Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Nikadhani ni technology ya kila mtu kuweza kuprint pesa zake kwa mashine maalum kadri ya mahitaji,,,,, ila napita tu
Sasa ingekua kila mtu ana uwezo wa kuprint pesa zake kwa kadri ya mahitaji yake unadhani haya maisha yatakua hivi kama yalivyo sasa?!

Nani atalima mashambani ili wewe upate chakula?! Nani atahangaika kukutibu wewe hospitali wakati kila mtu ana pesa nyingi na hataki kazi?

Nani atakutengenezea gari lako gereji? Nani atakufundisha shuleni? Nani atasafisha barabara? Nani atakulinda wewe na familia yako? Nani atajitesa kulinda usiku kucha? Kuna mifano mingi sana ya kukupa ila wacha niishie hapa.
 
wakuu mm kwangu inaleta kitu cha aina hii halaf haiendelei
fe4e0bcbb49c5c49148da62c1235d246.jpg
 
Daaaah kweli dunia ya mungu vitu vya mzungu nimesikiliza bogota huko mpk raha nyimbo lainnn
 
Me ninacho kijua ni kwamba imeandikwa 'VITAUMBWA VIPYA NA NCHI ZITAJEUKA'
 
Mwisho wa dunia bado sana, hii ni technology tu hakuna za ziada , kwakutumiatechnology unaweza kubuni mambo mengi tu lakini haiwezi kuwa kipimocha mwisho wa dunia,
 
Dah sikujua kama hiki kitu kinaweza kuwashangaza watu kiasi hiki, mbona ni application ya miaka mingi tu aisee acheni ushamba wakuu hii kitu niliijua nikiwa secondary o level
 
Aisee... Nimeona hapo south sudan wanagonga ya tz, ngoni na nonini.
 
wakuu mm kwangu inaleta kitu cha aina hii halaf haiendelei
fe4e0bcbb49c5c49148da62c1235d246.jpg
Mkuu nenda playstore udownload app yao inatwa Redio Garden.

Hapa nipo Kinshasa nainjoi ngoma za biringo huku nikiwa bongo
 
Tubuni dhambi zenu. Na kugeuzwa nia zenu zimuelekee Mungu.
 
Back
Top Bottom