bora mtu anaeongea sana kuliko mtu kukaa kimya.wanatoa machungu yao.Bahati mbaya zaidi ccm nao wanajibu kwa kejeli zaidi.kumbuka inshu ya kheri wa uvccm na chalamila kuhusu wapinzaniMbaazi ikinyauka husingizia jua, hivi Kuna uchaguzi umewahi kupita bila nyinyi kulalamika?jibu ni kwamba haupo na hautakuwepo.
Kumbuka kwa mtulia raia hawakupiga kura.Jimbo walijiandikisha watu zaidi ya laki 2 lakin waliopiga kura 45000. Watu zaidi ya laki na nusu hawakwenda kupiga kuraKwa hiyo UKONGA ni mjini kuliko KINONDONI kwa MTULIA??????
Kajipange upya na hii hoja yako
kata 12 kati ya 13 ambazo Zitto aliwadanganya na wote mlivo manyumbu mkafuata halafu baadae yeye mwenyewe anawaambia eti wake up CHADEMA,toeni matokeo Public wakati yeye ndo alikua mtoaji matokeo wa awali....Bila polisi wenye silaha za kivita ccm ni wepesi kuliko pamba , Chiza kaangushwa kwenye kata 12 kati ya 13 lakini ffu 400 wenye makombora wakahakikisha anatangazwa , hata aibu huna mjomba ?
NANI KAKUAMBIA MAJAMAA YANATEGEMEA KURA TENA? BUYUNGU YALIGARAGAZWA YAKAIBA KWA NGUVU,YAKIJIFUNGIA NDANI HAYAAMINI REACTION YA RAIA,WATU WAMECHEFUKWA SANANITAWASHANGAA SANA WATOTO WA MJINI, WA UKONGA, WAKITURUDISHIA MSALITI BUNGENI!
kwani Mtulia alishinda ?Kwa hiyo UKONGA ni mjini kuliko KINONDONI kwa MTULIA??????
Kajipange upya na hii hoja yako