Haya yote yalishatabiriwa...soma Biblia Warumi 1:26-36 (maeneo hayo kuna kila kitu) kwamba malipo yao wameshayapata, yamewatangulia...na wanaume pia wanaofanya hivyo- Lesbianism and Homosexual (sodomism).
Safarini Dar kwenda Dubai,
Nilimhoji mdada mmoja wa Kitanzania,
tulikaa siti za karibu,
Kuhusu wanawake,
mabusu na kusagana,
Aliniambia,
mkeo akibusiwa au akisagwa
na hawa wadada,
anaomba talaka,
eti ni kunoga ile mbaya.
niliogopa.
Mwisho wa dunia bado sana. Hii ni matokeo ya maadili mabovu. Tumeacha mila na desturi zetu kwa kuiga tamaduni tunazodhani ni bora kuliko za kwetu. Tumeacha kuwapa watoto wetu mafunzo na maadili ya kwetu na kuwaacha waige kila aina ya tabia ipitayo mbele yao. Tumeshindwa hata kuvitumia vitabu vya dini tunazoabudu ambazo zingetupeleka mbali na kuiga maovu.
Umefika muda wa kuvuna mabaya tuliyopanda kwa kutojali maadili yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.