Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Mwisho wa Dunia ndio huu hapa (Amazing technology)

Ingia ktk hii link hapo chini kisha click any green dot ktk globe utaweza kufungua FM radio ya nchi yoyote ile duniani hapa.je hii ni mwisho wa dunia ama ni nini ?
Just point your finger in any of these green dots in the globe ... You can hear the FM radio of that place

*AMAZING TECHNOLOGY*


Radio Garden
Haifunguki
 
mbn fm radio apps ziko kibao tu ingia play store,sema hao wanatumia website na bila internet huwezi zipata
 
Hivi watoto wetu wanaokuja na thread kama hii kwa upeo mfupi kama huu mtoto akipata four si mzaz unafurahi
 
  • Thanks
Reactions: DBA
Haya ni maajabu, hivi sasa nakula muziki wa sijui wa type gani kutoka Bogota Fm Radio ya Colombia.

Lakini tusidanganyane hii haiwezi kuwa ndiyo dalili ya mwisho wa dunia.
 
nimesearch mpaka clouds fm yaani dunia unaiyona ina zunguka yenyewe unatafuta pale unapopataka yaaani its high technology
 
Download TuneIn radio play store, by far the best internet radio app.
 
Ingia ktk hii link hapo chini kisha click any green dot ktk globe utaweza kufungua FM radio ya nchi yoyote ile duniani hapa.je hii ni mwisho wa dunia ama ni nini ?
Just point your finger in any of these green dots in the globe ... You can hear the FM radio of that place

*AMAZING TECHNOLOGY*


Radio Garden
Sasa Mwisho wa dunia Kivipi ? Kisa Technology hii Ni Mpya Kwako....

Inawezekana hata Wale Wazee wa zamani Walipokuwa wanaona Magari walisema Pia ni Mwisho wa dunia... Maana Kwako ni kitu kipya
 
Aiseh!!! Hii ni best ever
Sio nzuri kama Tunein radio. Tune in radio ina radio station za tanzania kibao na za nje pia nyingi sana tofauti na hii green unapata chanel chache sana kwa Tz ni clouds na twiga radio pekee. Kwenye Tune in unaweza kusachi aina ya muziki unaopenda mfano Hip hop kisha wataku listia radio stations zinazopiga hip hop tu hivyo utachagua uipendayo.
 
Haya ni maajabu, hivi sasa nakula muziki wa sijui wa type gani kutoka Bogota Fm Radio ya Colombia.

Lakini tusidanganyane hii haiwezi kuwa ndiyo dalili ya mwisho wa dunia.
Point is kukua kwa technologies kwa kiwango kikubwa nayo ni dalili yawisho wa dunia
 
Sio nzuri kama Tunein radio. Tune in radio ina radio station za tanzania kibao na za nje pia nyingi sana tofauti na hii green unapata chanel chache sana kwa Tz ni clouds na twiga radio pekee. Kwenye Tune in unaweza kusachi aina ya muziki unaopenda mfano Hip hop kisha wataku listia radio stations zinazopiga hip hop tu hivyo utachagua uipendayo.
Hiyo tune in radio inapatikana vipi?
 
Hiyo tune in radio inapatikana vipi?
Screenshot_2017-02-06-08-16-40.png


Ingia kwenye play store au app store andika Tune in radio. Kisha chukua yenye icon ya kwanza hiyo kwenye picha
 
Back
Top Bottom