3. Hawamwamini mtu asiye mtoto wa aliyewahi kuwa kiongoz, hi inadhihirisha dhana ya "like father like son".
Lengo ni kuchungana.
wajilaumu wenyewe kwa kushindwa kusoma alama za nyakati,means hawaendi na wakati.
Kwa kauli hiyo mimi kama mimi sipo hivyo hao ni baba za wanasiasa wa siku hizi ntashangaa sana kuona vijana wao wako CCM mpaka leo nina ushahidi tosha wa vijana baadhi ambao baba zao ni CCM ya Nyerere na hawako CCM na wako CHADEMA nimewaona Hapo Arumeru Mashariki wakiwawa Mawakala wa CHADEMA na wanahasira kweli na CCM na wanachukiwa na CCM mbaya sana kwani CCM haikutegemea kuona Viajana wa Viongozi wakongwe wa CCM wameenda CHADEMA na hiyo ndio dariri nzuri ya 2015 twamsubilia January Makamba kama anaritaka Jimbo la bumbuli tena 2015 arudi CHADEMA
Hapo kwenye red,
Kwa kauli hiyo mimi kama mimi sipo hivyo hao ni baba za wanasiasa wa siku hizi ntashangaa sana kuona vijana wao wako CCM mpaka leo nina ushahidi tosha wa vijana baadhi ambao baba zao ni CCM ya Nyerere na hawako CCM na wako CHADEMA nimewaona Hapo Arumeru Mashariki wakiwawa Mawakala wa CHADEMA na wanahasira kweli na CCM na wanachukiwa na CCM mbaya sana kwani CCM haikutegemea kuona Viajana wa Viongozi wakongwe wa CCM wameenda CHADEMA na hiyo ndio dariri nzuri ya 2015 twamsubilia January Makamba kama anaritaka Jimbo la bumbuli tena 2015 arudi CHADEMA