Mwisho wa Penzi.

Mwisho wa Penzi.

Mkuu ushaambiwa yameisha bado huamini tu. Take your time japo Moyo unaumia.
We ni wa Dar?
 
Ngumu sana kuukubali ukweli lakini sio siri Roho inaniuma mno sio kwamba mwanamke yupo peke yake la hasha ila mwanamke bora kati ya wanawake Nae yumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana ubora tena kama alikubali kumsaliti boy friend wake wa kwanza.fahamu hata wewe ungeenda masomomi angetafuta njemba mwingine

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
We jembe poli acha kufikiria kipolipoli...huyo ni kama mlikuwa na mkataba wa muda sasa umeisha unasubiri nn..na kama alikuwa amekupenda kweli asingeenda kule kwa jamaa mana kukaa miaka 3 kwenye mahusiano inamana huyo mtu mmeshibana..
Ila we uza hivyo vitu unua vingine kwa jina lako..ili badae isije leta shida kama ikitokea ametimuliwa huko anaweza Rudi kwako na kudai kwamba na yeye ni mmiliki
 
Back
Top Bottom