BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,919
Maisha yakikushinda achana nayo Fanya mambo mengine,..
Mimi apa InnaNani kasema?
Single mother?Mimi apa Inna
Nani kasema me single mother...unatafuta povu eeSingle mother?

Jana si ulikuwa unamwambia yule Nokia hivyo??? Hadi nikataka kuzimia.Nani kasema me single mother...unatafuta povu ee![]()
![]()
Hahaaaa utani ule baby...binti mbichi hiviiii ata leba sipajuiJana si ulikuwa unamwambia yule Nokia hivyo??? Hadi nikataka kuzimia.

Sasa ujui kuwa kila neno lako moja linaugusa mtima wa moyo wangu???Hahaaaa utani ule baby...binti mbichi hiviiii ata leba sipajui![]()
![]()


mazoea lazima uumie pole babeSwali zuri.Una umri gan?
Ndio kakuwahi hivyo na suprise.Mkuu mipango ilikuwa miezi minne ijayo nianze taratibu za mahali japo sikumwambia nilipenda iwe kama suprise kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
endelea kusubiri miez 4 wenzako wanafanya wk 2Mkuu mipango ilikuwa miezi minne ijayo nianze taratibu za mahali japo sikumwambia nilipenda iwe kama suprise kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa nini maana ya mapenzi na nini maana ya kupenda pole sana kwa magumu yote unayopitia jipe nia ya kumsahau naamni utashinda uwe na,moyo mkuuHabari...
Msaada wenu tafadhari, Nimekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3 sasa,mimi na mpenzi wangu tumefanya mambo mengi pamoja ikiwemo kununua kiwanja,kuanzisha mradi wa pamoja lakini Juzi kaniambia Mimi na yeye BAASI.
Na vyote tulivyofanya,kununua pamoja vyote haitaji wala hataki tugawane.
Nimefanya uchunguzi ikiwemo kuuliza kwa Ndugu zake wawili watatu ninaowafahamu kama kuna tatizo nililomfanyia ndugu Yao wamekana kufahamu kwa nini amebadilika.
Jana cousin wake kanitonya kuwa Dada Yao alifanya kikao siku 3 zilizopita na ndugu zake na kuwa Jamaa yake alikuwa masomoni Nje karudi na Anataka kwenda kutoa mahali kwao hivyo kaamua aniache Mimi.
Ukweli nilipomtokea mwanzoni mwa 2015 alikili kuwa kwenye uhusiano na jamaa yake yupo masomoni nje ya nchi na atakaa miaka 4.
kinachoniuma tayari nimemzoea lakini pia mali tulizonunua yeye pia alitoa pesa yake kitendo cha kusema haitaji ni kama analipa gharama za muda alionipotezea.
Nimepanga niuze vyote tulivyonunua pamoja nianze Upya maisha ya upweke.
Sent using Jamii Forums mobile app