funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,485
kama mlinunua wote na yeye ameamua kukuachia sasa unataka kuviuza kwa nini? unless view na jina lake ila kama vina jina lako songa navyo mbele kwanza siku hizi wanunuaji wa viwanja na mali nyingine ni wachache sana. Hii awamu ngumu watu watakulalia mwisho wa siku utakosa mwana na maji ya moto (msemo wa wahenga). Usiuze mali tayari kakuachia endelea na maisha. Halafu siku nyingine ukipenda sio unapenda mazima weka akiba kidogo mtu kakwambia mpk muda mchumba wake anaorudi bado na wewe unaingia mazima. Pole muda utakuponya