Kwa matukio haya yanayoendelea ni dhahiri kuwa mwisho wa dunia unakaribia. Matetemeko yasiyo kadiriwa vita, njaa mafuriko, ugonjwa( Corona ) ambayo imefika dunia nzima.
Na Sasa tunaona vita vya israel vs vikipamba moto. Huku ikiigawa dunia katika pande mbili. jews Christians against muslim + haters wa Marekani na western world huku Afrika nayo ikijigawa katika makundi mawili Muslims vs christians .
Ni dhahiri huu ndo mwisho wa matukio
Na Sasa tunaona vita vya israel vs vikipamba moto. Huku ikiigawa dunia katika pande mbili. jews Christians against muslim + haters wa Marekani na western world huku Afrika nayo ikijigawa katika makundi mawili Muslims vs christians .
Ni dhahiri huu ndo mwisho wa matukio