D dalaber JF-Expert Member Aug 6, 2014 1,806 1,639 Nov 2, 2016 #21 Bahati yao kavaa hata hiyo chupi mahali sahihi angevaa kichwani wangemgusa?
T 1990 ELY JF-Expert Member Sep 7, 2014 12,179 28,334 Nov 2, 2016 #23 Samaritan said: Kama angekua na ngozi nyeusi angekua lupango akihusishwa na imani za kishirikina. Click to expand... Hahahahahaha duh
Samaritan said: Kama angekua na ngozi nyeusi angekua lupango akihusishwa na imani za kishirikina. Click to expand... Hahahahahaha duh
The Messenger JF-Expert Member Jul 2, 2014 1,523 808 Nov 2, 2016 #24 Sasa kama anataka kutembea ucho mabegi ya nn? Inamaana babegi yote yale yanachupi tuu?? Anazingua huyoo [HASHTAG]#kick[/HASHTAG] za msimu
Sasa kama anataka kutembea ucho mabegi ya nn? Inamaana babegi yote yale yanachupi tuu?? Anazingua huyoo [HASHTAG]#kick[/HASHTAG] za msimu
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Jul 14, 2013 9,885 8,906 Nov 2, 2016 #25 Bhaaaaange mbaya aisee. Hapo ndio utaijua bangi ikikolea. Na kwa uzoefu wangu mdogo wa kumtambua taahira kwa sura,basi jamaa sura imeisha elekea Mirembe,maana kama vile wale mataahira
Bhaaaaange mbaya aisee. Hapo ndio utaijua bangi ikikolea. Na kwa uzoefu wangu mdogo wa kumtambua taahira kwa sura,basi jamaa sura imeisha elekea Mirembe,maana kama vile wale mataahira
Tutorial 1X JF-Expert Member Oct 16, 2015 1,908 2,036 Nov 2, 2016 #27 mkuu huyo hayuko uchi kabisa, hapo ye anawaza yupo kipindi cha summer time kwao hukoo
Sonia G JF-Expert Member Jul 13, 2014 3,059 3,870 Nov 2, 2016 #28 Evelyn Salt said: Kafanana na aliekua mme wa mange kimambi Click to expand... Teh teh teh unautani wa ngumi wewe
Evelyn Salt said: Kafanana na aliekua mme wa mange kimambi Click to expand... Teh teh teh unautani wa ngumi wewe
ISIS JF-Expert Member Apr 20, 2016 96,073 858,529 Nov 2, 2016 #29 Hawa watu washakuwa majuha sasa....hahaha