Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Dah mkuu hebu tuandikie hyo link kabisa maana nmeipenda kiukweli
 
Ni kweli kabisa kwani mm hapa nimeisikiliza clouds FM live
e72a6b17d68dc8f04f2bc37603877099.jpg
 
Ngoja Mie ni itunze maana nikirudi kwa makanju niwe naipata clouds
 
Ngoja na mimi niitunze. Vipi kwenye google play/market haipo?
 
Mbona hiyo application ipo tangu muda mrefu sana. Nenda kwenye browser yoyote kisha andika " Download all world fm radio ". Ukimaliza kuinstall utakuwa ukisikiliza radio zote za fm za dunia nzima. Hapa Tanzania utasukiliza kama radio fm zaidi ya 30. Ila sharti uwe na mb wakati wa kusikiliza
 
Ngoja nidownload maana wengine simu zetu hazina radio
LG phones
 
Hii itarahisisha sana kwa Watanzania wengi hasa wenye hamu ya kujifunza lugha ya malkia kusikiliza radio za UK maana wengi inawapiga chenga.
 
Back
Top Bottom